Walizuia siasa na bungelive ili tuwe na maendeleo watupe mrejesho maana uwezo Wa watu kula Milo 3 ndo umepunguaKukataza siasa HAIKUA KWA SABABU YA MAENDELEO.
nahuu ndo ukweli.... Miaka 4 lkn umasikin umeongezeka kwa watu.
Ujamaa theory ndio msingi Wa udikteta duniani ili kuufuta udikteta duniani yafaa ujamaa ufutwe kwanzaMimi nikulipe mshahara wewe usisikilize maelekezo yangu
Hakika !Ila MaCCM nao kwa kweli, akili zao azina akili, mtu mwenye roho ya kichawi anawezaje kutuletea maendeleo kama Taifa. Hali ni mbaya sana mtaani.
Sana sana ndio haya yanayo tokea ataua na kuteka watu muhimu kwake aogopwe na abudiwe.
We fala umenichekesha kwan umenikumbusha yule rofa mwijage, nadhani magu alikuwa akimuangalia anacheeeka sana
Hajamzidi Magu soma taarifa za CAG wakati akiwa waziri wa ujenziHivi kuna waziri aliyewahi kuwa muongo kushinda Mwijage ?
Ohoooo!!Hajamzidi Magu soma taarifa za CAG wakati akiwa waziri wa ujenzi
Duuuuuhhhhhh,hapo jamaa alichemka sana!Mimi nikulipe mshahara wewe usisikilize maelekezo yangu
Hivi asiporuhusu hadi wiki moja kabla ya uchaguzi kufanyika kutatokea nini?
Swali hili linaweza likaonekana kama la kipuuzi; lakini kiuhakika, ningependa kujua jibu lake ni nini.
wapinzani mnapata shida sana kwanini? mada ni zile zile kila siku hamchoki?
Huna hoja wewe , kama Siasa zimezuiwa hizo sera tutatangazia wapi ?sasa nyie mnataka kushinda nn wakati hata sera zilizosmama hamna mnasubiria ccm wakosee sehem muwaseme, hamjaona wapinzani nchi nyingine nn
Huna hoja wewe , kama Siasa zimezuiwa hizo sera tutatangazia wapi ?