Uonevu dhidi ya Mbowe: Viongozi wa dini toeni kauli ya kitume

Uonevu? Una maana gani kisema kaonewa? Wewe unatembea na Mbowe? Mbowe aliwahi kusafiri nje ya Nchi kwa miezi si chini ya minne kuanzia mwishoni mwa mwaka jana mpaka kifo cha JPM hakuwepo. Unajua alikuwa wapi na nani na wanafanya nini? Acheni vyombo vya dola vifanye kazi yake.
 
Hata malcolmex alikuwa anatetea haki za wa amerika weusi lakini histolia yake pia inaonyesha alikua mharifu katika maisha yake binafsi
Sasa mbowe mnamtetea kivipi kuhusu mauwaji na michngo yake binafsi?

Kuhusu Chacha Wangwe na zito kukoswakoswa kupewa sumu.
Na wengine alio wadhuru.
Hilo mnasemaje?
Ni sera ya umma au ni uharifu binfsi?

Sisi tunamuunga mkono Mtanzania yeyote anayeonyesha nia na kutenda katika kupigania haki. Mbowe amesimama kaonekana.
Na wewe ukisimama poa tu - tutakuunga mkono ndugu yetu!

Tunaposema viongozi wa kiroho hatumaanishi individuals hao uliowataja - tunamaanisha wasimame collectively kupitia taasisi zao kama BAKWATA, TEC, CCT, nk.
 
Halafu utasikia hawa wanaojiita viongozi wa kiroho wanasema amani na kuhimiza sadaka, shame on them. Wapo wachache lakini wasiozidi watano wa kuhesabiwa nao Mungu awabariki
 
Watakuwa wanafik na wao, wasitoe tamko wakati anavunjiwa bilicanas watoe tamko leo kahifadhiwa sehemu salama?
 
Hata malcolmex alikuwa anatetea haki za wa amerika weusi lakini histolia yake pia inaonyesha alikua mharifu katika maisha yake binafsi
Sasa mbowe mnamtetea kivipi kuhusu mauwaji na michngo yake binafsi?

Kuhusu Chacha Wangwe na zito kukoswakoswa kupewa sumu.
Na wengine alio wadhuru.
Hilo mnasemaje?
Ni sera ya umma au ni uharifu binfsi?
Kuhusu Chacha Wangwe na Zitto kuwekewa sumu halafu watu hawakuchuliwa hatua za kisheria, hilo litakuwa ni tatizo la mamlaka husika na si la Mbowe.
Kama ambavyo Lissu alivyofanyiwa ujambazi hadi leo mamlaka husika ziko kimya.

Tatizo kwenye issue la Mbowe ni consistency. Kwanza kawekwa ndani kwa kutaka kufanya kusanyiko bila kibali. Walipoona hili halina mashiko, wakahamia kwenye ugaidi na uuaji. Watanzania siyo idiots - wana akili kuliko polisi na wafuasi wa polisi (I hope wewe si mmoja wa wafuasi wa polisi)!
 
Uzi huu ni mahsusi kwa viongozi wetu wa kiroho (maaskofu na mashehe)

Hakuna Mtanzania (wakiwemo viongozi wa serekali wenyewe) asiyejua kuwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubambikwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe ni nia ovu ya kutaka kumkata makali katika adhma yake ya kupigania haki kwa watu wote hapa nchini kwetu.

Kwa ajili ya muktadha tu.

Mbowe ni mzazi.

Mbowe ni kiongozi wa siasa anayeheshimika barani kote Africa and beyond.

Mbowe ni mfanyabiashara mwadilifu - vinginevyo angekuwa tayari amebambikiwa makosa ya uhujumu uchumi siku nyingi

Baba yake Mbowe alipigania uhuru wa nchi hii, hivyo Freeman ni mtu ambaye damu yake imeshikamanishwa moja kwa moja na uhuru wa Tanganyika / Tanzania

Mbowe ni mtoto wa kiroho wa baba wa taifa Mwalimu JKN (Mungu amrehemu)

Viongozi wetu wa kiroho simameni mhesabike. Tunajua mnajua tunajua mnajua tunajua kwamba Mbowe anaonewa na serekali. Sababu za kuonewa kwake sihitaji kuzirudia hapa kwani zipo well documented.

Haya mambo ya kuonewa na kunyanyaswa chini ya serekali ya CCM ni suala la zamu. Usiponyanyaswa leo, ipo siku yako huko mbeleni inakuja - bila kujali wewe ni mtumishi wa Mungu au la. Anaweza kuja kutokea kiongozi mwingine wa hovyo zaidi kuliko hawa waliopo sasa kwa utashi wake tu akaitumia katiba hii kuwasulubu ninyi viongozi wa kiroho. Hahitajiki nabii kuliona hili likija huko mbeleni.

