Uoga wa Serikali/CCM

Uoga wa Serikali/CCM

Ni mara kadhaa sasa nimeona na kusikia watu wakisema kuwa eti serikali inaogopa.

Kwamba inaogopa maandamano yanayopangwa kufanyika tarehe 26 mwezi Aprili.

Watu wasemao hivyo wanasema hivyo kwa sababu wamejiaminisha kuwa kama serikali ingekuwa haiyaogopi hayo maandamano basi baadhi ya viongozi wasingeyazungumzia hata kidogo.

Si ajabu hata hapa atajitokeza mtu atayesema kuwa hata mimi nayaogopa hayo maandamano na ndo maana nimeanzisha tena uzi unaoyahusu.

Sasa jana rais Magufuli naye kazungumzia watu kuandamana. Na si mara yake ya kwanza kufanya hivyo. Keshafanya hivyo mara kadhaa huko nyuma.

Magufuli kutaja neno ‘maandamano’ hiyo jana imekuwa nongwa. Watu wanataka kutuaminisha kwamba hayo maneno ya mitandaoni huko kuhusu hayo maandamano yanamnyima raha na usingizi rais kwa sababu mpaka yeye kayazungumzia hiyo jana.

Mimi sidhani kama serikali inaogopa. Ninachokiona ni serikali yenye watu wanaojua na kutambua kinachozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii. Kujua na kutambua huko si uoga. Si kuogopa.

Kuogopa ni pale ambapo wale waliokuwa wanapiga sana kelele za maandamano kutokujitokeza na kuandamana siku ambayo walikuwa wamepanga kuandamana. Huo ndo uoga na huko ndo kuogopa.

Maana tayari wameshaambiwa ole wao waandamane. Wataenda kusimulia yatayowapata. Sasa siku ya siku ikifika na hakuna anayeingia barabarani, huko ndo kuogopa.

Lakini mtu kusema kuwa kasikia kuna watu wamepanga kuandamana au Ngabu kuja kuanzisha nyuzi hapa kuhusu hayo maandamano, sioni uoga hapo.

Kwa hiyo, mimi nadhani na naamini kuwa wote wasemao kuwa serikali inaogopa wanasema hivyo kujipa faraja tu.

Wanajiaminisha kuwa serikali inaogopa ili wajisikie vizuri tu. Wajione na wao kelele zao dhidi ya serikali zina athari ingawa kiuhalisia sivyo hivyo.

Ni kweli serikali inaogopa ndio maana majuha kama wewe mpo hapa kuitetea. Mimi binafsi thread zangu hapa zimeshafutwa mara nyingi na hazikuwa na 'uchochezi' wowote ila ni mambo halisi yanayotokea.
 
Ni mara kadhaa sasa nimeona na kusikia watu wakisema kuwa eti serikali inaogopa.

Kwamba inaogopa maandamano yanayopangwa kufanyika tarehe 26 mwezi Aprili.

Watu wasemao hivyo wanasema hivyo kwa sababu wamejiaminisha kuwa kama serikali ingekuwa haiyaogopi hayo maandamano basi baadhi ya viongozi wasingeyazungumzia hata kidogo.

Si ajabu hata hapa atajitokeza mtu atayesema kuwa hata mimi nayaogopa hayo maandamano na ndo maana nimeanzisha tena uzi unaoyahusu.

Sasa jana rais Magufuli naye kazungumzia watu kuandamana. Na si mara yake ya kwanza kufanya hivyo. Keshafanya hivyo mara kadhaa huko nyuma.

Magufuli kutaja neno ‘maandamano’ hiyo jana imekuwa nongwa. Watu wanataka kutuaminisha kwamba hayo maneno ya mitandaoni huko kuhusu hayo maandamano yanamnyima raha na usingizi rais kwa sababu mpaka yeye kayazungumzia hiyo jana.

Mimi sidhani kama serikali inaogopa. Ninachokiona ni serikali yenye watu wanaojua na kutambua kinachozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii. Kujua na kutambua huko si uoga. Si kuogopa.

Kuogopa ni pale ambapo wale waliokuwa wanapiga sana kelele za maandamano kutokujitokeza na kuandamana siku ambayo walikuwa wamepanga kuandamana. Huo ndo uoga na huko ndo kuogopa.

Maana tayari wameshaambiwa ole wao waandamane. Wataenda kusimulia yatayowapata. Sasa siku ya siku ikifika na hakuna anayeingia barabarani, huko ndo kuogopa.

