Freeman Aikael Mbowe ni hazina ya Taifa

Sep 13, 2023
35
46
Huyu patriot,

Ni mtu wa maana sana nchini, Lakini pia ni mtu sahihi sana, muhimu mno kwa mustakabali wa amani, utulivu na utangamano miongoni mwa wa Tanzania nchini.

Njia anazopitia, njia anaozoingilia na kutokea kitaifa na kimataifa, ni ishara ya umakini na umuhimu wake kwa Taifa na kimataifa.

Freeman Aikael Mbowe anaaminika na kukubalika si tu ndani ya chama chake, bali pia nje ya chama chake, kitaifa na kimataifa, serikalini na miongoni mwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini.

Licha ya mathila ya kisiasa, manyanyaso, uonevu na ukanadamizwaji alopitia, ni dhahiri mzalendo huyu amesamehe na amesahau. Hahitaji huruma ya mtu awaye yeyote kwa mathila alopitia ili kupata kitu au nafasi kisiasa au kijamii.

Anasonga mbele kuliunganisha Taifa na wenzake walio tayari kwa hilo.

Ni dhahiri mzalendo huyu anaweza kua kitu fulani kikubawa sana nchini Tanzania siku za usoni.

Umustahimilivu wake, Umvumilivu wake, Usikivu wake, Unyenyekevu wake, Subira zake, Kutokukata tama kwake, Kusamehe kwake, kujitolea kwake, Kusamehe kwake, Kutokua mchoyo na kutokua mbinafsi kwake, Utashi na Imani yake kwa Mungu na kwa Tanzania vitamlipa siku si nyingi.

Ni mtu wa kipekee sana na ndie pekee anaweza kuketi chini kujadiliana na kukubaliana wayforward na watesi wake kwa maslahi mapana ya walio wengi.

Keep it Up, stateman Freeman Aikael Mbowe.

Mungu Ibariki Tanzania na Viongozi Wake.
 
Kosa kubwa la Mbowe ni kumkaribisha Lowassa - mtu ambaye walikuwa wakimshambulia kuwa ni fisadi nambari wani - kuwa mgombea urais wa chama. Tangu hapo CHADEMA hakijawahi kuwa na ajenda endelevu jumuishi mbali na kufanya siasa za kudandia dandia matukio tu. Alikinyang'anya chama ajenda muhimu ya mapambano dhidi ya ufisadi, ajenda ambayo ilikipa chama umaarufu mkubwa.

Kama kuna siku CHADEMA itatetereka basi chanzo chake kinaweza kuwa kosa hili la kumuweka Lowassa - japo chama kilipata faida za muda mfupi (mf. wingi wa wabunge na hivyo wingi wa ruzuku)

Vinginevyo jamaa ni mvumilivu na mwenye busara (mf. Maridhiano yake na mama n.k)

Screenshot_20230926_082152_DuckDuckGo.jpg
 
Kosa kubwa la Mbowe ni kumkaribisha Lowassa - mtu ambaye walikuwa wakimshambulia kuwa ni fisadi nambari wani - kuwa mgombea urais wa chama. Tangu hapo CHADEMA hakijawahi kuwa na ajenda endelevu jumuishi mbali na kufanya siasa za kudandia dandia matukio tu. Alikinyang'anya chama ajenda muhimu ya mapambano dhidi ya ufisadi, ajenda ambayo ilikipa chama umaarufu mkubwa.

Kama kuna siku CHADEMA itatetereka basi chanzo chake kinaweza kuwa kosa hili la kumuweka Lowassa - japo chama kilipata faida za muda mfupi (mf. wingi wa wabunge na hivyo wingi wa ruzuku)

Vinginevyo jamaa ni mvumilivu na mwenye busara (mf. Maridhiano yake na mama n.k)

View attachment 2762598
Yes, but political mistakes nchini Tanzania, ukichunguza na kupiga darubini vizuri, utagundua kua vyama vikubwa, vidogo na vikongwe vimefanya sana makosa mengi ya kisiasa hususani yanayofana na hilo ulilo liibuua kumuhusu mbowe.

Uzuri ni kwamba wanabaini izo mistakes wanajifunza, wanazifanyia kazi na wanajirekebisha wanasonga mbele, japo zinaweza kuwa zimewaathiri na kuwarudisha nyuma kidogo. Mbowe is bold and very focused..
 
Kosa kubwa la Mbowe ni kumkaribisha Lowassa - mtu ambaye walikuwa wakimshambulia kuwa ni fisadi nambari wani - kuwa mgombea urais wa chama. Tangu hapo CHADEMA hakijawahi kuwa na ajenda endelevu jumuishi mbali na kufanya siasa za kudandia dandia matukio tu. Alikinyang'anya chama ajenda muhimu ya mapambano dhidi ya ufisadi, ajenda ambayo ilikipa chama umaarufu mkubwa.

