kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,226
- 9,489
Utapata vidonda vya tumbo mkuu ondoa chuki uponeUNO ndiyo habari ya Mujini na Vijinini!!!! Mimi siyo Shabiki wa mambo ya Muziki lakini kwa dharau la huyu Diamond na kukosa heshima kijamii kila siku kupanda wanawake na kuwatelekeza basi Konde Boy ndiye mwenye sifa zote kwa nidhamu na kazi nzuri, Na nina Imani kubwa sana kuwa Konde Boy atafika mbali mno kimziki na kimaisha na kwa mfano mwema katika jamii. Keep it up Konde Boy, the Harmonize