Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Ukijua kazi ya idara hiyo huta rudia kuwalaumu tena shida sio mfumo wa ajira shida ni katiba kazi yao wana fanya ila nini baada ya hapo ndo shida ilipo
Nina hakika Nina na uhakika kabisa yakuwa nitakacho kisema Leo nitarukiwa na kushukiwa kama mwewe na mijitu inayo itwa Usalama wa TAIFA na mawakala wao kimsingi Hali ya ufisadi katika TAIFA inazidi kuwa mbaya mbaya mbaya na watu wanao takiwa kuchunguza na kubaini upuuzi HUU wapo na wanalipwa mishahara mikubwa tu.

Tunaambiwa na mkaguzi halimasharu zetu kalibia mamlaka 188 zimetoa Bilioni 88 zimepotea Kwenye mikopo ya vikundi nataka niseme hakuna Halimashauri ambayo Haina vijana wetu wa Usalama wa TAIFA wapo na wanao uwezo wa kuchunguza kama fedha za umma zimepelekwa Kwa vikundi kweli au ni hewa nasema hivi maana niliwai Kuta mfano wilaya ya mreba tu, mikopo zaidi ya milioni 60m ipo mikononi mwa vijana wawili na wake zao na hao vijana ni marafiki wakubwa wa hao vijana wetu wanapika wanakunywa pamoja na taarifa wanazo lakini wao wanaahindwa kulipoti ilo tu Kwa idara usika?
HUU wizi tunao ambiwa unajitokeza Nina Imani tunao.vijana wetu pendwa Kwenye mawizara na taasisi zetu je hao vijana walioko uko wanafanya kazi gani kama wanaahindwa kuripoti mambo kama hayo kabla hayajatokea?
Nilichokibaini ni kuwa vijana tunao ila changamoto je wanauwezo wa kuchunguza na kuhoji dhidi ya wizi huo unapotokea?
Yote haya lazima tukubaliane mfumo wa ajira wa vijana wa idara hii unachangamoto kubwa sana

Kitendo Cha kuajili watoto wa wakubwa,vijana wa umoja wa vijana wa ccm ambao wengi wao ni form four failure ni kosa kubwa sana tuna vijana ambao hawana uwezo mfumo ubadilidilishwe
 
Idara ya Usalama wa Taifa iweke wazi Ofisi zake zilipo na iajiri kwa wazi kama CIA wanavyofanya. Sio mambo yote ya kufanyia gizani
Ofisi zao zimejificha hawataki watu wajue as if wanafanya maajabu gani sijui..

Hii mifumo ya kuficha ofisi za usalama ni tabia ya kisocialism tena kipindi kile cha cold war..

Nowdays ni mwendo wa technologies zaidi na sio mtindo tulionao..
Wanapaswa waajiri watu intelligent kwelikweli..na taasisi ya cha EGA kingekuwa chini ya idala hii..
 
Screenshot_20230407_145359.jpg
 
Nahisi shida ni mfumo tayari ni mmbovu hawa usalama wa Taifa wao wanajua kazi Yao ni kulinda viongozi tu

Kwa mfano hizo gali zilizolipiwa alafu Hadi Leo hazijafika ilitakiwa usalama wa Taifa wawe wanajua kuhusu hilo jambo na kumtalifu Raisi kabla ya CAG in short hao usalama Taifa hawana faida yoyote katika nchi hii
 
Hujui ulitendalo. Jua jpm ndo aliharibu nchi hii na kuirudisha kwenye mstari itachukuwa ten years. Hakupenda transparency hivyo watu wakawa wanajipigia tu ndo mana ttcl imejiendesh kwa hasara na Bado wakawa wanalipa gawio the same to Atcl na trc. Angekuwepo jpm tusingesikia haya madudu. Amini nakwambia jpm alikuwa zaidi ya lucifer
Kwa demokrasia ya kuwaogopa na kuwaonea haya majizi ya pesa za umma hata miaka elfu wizi hautaisha sio miaka kumi tu ! Watu wasijifiche kwa kulaumu uongozi uliopita ! Upigaji wa namna hii ulikuwepo hata kabla ya Magufuli tena ulikuwepo karibu kila awamu !! Kinachotakiwa ni kaudikteta fulani hivi kuzilinda mali za Umma bila hivyo Nchi itaendelea kukopa mpaka itafilisika !! Mark my words !!
 
