Nilijua watakanusha,
lakini jana katika blog ya michuzi niliona picha ya waziri mkuu akiwa na mawaziri wake wote pamoja na manaibu katika kikao pale magogoni kilichofanyika juzi (Jumanne) Je hicho hakikuwa kikao cha baraza la mawaziri???????????????????????
lakini jana katika blog ya michuzi niliona picha ya waziri mkuu akiwa na mawaziri wake wote pamoja na manaibu katika kikao pale magogoni kilichofanyika juzi (Jumanne) Je hicho hakikuwa kikao cha baraza la mawaziri???????????????????????