Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 286
Wengi wa wadau hapa naona wanachangia kishabiki zaidi, kiukweli kabisa Tanzania Daima katika hili WAMECHEMKA na credibility yao imeshuka kwa kiasi kikubwa sana!!
Ukifuatilia mwenendo wa Tanzania Daima kwa siku za hivi karibuni (habari na makala hasa za A. Kibanda), utapata shaka sana na content ya habari zake hasa kuhusu masuala ya Dowans na wahusika wakuu wa pande zote mbili.
Ukifuatilia mwenendo wa Tanzania Daima kwa siku za hivi karibuni (habari na makala hasa za A. Kibanda), utapata shaka sana na content ya habari zake hasa kuhusu masuala ya Dowans na wahusika wakuu wa pande zote mbili.