KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,759
- 39,493
Ki mtazamo Tanzania hatuna wanasiasa wenye mlengo wa kumkomboa mwananchi bali kuna wanasiasa wanaotumia shida za wananchi kujinufaisha kisiasa na kimaslahi......malengo hayo hutimia kutokana na aina hii ya wananchi walio achana na matumizi ya kilichomo vichwani mwao....bali kutumia hisia......
Na ndio maana wengi wao hawatendi wanachohubiri na kukipigania....uhuru na demokrasia hukomaa endapo tu mtu atatoka chama tawala na kuenda upinzani na kinyume chake si demokrasia.....
Ukihoji mambo ya upinzani haionekani kama ni demokrasia bali umetumwa na chama tawala.....kwa wao uhuru wa kujieleza na kutoa maoni ni kuikosoa serikali tu na sio kuwakosoa........
Watu kama hao hawana mantiki wala sifa ya kupigania demokrasia Kwani hata wao wenyewe hawaamini kwenye demokrasia......
Na ndio maana wengi wao hawatendi wanachohubiri na kukipigania....uhuru na demokrasia hukomaa endapo tu mtu atatoka chama tawala na kuenda upinzani na kinyume chake si demokrasia.....
Ukihoji mambo ya upinzani haionekani kama ni demokrasia bali umetumwa na chama tawala.....kwa wao uhuru wa kujieleza na kutoa maoni ni kuikosoa serikali tu na sio kuwakosoa........
Watu kama hao hawana mantiki wala sifa ya kupigania demokrasia Kwani hata wao wenyewe hawaamini kwenye demokrasia......