Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

tukitoa ushabiki diamond amn alicho imba.. washa jijua ni super star bs kila watakacho jiskia kuimba kitapendwaa kwa diamond kaimba kama kuwa diss watu bdo ana uswahili uswahil yeye na makondaa wakee..
 
UNO ndiyo habari ya Mujini na Vijinini!!!! Mimi siyo Shabiki wa mambo ya Muziki lakini kwa dharau la huyu Diamond na kukosa heshima kijamii kila siku kupanda wanawake na kuwatelekeza basi Konde Boy ndiye mwenye sifa zote kwa nidhamu na kazi nzuri, Na nina Imani kubwa sana kuwa Konde Boy atafika mbali mno kimziki na kimaisha na kwa mfano mwema katika jamii. Keep it up Konde Boy, the Harmonize
 
UNO ndiyo habari ya Mujini na Vijinini!!!! Mimi siyo Shabiki wa mambo ya Muziki lakini kwa dharau la huyu Diamond na kukosa heshima kijamii kila siku kupanda wanawake na kuwatelekeza basi Konde Boy ndiye mwenye sifa zote kwa nidhamu na kazi nzuri, Na nina Imani kubwa sana kuwa Konde Boy atafika mbali mno kimziki na kimaisha na kwa mfano mwema katika jamii. Keep it up Konde Boy, the Harmonize

Umeongea utumbo
 
UNO ndiyo habari ya Mujini na Vijinini!!!! Mimi siyo Shabiki wa mambo ya Muziki lakini kwa dharau la huyu Diamond na kukosa heshima kijamii kila siku kupanda wanawake na kuwatelekeza basi Konde Boy ndiye mwenye sifa zote kwa nidhamu na kazi nzuri, Na nina Imani kubwa sana kuwa Konde Boy atafika mbali mno kimziki na kimaisha na kwa mfano mwema katika jamii. Keep it up Konde Boy, the Harmonize
Endeleeni tu kumdanganya mmakonde wa watu.
 
Umeongea utumbo
Aaaaah wapi? Utumbo kwako kwa wengie point na wanauga mkono. Huyo Mondi wako na tabia zake mwisho wake tutauona. Na wasanii watamkimbia na kujitegemea tu. Na konde boy tutamsupport tu na mambo makubwa kwake yanakuja. Leta tusi linguine. Mama yangu na Baba yangu wote Marehemu ninawashukuru sana kwa kunilea kwa maadili na nidhamu. Hata unitukane kwa tusi kubwa kiasi gani usitegemee nikujibu vibaya. Poe sana kwa kuumizwa na post yangu iliyopita na hii ikikuumiza tena basi naongeza pole nyiiiingi sana.
 
Ndugu ivi unamasikioo ya pekee yako .. nikweli ningoma mbili tofauti kwa maneno ila kwa melody ni ngoma moja mpaka beat..
Sir sikiliza vizuri hizo ngoma kati ya Soapy na Baba lao ni ngoma mbili tofautii.
Tatizo letu ni kwamba wewe umesema inafanana na Soapy mimi nitabeba kama lilivyo nitapeleka nakokujua nitakao wapelekea kama nao ni mazuzu hawatasikiliza hizi ngoma watabeba na kuwalisha wengine pumba.

Sikiliza hizo ngoma
 
Endeleeni tu kumdanganya mmakonde wa watu.

Hatumdanganyi bali tunamtia moyo ili naye akue aweze pia kuajiri vijana wenzake. Hata Diamond hakuanzia hapo alipo hivyo Maisha na maendeleo ni hatua. Nitaendelea kumtia Moyo Konde Boy. Hata kwangu nilivyokuwa miaka saya 20 iliyopita siyo kama nilivyo kwa sasa hivi. Time flies and it flies with contents.
 
Kwenye comment tuache story za kuponda au kusifia, wewe weka jina la mkali wako hapo kisha tutahesabu kura.

Unaandika mara moja tu kuliko kurudia rudia.

Kura yangu ni kwa: Harmonize - Uno
Hapo hakuna kitu wote ni studio ndio zinawasaidia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom