Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Wimbo huu wa diamond hata ma underground hawawezi kuutoa,
Kwanza ni wa majungu.
Pili ni una majigambo na taarabu
Tatu beat mbovu.
Nne hauna chemistry nzuri
Tano kaungaunga madudu yasiyoeleweka.

Hata kama jamaa namkubali ila huu wimbo ni HOVYO SANA.
 
Diamond ni jeuri na anacheza na akili za watu saivi katoa wimbo mpya na watu wamehamishia attention kwenye wimbo wamesahau juzi tuu walikua wanaongelea PENSELI.Mkimaliza kuongelea hili la kucopy ataleta tukio lingine.
 
Diamond napenda mziki wake ila ukweli ni kua konde kwa sasa anavitu tofauti sana
Mond sio wakusample na kuiba midondoko ya naira maley soapy asee nimemshusha sana , najua amefanya makusudi ili kupush wasafi festival ila hii imempunguzia mashabiki na hivi anafight na Clouds + Kiba + team konde lazima wamchafulie kule kwenye account ya Naira youtube otherwise awe ameongea na Jamaa
 
Diamond napenda mziki wake ila ukweli ni kua konde kwa sasa anavitu tofauti sana
Mond sio wakusample na kuiba midondoko ya naira maley soapy asee nimemshusha sana , najua amefanya makusudi ili kupush wasafi festival ila hii imempunguzia mashabiki na hivi anafight na Clouds + Kiba + team konde lazima wamchafulie kule kwenye account ya Naira youtube otherwise awe ameongea na Jamaa
we ni tahira
 
Baba lao copy&paste japo ina vibe
Kwenye comment tuache story za kuponda au kusifia, wewe weka jina la mkali wako hapo kisha tutahesabu kura.

Unaandika mara moja tu kuliko kurudia rudia.

Kura yangu ni kwa: Harmonize - Uno
 
Mkuu nimesikiliza ukweli hiyo ngoma kilichobadilika ni lugha tu ila biti na melody ni sawa
Sir sikiliza vizuri hizo ngoma kati ya Soapy na Baba lao ni ngoma mbili tofautii.
Tatizo letu ni kwamba wewe umesema inafanana na Soapy mimi nitabeba kama lilivyo nitapeleka nakokujua nitakao wapelekea kama nao ni mazuzu hawatasikiliza hizi ngoma watabeba na kuwalisha wengine pumba.

Sikiliza hizo ngoma
 
Kiba kasema kesho ataongea na waandishi wa habari saa 12 jioni
yani diamond na konde wanatuchezea akiri sana wanatengeneza image ya kuwa wao bro habari ya mjinga kiba kapotezwa huu mchezo wenye akiri tushauelewa kitamboo
 
Hiyo sio kazi yetu sasa. Anapaswa kutoa maelezo inakuaje maana 90% ya ngoma kucopy na kucopy kwenye music ni sawa na wizi maana umetumia kitu cha mtu pasina ruhusa.. na pia kwenye music Hua hakuna ku copy, hua kuna sampling, cover n.k soma zaidi kaka Bangi
Kucopy ni dhambi, kama wasanii wamekubalianam
 
Nimeusikiliza wimbo. Sijaona sababu ya Diamond kuwazodoa wapinzani wake.
Sijaona sababu ya yeye kuongelea swala la wapinzani kuungana.
Sijaona sababu ya yeye kuwatusi wapinzani wake.

Sijaona sababu ya yeye kumtaja Bashite.
Sijaona sababu ya yeye kujiiya majina mengi.

Diamond huwa anatoa nyimbo nzuri ila kwenye hii kachemka 100pc. Platform na watu watamsaidia ipush ila ni wimbo mbaya ndo maana haya trending haupo.

Atatumia promo kubwa ili usikike kwa wengi.

Jana akasema kuwa ticket za wasafi zishauzwa 70pc. Ila bado akawa anawatangazia watu sehemu za kununua maana yake alidanganya
 
B 11?? Ndio hata top ten ya wasanii tajiri Africa asiwepo?
B11 ni kama dola millioni 5 tu..ambazo kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ndio net worth ya diamond hiyo...wasanii waliokuwepo kwenye top ten ua wasanii matajiri Africa wengi wameanzia dola millioni 10 na kuendelea mpaka kwa Akon ambaye ana Net worth ya 30 million dollar
 
Baba lao ni moja ya nyimbo mbovu ya mwaka huu
 
Ndio maana mziki wa bongo hausogei. Msanii mkubwa kama Mondi sio wa kutegemea hvi umeviandika hapa ktk mziki wake. Kashavifanya zaidi ya miaka 5 nyuma.. mkiwaona kina Wizkid, Davido, Burna wanatetemesha ma Arena nchi kubwa kubwa duniani mnalaumiana, acheni kuwajaza wasanii upumbavu, hatusogei.

Kesho keshokutwa Naira Marley anasogea kuwafkia wenzie, tutarudi hapa hapa kujiuliza sisi tunakwama wapi.. mara mnatafta penseli, mara kucopy nyimbo, mara vijembe, bongo bwana.. safari yetu ni ndefu sana
Diamond ni jeuri na anacheza na akili za watu saivi katoa wimbo mpya na watu wamehamishia attention kwenye wimbo wamesahau juzi tuu walikua wanaongelea PENSELI.Mkimaliza kuongelea hili la kucopy ataleta tukio lingine.
 
Hiyo sio kazi yetu sasa. Anapaswa kutoa maelezo inakuaje maana 90% ya ngoma kucopy na kucopy kwenye music ni sawa na wizi maana umetumia kitu cha mtu pasina ruhusa.. na pia kwenye music Hua hakuna ku copy, hua kuna sampling, cover n.k soma zaidi kaka Bangi
Hivi kwa dunia ya sasa iliyotawaliwa na hatimiliki unaweza kucopy wimbo wa mtu pasi na kukubaliana na mwenye wimbo?..aliyekwambia diamond haogopi faini ni nani? Mond anajua kabisa faini ya kuiba hatimiliki ya mtu haipungui dola millioni moja(zaidi ya billioni 2)..hivyo sidhani kama anaweza kufanya hicho kitu bila ya makubaliano na mwenye wimbo..kuna kipindi watu walikuwa wanapiga makelele hivihivi oh! Wimbo wa the one kamuibia mnamibia haya kiko wapi mbona Mnamibia hadi leo yupo kimya hajafungua mashtaka yoyote yale kwani yeye hapendi kulipwa faini?
 
Kaka kanishangaza sana, kuwaleta tu wasanii wakubwa wale kashapush mno + mambo ya jogging n.k Mondi kwa sasa ni wa ku deal na international collabo, kupush wenzie zaidi n.k mtoto mdogo sana Naira kwa Mondi
Diamond napenda mziki wake ila ukweli ni kua konde kwa sasa anavitu tofauti sana
Mond sio wakusample na kuiba midondoko ya naira maley soapy asee nimemshusha sana , najua amefanya makusudi ili kupush wasafi festival ila hii imempunguzia mashabiki na hivi anafight na Clouds + Kiba + team konde lazima wamchafulie kule kwenye account ya Naira youtube otherwise awe ameongea na Jamaa
 
hizi ni zile nyimbo za comedy,ambazo huwaga zina hit vibaya mno,nikuulize swali ule wimbo wa plakata rhumba unajua kilichoimbwa mule ndani? nadhan hata utakua ni shahid jins ulivyosumbua ule wimbo.
Naam! Cabo snoop nimekumbuka mbali japo sio sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom