KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
lakini chuo kikuu sio cha chama chochote cha siasa, sio cha ccm/tlp/chadema wala chama gani ? mbona mwenyekiti wa chama cha mapinduzi alienda kuongea nao pale iweje zitto ashindwe ?
hapa haki haitendeki !
hapa haki haitendeki !