gazeti hili linamuhariri /makamo muhairiri muislam, au mnalaumu annur tu humu jf?
Jana kulikuwa na thread iliyokuwa na kichwa cha habari "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo kuhusu Dowans" Source ya thread hiyo ilikuwa gazeti la "TZ Daima". Watu wengi tulipoteza MUDA mwingi kuchangia thread hiyo. Katika gazeti hilo kulinukuliwa habari zilizotoka katika kikao cha baraza la Mawaziri ambacho JK alikuwa ni mwenyekiti wake. Nukuu mbalimbali zilitolewa kama ushahidi wa kilichosemwa kikaoni.
Habari zilizothibitishwa na Sitta mwenyewe na Pia Katibu mkuu Ndg. Ph. Luhanjo zinasema HAPAKUWA NA KIKAO CHA MAWAZIRI WALA HAKUNA ALIYEWAZIBA MDOMO SITTA NA MWAKYEMBE. habari hizi zimeandikwa na magazeti yote ya leo kasoro TZ Daima.
Wadau: Katika tasnia ya habari, Je, hamuoni kama gazeti hili ni hatari kwa usalama wa nchi yetu?. Je, gazeti kama hili katika utawala unaojali sheria za vyombo vya habari halipaswi kufungiwa kwa muda? Je, si kweli kwamba waandishi wa gazeti hili ni MAKANJANJA?. naomba tuwe wazalendo katika kujadili hili. Tanzania ni yetu na ni sisi wenye damu mpya tunaoweza kuifikisha nchi tunapopataka kwa AMANI.
Utakua umechanganya kidogo; la udaku ni lile gazeti lililozulia Marehemu Ismail Omary jambo na bado likakosa hata ustaarabu wa kuomba radhi.
Usichanganye mada. The extent of lies cooked by Tanzania Daima is unimaginable.
Gazeti la TANZANIA DAIMA limeomba radhi kwa Sitta na Mwakyembe kwa kuandika habari za uzushi dhidi yao.
Kinachonisikitisha ni kwamba uongo na uzushi ulioandikwa ni mkubwa na wa hatari. Ingekuwa kikao cha baraza la mawaziri kilifanyika, na wakawa misinformed juu ya kilichotokea tu, tungeelewa. Lakini HAKIKUWAPO KABISA.
Binafsi nimezoea kuona uzushi wa namna hii kwenye magazeti ya udaku, lakini kwa gazeti kubwa kama Tanzania Daima..mmmh mmh HAIKUBALIKI na LIMESHUKA HADHI.
Napata hofu nikifikia huenda basi WASHATUDANGANYA SANA KABLA YA HAPA.
Gazeti la TANZANIA DAIMA limeomba radhi kwa Sitta na Mwakyembe kwa kuandika habari za uzushi dhidi yao.
Kinachonisikitisha ni kwamba uongo na uzushi ulioandikwa ni mkubwa na wa hatari. Ingekuwa kikao cha baraza la mawaziri kilifanyika, na wakawa misinformed juu ya kilichotokea tu, tungeelewa. Lakini HAKIKUWAPO KABISA.
Binafsi nimezoea kuona uzushi wa namna hii kwenye magazeti ya udaku, lakini kwa gazeti kubwa kama Tanzania Daima..mmmh mmh HAIKUBALIKI na LIMESHUKA HADHI.
Napata hofu nikifikia huenda basi WASHATUDANGANYA SANA KABLA YA HAPA.
Usichanganye mada. The extent of lies cooked by Tanzania Daima is unimaginable.
HabariLeo = Udaku
Ni Gazeti la CHADEMA / MBOWE unategemea nini hapo ?
CHADEMAZ = A GROUP OF INSANE PEOPLE IN JUDA
Ni Gazeti la CHADEMA / MBOWE unategemea nini hapo ?
CHADEMAZ = A GROUP OF INSANE PEOPLE IN JUDA
Gazeti la TANZANIA DAIMA limeomba radhi kwa Sitta na Mwakyembe kwa kuandika habari za uzushi dhidi yao.
Kinachonisikitisha ni kwamba uongo na uzushi ulioandikwa ni mkubwa na wa hatari. Ingekuwa kikao cha baraza la mawaziri kilifanyika, na wakawa misinformed juu ya kilichotokea tu, tungeelewa. Lakini HAKIKUWAPO KABISA.
Binafsi nimezoea kuona uzushi wa namna hii kwenye magazeti ya udaku, lakini kwa gazeti kubwa kama Tanzania Daima..mmmh mmh HAIKUBALIKI na LIMESHUKA HADHI.
Napata hofu nikifikia huenda basi WASHATUDANGANYA SANA KABLA YA HAPA.
Ni Gazeti la CHADEMA / MBOWE unategemea nini hapo ?
CHADEMAZ = A GROUP OF INSANE PEOPLE IN JUDA