Freeman Mbowe: CHADEMA itaboresha maisha ya walimu

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,843
Watumishi wa umma wakiwemo jeshi la polisi wana changamoto nyingi ikiwemo kukosekana kwa makazi bora, hali inayoathiri weledi na ufanisi wao wa kazi.

Moja ya vipaumbele vya CHADEMA pale itakaposhika dola ni kuboresha maisha ya watumishi wa umma wakiwemo polisi na walimu.

Ziara yangu ya mikutano ya hadhara Kanda ya Ziwa pamoja na kutukutanisha na wananchi, imetupatia nafasi ya kuyajua kiundani changamoto lukuki ambazo miaka zaidi ya 60 ya uhuru watawala wa CM wameshindwa kuyatolea ufumbuzi.

Freeman Mbowe

===

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Mbowe, Lissu na wanachadema wote wapambanaji, maisha ya walimu ni umasikini sugu zaidi ya kutu. Inahitaji viongozi wa kuwakomboa.
 
Screenshot_2023-08-12-11-02-39-1.jpg
 
Mbowe alikuwa mbunge wa Hai kwa miaka 15, changamoto za walimu wa Hai ni kama za wa kanda ya ziwa Leo watu wanalaghaiwa kwamba mikutano ya kanda ya ziwa imewafanya wazijue changamoto za huku wakati akiwa Hai hakufanya lolote. Aibu hii
 
Watumishi wa umma wakiwemo jeshi la polisi wana changamoto nyingi ikiwemo kukosekana kwa makazi bora, hali inayoathiri weledi na ufanisi wao wa kazi.

Moja ya vipaumbele vya CHADEMA pale itakaposhika dola ni kuboresha maisha ya watumishi wa umma wakiwemo polisi na walimu.

Ziara yangu ya mikutano ya hadhara Kanda ya Ziwa pamoja na kutukutanisha na wananchi, imetupatia nafasi ya kuyajua kiundani changamoto lukuki ambazo miaka zaidi ya 60 ya uhuru watawala wa CM wameshindwa kuyatolea ufumbuzi.

Freeman Mbowe

===

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Mbowe, Lissu na wanachadema wote wapambanaji, maisha ya walimu ni umasikini sugu zaidi ya kutu. Inahitaji viongozi wa kuwakomboa.
Hicho tu ndiyo umeona cha maana alichoongea Mbowe?
Halafu toka lini mchaga amkomboe kyasaka?
Walimu, pambaneni na hali zenu.
 
Watumishi wa umma wakiwemo jeshi la polisi wana changamoto nyingi ikiwemo kukosekana kwa makazi bora, hali inayoathiri weledi na ufanisi wao wa kazi.

Moja ya vipaumbele vya CHADEMA pale itakaposhika dola ni kuboresha maisha ya watumishi wa umma wakiwemo polisi na walimu.

Ziara yangu ya mikutano ya hadhara Kanda ya Ziwa pamoja na kutukutanisha na wananchi, imetupatia nafasi ya kuyajua kiundani changamoto lukuki ambazo miaka zaidi ya 60 ya uhuru watawala wa CM wameshindwa kuyatolea ufumbuzi.

Freeman Mbowe

===

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Mbowe, Lissu na wanachadema wote wapambanaji, maisha ya walimu ni umasikini sugu zaidi ya kutu. Inahitaji viongozi wa kuwakomboa.
Hayo ndiyo ya kuongea upinzani. maisha ya kila mwananchi kuimarishwa.

Siyo kutupigia kelele za kubaguzi za kijinga.

Naona Mbowe anaanza kutia akili baada ya Wambura kutowa onyo.


Sasa aje na sera, atafikiaje huko, siyo porojo bila ufumbuzi.

Ameona bajaeti sasa imeelekezwa kunyanyuwa viwango vya maisha ndiyo anataka kuzibaka sera za CCM.


Nyumba za walimu na mabweni ya wanafunzi tayari zipo kwenye bajeti, aisome bajeti asilete longolongo.
 
Mbowe alikuwa mbunge wa Hai kwa miaka 15, changamoto za walimu wa Hai ni kama za wa kanda ya ziwa Leo watu wanalaghaiwa kwamba mikutano ya kanda ya ziwa imewafanya wazijue changamoto za huku wakati akiwa Hai hakufanya lolote. Aibu hii
Akili ya MaCCM ni matope kweli, Kwani Mbowe alikiwa anakusanya Kodi? Mbowe alisemea sana haya mambo Ili maCCM yanayokusanya Kodi hayasikii ni ufisadi na kuuza Mali za imma. Uzeni na mlima Kilimanjaro mkimaliza bandari.
 
Watumishi wa umma wakiwemo jeshi la polisi wana changamoto nyingi ikiwemo kukosekana kwa makazi bora, hali inayoathiri weledi na ufanisi wao wa kazi.

Moja ya vipaumbele vya CHADEMA pale itakaposhika dola ni kuboresha maisha ya watumishi wa umma wakiwemo polisi na walimu.

Ziara yangu ya mikutano ya hadhara Kanda ya Ziwa pamoja na kutukutanisha na wananchi, imetupatia nafasi ya kuyajua kiundani changamoto lukuki ambazo miaka zaidi ya 60 ya uhuru watawala wa CM wameshindwa kuyatolea ufumbuzi.

Freeman Mbowe

===

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Mbowe, Lissu na wanachadema wote wapambanaji, maisha ya walimu ni umasikini sugu zaidi ya kutu. Inahitaji viongozi wa kuwakomboa.
Ni sawa na kuahidiwa utaletewa samaki, ukapika ugali kabisa.

Walimu SHERIA inatambua kabisa ruhusa ya kuandamana kudai HAKI zao lakini hawaandamani wanausubiri AHADI.!!
 
Hayo ndiyo ya kuongea upinzani. maisha ya kila mwananchi kuimarishwa.

Siyo kutupigia kelele za kubaguzi za kijinga.

Naona Mbowe anaanza kutia akili baada ya Wambura kutowa onyo.


Sasa aje na sera, atafikiaje huko, siyo porojo bila ufumbuzi.

Ameona bajaeti sasa imeelekezwa kunyanyuwa viwango vya maisha ndiyo anataka kuzibaka sera za CCM.


Nyumba za walimu na mabweni ya wanafunzi tayari zipo kwenye bajeti, aisome bajeti asilete longolongo.
Huna hoja Kaa kimya!!, nyumba za walimu ndokuboresha maisha ya walimu??. Hapa ubora unaosemwa ni pesa
 
Kawaulize Walimu mipesa wanayokula sasa. Na wameahidiwa kila mwaka kuongezwa.

Unajuwa Mwalimu wa Tanzania anafundisha kwa kompyuta? Mwenyewe mama aliyewapa anaviita "vishikwambi".
Vishikwambi au makopo? Siku mwalimu akiwa na pesa basi hapatakuwepo mtu masikini Dunia hii
 
Back
Top Bottom