Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Huo Mkwanja amewekeza wapi? Hivi zile Karanga ziliishiwa wapi? Nimezisahau jina. Offcourse alikiri kuna mtu alitumia jina so atakuwa analipwa ila sasa sijaona machinga wakikimbizana nazo tena.Cha muhhimu ni kumiliki mkwanja kama wa chibu basi nyingine mbwembwe
Diamond kaja kawakuta wakina afande sele wanaisifia gari ya kuhongwa ya mil 8 leo hii ana zaidi ya billion 11