Hebu ona mfumo huu.

Source ya vyombo vyote vya usalama ni jeshini..


Je tunapataje hao wanajeshi .?

Kwa kutangaza ajira na sifa kama ulifeli form four ndiyo unapewa kipaumbele na siyo mtoto wa masikini ila kwa wenye vyeo na kuhonga ndipo utapata ajira...later on.

-Jeshi na polisi lina mashoga.
-Polisi ni wala rushwa (kama kongo).

-Usalama wa taifa,jeshi,polisi wanatumia nguvu kuwaza na siyo akili muulize (Nape,Roma na lisu)

-Kwanini wanatumia nguvu na siyo akili,-Sababu wanaowalinda yaani raia wana akili kuwazidi na wanapowaambia ukweli wanaona wanawadharau, kulithibitisha hilo jaribu kuongea na askali yeyote na ujaribu kumshusha kama hajakutishia kukulaza sero.

-CCM ili kuendelea kulinda maslahi hao form four failures wanaongezewa kidanganya macho (posho).

-Afrika tutaendelea pale tu,tutakapo ondoa waliofeli kwenye mifumo yote (Ulinzi,Elimu,Afya,Uongozi(serikalini)) ..

Tangu lini aliyefeli akamuongoza ,akamlinda,akamtibu,akamfundisha aliyefaulu 😅😅😅
Nikweli kabisa aliefeli HAWEZI kumzika Alie faulu form4.
 
Kwa demokrasia ya kuwaogopa na kuwaonea haya majizi ya pesa za umma hata miaka elfu wizi hautaisha sio miaka kumi tu ! Watu wasijifiche kwa kulaumu uongozi uliopita ! Upigaji wa namna hii ulikuwepo hata kabla ya Magufuli tena ulikuwepo karibu kila awamu !! Kinachotakiwa ni kaudikteta fulani hivi kuzilinda mali za Umma bila hivyo Nchi itaendelea kukopa mpaka itafilisika !! Mark my words !!
Mbona jpm alikuwa dictator lakini kila kitu kikaenda mlama. Atcl, ttcl, trc vyote vikawa ni majanga tu
 
Mbona jpm alikuwa dictator lakini kila kitu kikaenda mlama. Atcl, ttcl, trc vyote vikawa ni majanga tu
Pengine hakuwa kiongozi dikteta mzuri ! Lakini alionyesha kwa vitendo kukerwa na wizi wa mali za umma na alikuwa anachukua hatua papo hapo bila kuchelewa !!
 
Idara siyo tatizo, tatizo lipo kwa wanaoshauriwa na si tulikubaliana one man show ni udikteta?!

Tatizo lipo TAKUKURU ndio walipaswa kuchukua hatua na siyo TISS labda sheria ZA uundaji wa TISS zirudi bungeni kurekebishwa ili waweze kukamata, na kufungua kesi.

Naona watu wengi ni wagumu kuelewa IDARA haina meno ya kuwachukulia hatua wezi wa mali za umma.

Idara ipo chini ya rais siyo independent, kama rais ndiyo vile ameshikwa na kuzungukwa na marafiki walafi na mafisadi, idara itafanya nini?
 
Nenda kasome ACT ya TISS, sio kazi yao kujishughulisha na ubadhirifu, ufisadi au uhujumu uchumi.
Ni kazi yao kuhakikisha hakuna uhujumu uchumi ufisadi wala ubadhirifu wa mali za umma.

Kiutendaji TISS inatakiwa isimamie usalama wa nchi, uchumi na siasa za kitaifa.

