Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,791
- 218,420
- Thread starter
- #81
Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri wa ujenzi alikuwa anasimamia nini ?Hivi kabla ya 2015 kulikuwa na waajiriwa SGR, BWAWA LA UMEME, MFUGALE BRIDGE, UBUNGO INTERCHANGE, DALAJA JIPYA LA SARENDA, UJENZI WA VYELEZO NA MELI, UJENZI WA MAKAO MAKUU DODOMA NA IKULU, NGEGE (mainjinia, marubani, maatendants, wakata tiketi, food suppliers etc), ujenzi wa mahospital na mashule; to mention but a few. Ajira gani unasemea?
(Majina ya Polisi wote waliotumika tunayo)
Utayafanyia nini? Hii ni miaka mitano tangu uwe nayo umeyatumiaje?
Au wewe ni CCM unatikisa kiberiti ili ujuwe unakubalikaje? Na hisi ni kweli.