Kama kuna siku CHADEMA itatetereka basi chanzo chake kinaweza kuwa kosa hili la kumuweka Lowassa - japo chama kilipata faida za muda mfupi (mf. wingi wa wabunge na hivyo wingi wa ruzuku)

Vinginevyo jamaa ni mvumilivu na mwenye busara (mf. Maridhiano yake na mama n.k)

View attachment 2762598
Lowasa sahivi bado yupo CHADEMA au CCM?
 
Mwenyekiti wa kudumu sultan mbowe ni mjanja mjanja anayemiliki nyumbu za kutosha hapo chadema, chadema nzima hakuna mwenye ujasiri wa kuhoji mapato na matumizi ya chama
 
Mwenyekiti wa kudumu sultan mbowe ni mjanja mjanja anayemiliki nyumbu za kutosha hapo chadema, chadema nzima hakuna mwenye ujasiri wa kuhoji mapato na matumizi ya chama
elawa kwamba mtu akishakua bold na yuko sirious huku akiwa very focused, hawezi kukubali umrudishe nyuma kwa kuhoji vitu ambavyo tayari impact yake inaonekana hadharani.

Atakufyekelea mbali tu ukijaribu kutatiza au kublock ambition na mission yake,

ukweli usemwe, ata kama ingekua wewe lazma utamfyekelea mbali mtu ambae anakuzuia kuyafikia malengo yako kwa kejeli.
 
Kosa kubwa la Mbowe ni kumkaribisha Lowassa - mtu ambaye walikuwa wakimshambulia kuwa ni fisadi nambari wani - kuwa mgombea urais wa chama. Tangu hapo CHADEMA hakijawahi kuwa na ajenda endelevu jumuishi mbali na kufanya siasa za kudandia dandia matukio tu. Alikinyang'anya chama ajenda muhimu ya mapambano dhidi ya ufisadi, ajenda ambayo ilikipa chama umaarufu mkubwa.

Kama kuna siku CHADEMA itatetereka basi chanzo chake kinaweza kuwa kosa hili la kumuweka Lowassa - japo chama kilipata faida za muda mfupi (mf. wingi wa wabunge na hivyo wingi wa ruzuku)

Vinginevyo jamaa ni mvumilivu na mwenye busara (mf. Maridhiano yake na mama n.k)

View attachment 2762598
Lowasa aliyeweza kumpiga chini Magu!! hadi wakaiba kura!
Aisee lakini mbowe ana uonevu sana.
1. 2010 akampelekea Jakaya Dr Slaa akamgaraza kama anacheka vile. Jakaya akakonda kama ng'onda hadi akabadilisha picha za maofisini.
2. 2015 Akampelekea Magu Mh E Lowasa. Magu akagarazwa huku akijishaua na push up
3. 2020 Akampelekea Magu Mh Antipas Lisu aliyemgaragaza hadi akakwapua mchakato wa uchaguzi na wakaogopa kutoa matokea ya urais jimbo kwa jimbo hadi leo. Kihoro alichokipata Magu akaamua kufa!!

Achana na profesa wa siasa Tanzania!
 
Huyu patriot,

Ni mtu wa maana sana nchini, Lakini pia ni mtu sahihi sana, muhimu mno kwa mustakabali wa amani, utulivu na utangamano miongoni mwa wa Tanzania nchini.

Njia anazopitia, njia anaozoingilia na kutokea kitaifa na kimataifa, ni ishara ya umakini na umuhimu wake kwa Taifa na kimataifa.

Freeman Aikael Mbowe anaaminika na kukubalika si tu ndani ya chama chake, bali pia nje ya chama chake, kitaifa na kimataifa, serikalini na miongoni mwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini.

Licha ya mathila ya kisiasa, manyanyaso, uonevu na ukanadamizwaji alopitia, ni dhahiri mzalendo huyu amesamehe na amesahau. Hahitaji huruma ya mtu awaye yeyote kwa mathila alopitia ili kupata kitu au nafasi kisiasa au kijamii.

Anasonga mbele kuliunganisha Taifa na wenzake walio tayari kwa hilo.

Ni dhahiri mzalendo huyu anaweza kua kitu fulani kikubawa sana nchini Tanzania siku za usoni.

Umustahimilivu wake, Umvumilivu wake, Usikivu wake, Unyenyekevu wake, Subira zake, Kutokukata tama kwake, Kusamehe kwake, kujitolea kwake, Kusamehe kwake, Kutokua mchoyo na kutokua mbinafsi kwake, Utashi na Imani yake kwa Mungu na kwa Tanzania vitamlipa siku si nyingi.