Kwa sababu sasa wamejitokeza watu jasiri walioamua kusimama kwa niaba yetu, hakuna wakati muafaka mwingine zaidi kwenu viongozi wa kiroho kupaza sauti zenu ili Mungu akapate kutenda kupitia kwenu haki ipate kutamalaki katika taifa letu alilotupa Mungu mwenyewe, sawasawa na maandiko matakatifu katika Biblia (Zaburi 7:11)



Huwa nashanga akili ya kijinga ya watu kama Msigwa. So Sasa Mama Samia amekuwa afisa usalama au Polisi. Kuna mtu anaonekana sasa Hotelini, then ten minutes later anaonekana mortuary.

Au dunia Hii Kuna watu huwa hawafanyi makosa. Sabaya alipokamatwa nderemo. What about Mbowe. Has he another make up in his body. Does he come from another sphere? Allow the process….
 
Uzi huu ni mahsusi kwa viongozi wetu wa kiroho (maaskofu na mashehe)

Hakuna Mtanzania (wakiwemo viongozi wa serekali wenyewe) asiyejua kuwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubambikwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe ni nia ovu ya kutaka kumkata makali katika adhma yake ya kupigania haki kwa watu wote hapa nchini kwetu.

Kwa ajili ya muktadha tu.

Mbowe ni mzazi.

Mbowe ni kiongozi wa siasa anayeheshimika barani kote Africa and beyond.

Mbowe ni mfanyabiashara mwadilifu - vinginevyo angekuwa tayari amebambikiwa makosa ya uhujumu uchumi siku nyingi

Baba yake Mbowe alipigania uhuru wa nchi hii, hivyo Freeman ni mtu ambaye damu yake imeshikamanishwa moja kwa moja na uhuru wa Tanganyika / Tanzania

Mbowe ni mtoto wa kiroho wa baba wa taifa Mwalimu JKN (Mungu amrehemu)

Viongozi wetu wa kiroho simameni mhesabike. Tunajua mnajua tunajua mnajua tunajua kwamba Mbowe anaonewa na serekali. Sababu za kuonewa kwake sihitaji kuzirudia hapa kwani zipo well documented.

Haya mambo ya kuonewa na kunyanyaswa chini ya serekali ya CCM ni suala la zamu. Usiponyanyaswa leo, ipo siku yako huko mbeleni inakuja - bila kujali wewe ni mtumishi wa Mungu au la. Anaweza kuja kutokea kiongozi mwingine wa hovyo zaidi kuliko hawa waliopo sasa kwa utashi wake tu akaitumia katiba hii kuwasulubu ninyi viongozi wa kiroho. Hahitajiki nabii kuliona hili likija huko mbeleni.

Kwa sababu sasa wamejitokeza watu jasiri walioamua kusimama kwa niaba yetu, hakuna wakati muafaka mwingine zaidi kwenu viongozi wa kiroho kupaza sauti zenu ili Mungu akapate kutenda kupitia kwenu haki ipate kutamalaki katika taifa letu alilotupa Mungu mwenyewe, sawasawa na maandiko matakatifu katika Biblia (Zaburi 7:11)


Tuna wajasiriamali si viongozi wa dini
 
Huwa nashanga akili ya kijinga ya watu kama Msigwa. So Sasa Mama Samia amekuwa afisa usalama au Polisi. Kuna mtu anaonekana sasa Hotelini, then ten minutes later anaonekana mortuary.

Au dunia Hii Kuna watu huwa hawafanyi makosa. Sabaya alipokamatwa nderemo. What about Mbowe. Has he another make up in his body. Does he come from another sphere? Allow the process….
Mpira utarudishwa kati tena soon kama March. Mungu hataniwi!
 
Viongozi wa dini?hakuna viongozi wa dini ndani ya nchi hii, ila Kuna makada wa ccm tu
 
Uzi huu ni mahsusi kwa viongozi wetu wa kiroho (maaskofu na mashehe)

Hakuna Mtanzania (wakiwemo viongozi wa serekali wenyewe) asiyejua kuwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubambikwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe ni nia ovu ya kutaka kumkata makali katika adhma yake ya kupigania haki kwa watu wote hapa nchini kwetu.

Kwa ajili ya muktadha tu.

Mbowe ni mzazi.

Mbowe ni kiongozi wa siasa anayeheshimika barani kote Africa and beyond.

