Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
- Thread starter
- #101
Hakika !Njia ya muongo ni fupi!!
Hakika !Njia ya muongo ni fupi!!
Walizuia siasa na bungelive ili tuwe na maendeleo watupe mrejesho maana uwezo Wa watu kula Milo 3 ndo umepungua
Security Code, Niliota Uchaguzi wa Mwaka Huu Utatumia Alama Za Vidole kutokana Na Maendeleo ya Technolojia na kuacha watu wafanye kazi sio kujazana ktk vituo vya kupigia kura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna hoja wewe , kama Siasa zimezuiwa hizo sera tutatangazia wapi ?
Kwahio nyie Sera na katiba ya chama mnatungia kwenye mikutano? Wonders shall never end
Dictatorship and tyrannic!Ili kuhalalisha uvunjifu wa Katiba ya nchi, Mwenyekiti wa CCM ndugu Magufuli alinukuliwa akitoa marufuku ya shughuli za kisiasa kwa kisingizio dhaifu cha kuleta maendeleo na kwamba wenye hamu ya kufanya siasa wasubiri mwaka wa uchaguzi 2020, Polisi wakadaka amri hiyo haramu kama kifanyavyo kidaka tonge kwenye chakula , wanasiasa waliojaribu kupinga amri hiyo haramu wakakamatwa, wakapigwa, wakateswa na baadaye kuswekwa lupango na kisha kufunguliwa kesi za kizushi na kufungwa jela, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kusini Mh Suleiman Methew ni miongoni mwa wanasiasa waliofungwa kwa vile walifanya mikutano kinyume cha katazo la Magufuli (Majina ya Polisi wote waliotumika tunayo)
Kama wasemavyo Wahenga, Usiku wa deni hauchelewi kwisha, basi ndicho kilichotokea, 2020 imefika na bado waliosema tuisubiri wanaogopa kuruhusu mikutano ya hadhara, wanaomba siku zirudi nyuma lakini haiwezekani, hawajui cha kufanya na wamekwama, kile kilichoitwa kuzuia siasa ili kuleta maendeleo hakipo, bali ifahamike kwamba badala ya maendeleo hali ya kiuchumi imekuwa mbaya zaidi, hakuna ajira kwa miaka yote minne, wala hakuna nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi wachache wasiozidi laki 6 wa serikali, hali ni mbaya hata kuliko kabla ya zuio la mikutano.
Hata hivyo wananchi wametambua kwamba kukataza siasa haikuwa sababu ya maendeleo bali ulikuwa uoga wa Mwenyekiti wa CCM ambaye alikuwa hana ajenda ya kuwaambia wananchi baada ya kuingia ikulu Kibahati .
Itaendelea...
Zuio la mikutano ya Siasa siyo la kisiasa, inabidi muwe mnaelewa! Wewe unalalamika mbona walioozuiwa hawlalamiki, wewe huwezi kujiuliza kichwani kwako?Ili kuhalalisha uvunjifu wa Katiba ya nchi, Mwenyekiti wa CCM ndugu Magufuli alinukuliwa akitoa marufuku ya shughuli za kisiasa kwa kisingizio dhaifu cha kuleta maendeleo na kwamba wenye hamu ya kufanya siasa wasubiri mwaka wa uchaguzi 2020, Polisi wakadaka amri hiyo haramu kama kifanyavyo kidaka tonge kwenye chakula , wanasiasa waliojaribu kupinga amri hiyo haramu wakakamatwa, wakapigwa, wakateswa na baadaye kuswekwa lupango na kisha kufunguliwa kesi za kizushi na kufungwa jela, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kusini Mh Suleiman Methew ni miongoni mwa wanasiasa waliofungwa kwa vile walifanya mikutano kinyume cha katazo la Magufuli (Majina ya Polisi wote waliotumika tunayo)
Kama wasemavyo Wahenga, Usiku wa deni hauchelewi kwisha, basi ndicho kilichotokea, 2020 imefika na bado waliosema tuisubiri wanaogopa kuruhusu mikutano ya hadhara, wanaomba siku zirudi nyuma lakini haiwezekani, hawajui cha kufanya na wamekwama, kile kilichoitwa kuzuia siasa ili kuleta maendeleo hakipo, bali ifahamike kwamba badala ya maendeleo hali ya kiuchumi imekuwa mbaya zaidi, hakuna ajira kwa miaka yote minne, wala hakuna nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi wachache wasiozidi laki 6 wa serikali, hali ni mbaya hata kuliko kabla ya zuio la mikutano.
Hata hivyo wananchi wametambua kwamba kukataza siasa haikuwa sababu ya maendeleo bali ulikuwa uoga wa Mwenyekiti wa CCM ambaye alikuwa hana ajenda ya kuwaambia wananchi baada ya kuingia ikulu Kibahati .
Itaendelea...
una akili timamu ?Zuio la mikutano ya Siasa siyo la kisiasa, inabidi muwe mnaelewa! Wewe unalalamika mbona walioozuiwa hawlalamiki, wewe huwezi kujiuliza kichwani kwako?
Du...Zuio la mikutano ya Siasa siyo la kisiasa, inabidi muwe mnaelewa! Wewe unalalamika mbona walioozuiwa hawlalamiki, wewe huwezi kujiuliza kichwani kwako?
Zlienda sokoni Kariakoo jana zikirudi ndiyo nitajua kama bado ziko kamiliuna akili timamu ?
Tija ipi kwa mtu wa chini kumuondolea njaaMrejesho wa maendeleo ni flyover, ndege, ikulu dom, sgr
Kosa kubwa lilikuwa kupambana na wafanya biashara kama wezi, wakulima kudhulumiwa mazao, bei zikadorola!!Hivi kuna waziri aliyewahi kuwa muongo kushinda Mwijage ?
Tuliambiwa mapema kwamba , NIKIWA RAIS MTALIMIA MENOKosa kubwa lilikuwa kupambana na wafanya biashara kama wezi, wakulima kudhulumiwa mazao, bei zikadorola!!
Vyeti feki ikawa feki!!
Viwanda vingi na maduka vimefungwa, ajira hakuna!!
Sijui maendeleo yako vipi!!
Agenda ni nill wataeleza nini kwa wananchi??