Ni mtu wa kipekee sana na ndie pekee anaweza kuketi chini kujadiliana na kukubaliana wayforward na watesi wake kwa maslahi mapana ya walio wengi.

Keep it Up, stateman Freeman Aikael Mbowe.

Mungu Ibariki Tanzania na Viongozi Wake.
Muhuni kabisa!
 
Huyu patriot,

Ni mtu wa maana sana nchini, Lakini pia ni mtu sahihi sana, muhimu mno kwa mustakabali wa amani, utulivu na utangamano miongoni mwa wa Tanzania nchini.

Njia anazopitia, njia anaozoingilia na kutokea kitaifa na kimataifa, ni ishara ya umakini na umuhimu wake kwa Taifa na kimataifa.

Freeman Aikael Mbowe anaaminika na kukubalika si tu ndani ya chama chake, bali pia nje ya chama chake, kitaifa na kimataifa, serikalini na miongoni mwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini.

Licha ya mathila ya kisiasa, manyanyaso, uonevu na ukanadamizwaji alopitia, ni dhahiri mzalendo huyu amesamehe na amesahau. Hahitaji huruma ya mtu awaye yeyote kwa mathila alopitia ili kupata kitu au nafasi kisiasa au kijamii.

Anasonga mbele kuliunganisha Taifa na wenzake walio tayari kwa hilo.

Ni dhahiri mzalendo huyu anaweza kua kitu fulani kikubawa sana nchini Tanzania siku za usoni.

Umustahimilivu wake, Umvumilivu wake, Usikivu wake, Unyenyekevu wake, Subira zake, Kutokukata tama kwake, Kusamehe kwake, kujitolea kwake, Kusamehe kwake, Kutokua mchoyo na kutokua mbinafsi kwake, Utashi na Imani yake kwa Mungu na kwa Tanzania vitamlipa siku si nyingi.

Ni mtu wa kipekee sana na ndie pekee anaweza kuketi chini kujadiliana na kukubaliana wayforward na watesi wake kwa maslahi mapana ya walio wengi.

Keep it Up, stateman Freeman Aikael Mbowe.

Mungu Ibariki Tanzania na Viongozi Wake.
Wewe utakuwa ni mchaga. Bomu hilo liwe hazina?
 
Sana ni aina ya wanaume wachache sana wenye damu ya kina Mandela,kwamenkrumah,samoraMachel,stiv bicco etc etc etc etc.Mungu azidi kumlinda
 
Kosa kubwa la Mbowe ni kumkaribisha Lowassa - mtu ambaye walikuwa wakimshambulia kuwa ni fisadi nambari wani - kuwa mgombea urais wa chama. Tangu hapo CHADEMA hakijawahi kuwa na ajenda endelevu jumuishi mbali na kufanya siasa za kudandia dandia matukio tu. Alikinyang'anya chama ajenda muhimu ya mapambano dhidi ya ufisadi, ajenda ambayo ilikipa chama umaarufu mkubwa.

Kama kuna siku CHADEMA itatetereka basi chanzo chake kinaweza kuwa kosa hili la kumuweka Lowassa - japo chama kilipata faida za muda mfupi (mf. wingi wa wabunge na hivyo wingi wa ruzuku)

Vinginevyo jamaa ni mvumilivu na mwenye busara (mf. Maridhiano yake na mama n.k)

View attachment 2762598
Hakuna kosa lolote lililofanyika kwasababu kuiondoa ccm madarakani kulipaswa zitumuke silaha zozote na usifikiri ni kitu rahisi bila wananchi kuelewa haki zao na nchi kua na katiba mpya inayotoa fursa sawa zakiuongozi.Faida ilipatikana kubwa kwasababu wananchi wanazidi kuelimika na kuunga mkono harakati zakisiasa.Uchaguzi uliopita ulionyesha taswira halisi ila wenye urithi wa nchi wakaamua kuhuaribu.ila majibu yatakuja siku moja kwasababu maisha lazima yandelee kwasababu safari ya mabadiliko sio kitu cha siku moja.
 
Mwenyekiti wa kudumu sultan mbowe ni mjanja mjanja anayemiliki nyumbu za kutosha hapo chadema, chadema nzima hakuna mwenye ujasiri wa kuhoji mapato na matumizi ya chama
Unadhani watu wote wana akili zakushikiwa kama wewe.Wajinga mnajijua,mbwembwe nyingi uku nchi inawashinda kila sekta.
 
Wewe utakuwa ni mchaga. Bomu hilo liwe hazina?
Hapana mimi sio mchaga na sijaoa bado.

Nafatilia siasa za vyama na ninapendelea siasa za Tz, East Africa na Africa kwa ujumla.


Powerful Freman Aikael Mbowe ni miongoni mwa viongozi wazalendo ninao wafuatilia kwa karibu zaidi.
 
Back
Top Bottom