Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,724
Hii issue ya kutokea vurugu Upanga HQ camp iliyopelekea askari MT109795 Ramadhani mlaku kuuwa kwa risasi askari aliyekua anamdhibiti asiltekeleze alilokusudia aitwae MT 79512 Sgt munyama ndio limewekwa waZi jana baada ya Ramadhani kufikishwa mahakamani
Ramadhani alidhbitiwa kwa kukanyagwa na kifaru cha dereya miguuni
Sasa tunasubiri miezi sita ijayo kuwekwa wazi kilichotokea lugalo juzi@jf where we dare speak openly
Ndio maana tunasema things are wrong somewhere let’s pray for this country
Ramadhani alidhbitiwa kwa kukanyagwa na kifaru cha dereya miguuni
Sasa tunasubiri miezi sita ijayo kuwekwa wazi kilichotokea lugalo juzi@jf where we dare speak openly
Ndio maana tunasema things are wrong somewhere let’s pray for this country