Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Viongozi wa kisiasa haiwezekani kuwa magaidi?Nasema hivi, acheni siasa za kitoto tafadhali. Wanaume wazima mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaendekeza utoto, mnaujua ugaidi au mnadhani mnaongea na watoto wadogo? Hivyo vyombo vya dola vimtaje aliyejiunganishia bomba la mafuta, sio kupoteza fedha za umma kwa mambo ya kipuuzi.