Mbowe ni mfanyabiashara mwadilifu - vinginevyo angekuwa tayari amebambikiwa makosa ya uhujumu uchumi siku nyingi

Baba yake Mbowe alipigania uhuru wa nchi hii, hivyo Freeman ni mtu ambaye damu yake imeshikamanishwa moja kwa moja na uhuru wa Tanganyika / Tanzania

Mbowe ni mtoto wa kiroho wa baba wa taifa Mwalimu JKN (Mungu amrehemu)

Viongozi wetu wa kiroho simameni mhesabike. Tunajua mnajua tunajua mnajua tunajua kwamba Mbowe anaonewa na serekali. Sababu za kuonewa kwake sihitaji kuzirudia hapa kwani zipo well documented.

Haya mambo ya kuonewa na kunyanyaswa chini ya serekali ya CCM ni suala la zamu. Usiponyanyaswa leo, ipo siku yako huko mbeleni inakuja - bila kujali wewe ni mtumishi wa Mungu au la. Anaweza kuja kutokea kiongozi mwingine wa hovyo zaidi kuliko hawa waliopo sasa kwa utashi wake tu akaitumia katiba hii kuwasulubu ninyi viongozi wa kiroho. Hahitajiki nabii kuliona hili likija huko mbeleni.

Kwa sababu sasa wamejitokeza watu jasiri walioamua kusimama kwa niaba yetu, hakuna wakati muafaka mwingine zaidi kwenu viongozi wa kiroho kupaza sauti zenu ili Mungu akapate kutenda kupitia kwenu haki ipate kutamalaki katika taifa letu alilotupa Mungu mwenyewe, sawasawa na maandiko matakatifu katika Biblia (Zaburi 7:11)


Hakuna Viongozi wa Dini wanaotetea Wahalifu waliojificha kwenye mwamvuli wa Siasa.

Viongozi wa Dini washughulike na Dini na Waumini wao Makanisani na Misikitini, Vyombo vya Usalama vitashughulika na Wahalifu. Hakuna namna nyingine.
 
N
Uzi huu ni mahsusi kwa viongozi wetu wa kiroho (maaskofu na mashehe)

Hakuna Mtanzania (wakiwemo viongozi wa serekali wenyewe) asiyejua kuwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubambikwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe ni nia ovu ya kutaka kumkata makali katika adhma yake ya kupigania haki kwa watu wote hapa nchini kwetu.

Kwa ajili ya muktadha tu.

Mbowe ni mzazi.

Mbowe ni kiongozi wa siasa anayeheshimika barani kote Africa and beyond.

Mbowe ni mfanyabiashara mwadilifu - vinginevyo angekuwa tayari amebambikiwa makosa ya uhujumu uchumi siku nyingi

Baba yake Mbowe alipigania uhuru wa nchi hii, hivyo Freeman ni mtu ambaye damu yake imeshikamanishwa moja kwa moja na uhuru wa Tanganyika / Tanzania

Mbowe ni mtoto wa kiroho wa baba wa taifa Mwalimu JKN (Mungu amrehemu)

Viongozi wetu wa kiroho simameni mhesabike. Tunajua mnajua tunajua mnajua tunajua kwamba Mbowe anaonewa na serekali. Sababu za kuonewa kwake sihitaji kuzirudia hapa kwani zipo well documented.

Haya mambo ya kuonewa na kunyanyaswa chini ya serekali ya CCM ni suala la zamu. Usiponyanyaswa leo, ipo siku yako huko mbeleni inakuja - bila kujali wewe ni mtumishi wa Mungu au la. Anaweza kuja kutokea kiongozi mwingine wa hovyo zaidi kuliko hawa waliopo sasa kwa utashi wake tu akaitumia katiba hii kuwasulubu ninyi viongozi wa kiroho. Hahitajiki nabii kuliona hili likija huko mbeleni.

Kwa sababu sasa wamejitokeza watu jasiri walioamua kusimama kwa niaba yetu, hakuna wakati muafaka mwingine zaidi kwenu viongozi wa kiroho kupaza sauti zenu ili Mungu akapate kutenda kupitia kwenu haki ipate kutamalaki katika taifa letu alilotupa Mungu mwenyewe, sawasawa na maandiko matakatifu katika Biblia (Zaburi 7:11)


Ninyi wafuasi wake mmeshindwa kumsaidia Gaidi Mbowe kama Zuma anavyosaidiwa na wafuasi wake hadi muombe pooh kwa viongozi wa dini? Anyway, labda Viongozi wa dini wahuni kama Mwamakula, Niwemugizi na Bagonza wanaweza wakaropokaropka!
 
Back
Top Bottom