Ila kwa huu mfumo mbovu hawatimizi majukumu yao.
 
Nina hakika Nina na uhakika kabisa yakuwa nitakacho kisema Leo nitarukiwa na kushukiwa kama mwewe na mijitu inayo itwa Usalama wa TAIFA na mawakala wao kimsingi Hali ya ufisadi katika TAIFA inazidi kuwa mbaya mbaya mbaya na watu wanao takiwa kuchunguza na kubaini upuuzi HUU wapo na wanalipwa mishahara mikubwa tu.

Tunaambiwa na mkaguzi halimasharu zetu kalibia mamlaka 188 zimetoa Bilioni 88 zimepotea Kwenye mikopo ya vikundi nataka niseme hakuna Halimashauri ambayo Haina vijana wetu wa Usalama wa TAIFA wapo na wanao uwezo wa kuchunguza kama fedha za umma zimepelekwa kwa vikundi kweli au ni hewa nasema hivi maana niliwai Kuta mfano wilaya ya mreba tu, mikopo zaidi ya milioni 60m ipo mikononi mwa vijana wawili na wake zao na hao vijana ni marafiki wakubwa wa hao vijana wetu wanapika wanakunywa pamoja na taarifa wanazo lakini wao wanaahindwa kulipoti ilo tu Kwa idara usika?

HUU wizi tunao ambiwa unajitokeza Nina Imani tunao.vijana wetu pendwa Kwenye mawizara na taasisi zetu je hao vijana walioko uko wanafanya kazi gani kama wanaahindwa kuripoti mambo kama hayo kabla hayajatokea?

Nilichokibaini ni kuwa vijana tunao ila changamoto je wanauwezo wa kuchunguza na kuhoji dhidi ya wizi huo unapotokea?

Yote haya lazima tukubaliane mfumo wa ajira wa vijana wa idara hii unachangamoto kubwa sana

Kitendo Cha kuajili watoto wa wakubwa, vijana wa umoja wa vijana wa ccm ambao wengi wao ni form four failure ni kosa kubwa sana tuna vijana ambao hawana uwezo mfumo ubadilidilishwe
Mimi huwa nashangaa vipi kuna vijana wa Usalama lkn majengo yanajengwa chini ya kiwango mpaka Mwenge waje wagundue.
 
Sasa wewe inerpol...
Mkuu, hii ni njama yako ya kufifisha hoja ya mleta mada. Mleta mada kaleta hoja yenye nguvu, ndiyo maana nimemuuliza swali la msingi kwa maoni yangu kama raia wa nchi hii.

Mkuu naomba umpe nafasi mleta mada afanye kazi yake ya kuleta majibu ya kulisaidia Taifa. Asante.
 
Mimi huwa nashangaa vipi kuna vijana wa Usalama lkn majengo yanajengwa chini ya kiwango mpaka Mwenge waje wagundue.
Ila mkuu samahani una elimu gani?unafahamu kazi ya tiss kisheria na kikatiba?
 
Mimi huwa nashangaa vipi kuna vijana wa Usalama lkn majengo yanajengwa chini ya kiwango mpaka Mwenge waje wagundue.
Ngoja nikusaidie kazi ya tiss ni kukusanya taarifa kuzichakata/kuzichambua na kuzipeleka kunakohusika na kushauri wenye mamlaka ya kuchukua hatua ni wale wanaopelewa taarifa na wanatimiza Sana majukumu ipasavyo.
 
Nenda kasome ACT ya TISS, sio kazi yao kujishughulisha na ubadhirifu, ufisadi au uhujumu uchumi.
Broo kajiridhishe! Utagundua kwamba TISS inawajibika kuishauri serikali juu ya mambo ya kiusalama, uchumi, siasa na kutoa mapendekezo stahiki ya kutatua changamoto zinazoendana na hizo.

Ndiyo maana JPM aliwabanaTISS wakawa wanajitahidi kuibua ubadhilifu na magendo mengi.
 
Back
Top Bottom