Uonevu dhidi ya Mbowe: Viongozi wa dini toeni kauli ya kitume

Nasema hivi, acheni siasa za kitoto tafadhali. Wanaume wazima mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaendekeza utoto, mnaujua ugaidi au mnadhani mnaongea na watoto wadogo? Hivyo vyombo vya dola vimtaje aliyejiunganishia bomba la mafuta, sio kupoteza fedha za umma kwa mambo ya kipuuzi.
Viongozi wa kisiasa haiwezekani kuwa magaidi?
 
Narudia tena, unajua ugaidi au unaendekeza Siasa chafu?
Nitaendelea kukuuliza swali hili mpaka utakapo lijibu ndio tutaendelea na mjadala.

Viongozi wa kisiasa haiwezekani kuwa magaidi??
 
Acha utoto dogo.
Nadhani hapa mtoto ni wewe unaye shindwa kujibu maswali badala yake umekalia jazba,dhihaka na porojo tu.

Nimekuuliza swali jepesi tu

Viongozi wa kisiasa haiwezekani kuwa magaidi??

Jibu swali mkubwa wangu.
 

Uzi huu ni mahsusi kwa viongozi wetu wa kiroho (maaskofu na mashehe)


Hakuna Mtanzania (wakiwemo viongozi wa serekali wenyewe) asiyejua kuwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubambikwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe ni nia ovu ya kutaka kumkata makali katika adhma yake ya kupigania haki kwa watu wote hapa nchini kwetu.

Kwa ajili ya muktadha tu.

Mbowe ni mzazi.

Mbowe ni kiongozi wa siasa anayeheshimika barani kote Africa and beyond.

Mbowe ni mfanyabiashara mwadilifu - vinginevyo angekuwa tayari amebambikiwa makosa ya uhujumu uchumi siku nyingi

Baba yake Mbowe alipigania uhuru wa nchi hii, hivyo Freeman ni mtu ambaye damu yake imeshikamanishwa moja kwa moja na uhuru wa Tanganyika / Tanzania

Mbowe ni mtoto wa kiroho wa baba wa taifa Mwalimu JKN (Mungu amrehemu)

Viongozi wetu wa kiroho simameni mhesabike. Tunajua mnajua tunajua mnajua tunajua kwamba Mbowe anaonewa na serekali. Sababu za kuonewa kwake sihitaji kuzirudia hapa kwani zipo well documented.

Haya mambo ya kuonewa na kunyanyaswa chini ya serekali ya CCM ni suala la zamu. Usiponyanyaswa leo, ipo siku yako huko mbeleni inakuja - bila kujali wewe ni mtumishi wa Mungu au la. Anaweza kuja kutokea kiongozi mwingine wa hovyo zaidi kuliko hawa waliopo sasa kwa utashi wake tu akaitumia katiba hii kuwasulubu ninyi viongozi wa kiroho. Hahitajiki nabii kuliona hili likija huko mbeleni.

Kwa sababu sasa wamejitokeza watu jasiri walioamua kusimama kwa niaba yetu, hakuna wakati muafaka mwingine zaidi kwenu viongozi wa kiroho kupaza sauti zenu ili Mungu akapate kutenda kupitia kwenu haki ipate kutamalaki katika taifa letu alilotupa Mungu mwenyewe, sawasawa na maandiko matakatifu katika Biblia (Zaburi 7:11)


 
Uzi huu ni mahsusi kwa viongozi wetu wa kiroho (maaskofu na mashehe)

Hakuna Mtanzania (wakiwemo viongozi wa serekali wenyewe) asiyejua kuwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubambikwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe ni nia ovu ya kutaka kumkata makali katika adhma yake ya kupigania haki kwa watu wote hapa nchini kwetu.

Kwa ajili ya muktadha tu.

Mbowe ni mzazi.

Mbowe ni kiongozi wa siasa anayeheshimika barani kote Africa and beyond.

Mbowe ni mfanyabiashara mwadilifu - vinginevyo angekuwa tayari amebambikiwa makosa ya uhujumu uchumi siku nyingi

Baba yake Mbowe alipigania uhuru wa nchi hii, hivyo Freeman ni mtu ambaye damu yake imeshikamanishwa moja kwa moja na uhuru wa Tanganyika / Tanzania

Mbowe ni mtoto wa kiroho wa baba wa taifa Mwalimu JKN (Mungu amrehemu)

Viongozi wetu wa kiroho simameni mhesabike. Tunajua mnajua tunajua mnajua tunajua kwamba Mbowe anaonewa na serekali. Sababu za kuonewa kwake sihitaji kuzirudia hapa kwani zipo well documented.