Lakini mtu kusema kuwa kasikia kuna watu wamepanga kuandamana au Ngabu kuja kuanzisha nyuzi hapa kuhusu hayo maandamano, sioni uoga hapo.

Kwa hiyo, mimi nadhani na naamini kuwa wote wasemao kuwa serikali inaogopa wanasema hivyo kujipa faraja tu.

Wanajiaminisha kuwa serikali inaogopa ili wajisikie vizuri tu. Wajione na wao kelele zao dhidi ya serikali zina athari ingawa kiuhalisia sivyo hivyo.
We mshamba maisha yameshakushinda ya kutawaza vizee USA sasa umeamuwa kulamba makalio ya watawala ukidhani utapewa shavu, fala sana wewe.

Tumia nguvu hii kuhamasisha wasukuma wenzako wajifunze ustaarabu rahisi tu wa kujenga vyoo badala ya kuendelea kunya ziwani na kuchambia maji ya ziwani.

Wewe kufikia mwisho wa mwaka huu kama hawajakukumbuka badi sishangai nikisikia umeolewa kummah wewe.
 
Tanzania hakuna anayeweza kuandamana akiona wanajeshi wanafanya usafi pale lugalo barracks nani ataweza andamana

Mbwembwe za watu hapa Bongo ukipiga risasi hewani mchana Posta hakuna atakayebaki ofsini wote ni mbio kuelekea majumbani
Subiri tarehe 26 siyo mbali. Wewe na wasukuma wenzako ndio mtajuwa nchi hii ni ya umma na siyo ya wasukuma.
 
kiukweli sijaona mtu wa kuandamana kwa ajili ya mange kasema! alafu hayo maandamano yatakuwa dar tu?? maana huku mkoani nilipo hata watu hawana habari
Mm habari ninayo.. na nitakuwepo mkuu usihofu.
 
Nimemsikilizaa Mwigulu na naona Sasa wananza kuelewa kuwa haya maandamano sio ya chadema au cuf au act au wafuasi wa Hashim Rungwe
Haya ni maandamano ya watanzania wakiwamo ccm ndio maana mwigulu kachagua kuwaita “maandamano yanayoandaliwa na wapinzania wako wa kisiasa “

Na Kama kawaida anakuja na majibu mepesi kuwa waandamanaji wamepanga kufyatua risasi eti wataandamana na AK 47

Huenda wao ndio wana Mpango wa kuwapenyeza Askari kanzu na silaha
 
Hakuna u-ey yoyote ile.

Kilichopo ni vichwa vyenu vilivyo vigumu tu.

Magufuli nikiona kuna sehemu au jambo kakosea, nitamchana tu. Iwe leo, kesho, keshokutwa, au mtondogoo.

Kwa hiyo hakuna u-ey ya aina yoyote ile. Niliyoyaandika mwaka jana, mwaka juzi, juu ya Magufuli bado yanasimama.

Kama nilisema hafai kuwa rais mwaka jana, hata mwaka huu msimamo wangu bado ni ule ule.

Sasa ni kipi nilichobadilika kuhusu Magufuli?

Nimeshasema wazi humu tena mara lukuki kuwa akipatia sehemu nitampongeza. Akikosea nitamchana.

Vivyo hivyo kwa CHADEMA.

Majuzi tu hapa sikukubaliana naye kuhusu kuwanyima fursa ya kuendelea na masomo wasichana wanaopata mimba wakiwa shule ya msingi.

So you don’t know whatchu talkin bout!
Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...
 
I equally support ,kama kweli wanaona walifanya makosa yanawagharimu ...2020 sio mbali kwa kuwa hii ni nchi ya Amani and we dont want dark history ......
kama issue wanahisi "sio wa hapa" wanaweza kudhibiti tu ,hata Nchi kama Marekani na nyingine sio siri zote rais ana access nazo ...
Mara nyingine Mimba ikishaingia inabidi usubiri tu kujifungua ......i think they were so obsessed with Edward and they were confident that "stateman" Membe was more popular in the party than John ......and it was true that he was not popular within the party....tatizo Wafuasi wa Edward voted heavily for John ....wakamnyima kura Bernard ...hata January became second because being ex edward member some of the votes especially from youthful NEC members went to him.......and he is well positioned along with benard and other hopeful for future battle.....Edward factor is there because he will soon resign from active politics , though he will remain in his current party still he command good fellowship and his favourite may scoop some symperthy votes in ccm

pointless
 
Back
Top Bottom