Haya mambo ya kuonewa na kunyanyaswa chini ya serekali ya CCM ni suala la zamu. Usiponyanyaswa leo, ipo siku yako huko mbeleni inakuja - bila kujali wewe ni mtumishi wa Mungu au la. Anaweza kuja kutokea kiongozi mwingine wa hovyo zaidi kuliko hawa waliopo sasa kwa utashi wake tu akaitumia katiba hii kuwasulubu ninyi viongozi wa kiroho. Hahitajiki nabii kuliona hili likija huko mbeleni.

Kwa sababu sasa wamejitokeza watu jasiri walioamua kusimama kwa niaba yetu, hakuna wakati muafaka mwingine zaidi kwenu viongozi wa kiroho kupaza sauti zenu ili Mungu akapate kutenda kupitia kwenu haki ipate kutamalaki katika taifa letu alilotupa Mungu mwenyewe, sawasawa na maandiko matakatifu katika Biblia (Zaburi 7:11)


Hawawezi.. wanaangalia matumbo yao tu
 

Hawa watu wanajichanganya sana na mwisho wao utakuwa wa aibu kubwa - kama siyo fatal kabisa.

Kujichanganyikiwa ni dalili ya watu wanaochungulia mauti - kumbuka wiki chache kabla ya tarehe 17 March jinsi Magufuli alivyokuwa akichanganya madesa. Alifikia mahali akasahau kuwa siku ina masaa 24!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wakati anampiga mkwara rais na kumtisha mara wataingia barabarani mara tutatumia wembe ule ule mlikuwa mnadhani rais atakaa kimya?

Rais anayeonyesha hataki mchezo kwa maneno ya mtu kama Mdude, atakuwa na IQ ndogo kwelikweli. Angewakamata waliojiunganishia bomba la mafuta ningemuona ana jipya.
 
Uzi huu ni mahsusi kwa viongozi wetu wa kiroho (maaskofu na mashehe)

Hakuna Mtanzania (wakiwemo viongozi wa serekali wenyewe) asiyejua kuwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubambikwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe ni nia ovu ya kutaka kumkata makali katika adhma yake ya kupigania haki kwa watu wote hapa nchini kwetu.

Kwa ajili ya muktadha tu.

Mbowe ni mzazi.

Mbowe ni kiongozi wa siasa anayeheshimika barani kote Africa and beyond.

Mbowe ni mfanyabiashara mwadilifu - vinginevyo angekuwa tayari amebambikiwa makosa ya uhujumu uchumi siku nyingi

Baba yake Mbowe alipigania uhuru wa nchi hii, hivyo Freeman ni mtu ambaye damu yake imeshikamanishwa moja kwa moja na uhuru wa Tanganyika / Tanzania

Mbowe ni mtoto wa kiroho wa baba wa taifa Mwalimu JKN (Mungu amrehemu)

Viongozi wetu wa kiroho simameni mhesabike. Tunajua mnajua tunajua mnajua tunajua kwamba Mbowe anaonewa na serekali. Sababu za kuonewa kwake sihitaji kuzirudia hapa kwani zipo well documented.

Haya mambo ya kuonewa na kunyanyaswa chini ya serekali ya CCM ni suala la zamu. Usiponyanyaswa leo, ipo siku yako huko mbeleni inakuja - bila kujali wewe ni mtumishi wa Mungu au la. Anaweza kuja kutokea kiongozi mwingine wa hovyo zaidi kuliko hawa waliopo sasa kwa utashi wake tu akaitumia katiba hii kuwasulubu ninyi viongozi wa kiroho. Hahitajiki nabii kuliona hili likija huko mbeleni.

Kwa sababu sasa wamejitokeza watu jasiri walioamua kusimama kwa niaba yetu, hakuna wakati muafaka mwingine zaidi kwenu viongozi wa kiroho kupaza sauti zenu ili Mungu akapate kutenda kupitia kwenu haki ipate kutamalaki katika taifa letu alilotupa Mungu mwenyewe, sawasawa na maandiko matakatifu katika Biblia (Zaburi 7:11)


Viongozi wa dini walishtakiwa wamebaki wafanyabishara kwa jina la dini
 
Biblia iliposema wapo watu wataenda kwa Yesu nakusema bwana tulitoa pepo kwa jina lako na yesu atawakataa jua watakua wengi na wengi ni viongozi wa kidini wanaomtumikia shetani kupitia uoga walioupa jina hekima au amani ya moyo
 
Back
Top Bottom