Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Diamond asaiv ni kama wakina Mr nice na matonya zama zake zimepita
 
Hii listi umeipata wapi jombaa mpaka watu wa billioni 2 unawaingiza..haya tuendelee Mwana FA,na Ay mwaka jana walilipwa Billioni 2 cash wakagawana moja moja na ukijumlisha assets walizokuwa nazo mwanzo tunaweza kusema kila mmoja anaweza kuwa na Billioni 1.5 kwa kukadiria..kwahyo tukiendelea na list tunakuja kuwakuta kwenye 20 bora ya wenye pesa Africa ikiwa mtu mwenye 2billioni kaingia kwenye top ten?..chukua data kutoka sites zinazoeleweka achana na blog uchwara hizo maana kwenye list yako siwaoni p square kwahyo unataka kutuambia hawapo top ten?..yuko wapi lira msanii wa kike tajiri kuliko wote Africa mwenyw Net worth ya Dolla Million 35? simuoni pia yule msanii wa Senegal Youssou N Dour aliyegombea uraisi..ukiachana na Akon yule ndiye msanii tajiri zaidi Africa anayefanya kazi zake ndani ya bara hili
Leta list yako itayoikosoa hiyo mkuu sio maneno tu
 
Namuelewa diamond kama ninavyielewa Team ya simba

ila kwa wimbo wa baba lao vs Uno

aseee ntachagua UNO

huo wa diamond sijui kaimba au kaongea kusema la ukweli.
 
UNO ndiyo habari ya Mujini na Vijinini!!!! Mimi siyo Shabiki wa mambo ya Muziki lakini kwa dharau la huyu Diamond na kukosa heshima kijamii kila siku kupanda wanawake na kuwatelekeza basi Konde Boy ndiye mwenye sifa zote kwa nidhamu na kazi nzuri, Na nina Imani kubwa sana kuwa Konde Boy atafika mbali mno kimziki na kimaisha na kwa mfano mwema katika jamii. Keep it up Konde Boy, the Harmonize
Hatufuatilii maisha ya mtu sisi tunasikiliza mziki mzuri..
 
Leta list yako itayoikosoa hiyo mkuu sio maneno tu
usipate tabu mkuu list za blog uchwara zinatofautiana wewe ingia Forbes ambacho ni chanzo cha kuaminika search mmoja mmoja hapo tena ongezea na Diamond platinumz,Youssou N dour,Lira na wengine utakaowaona halafu tengeneza list ya top ten mwenyewe usipende kucopy na kupaste
 
Kucopy ni dhambi, kama wasanii wamekubalianam
kwanza wengi wanaochangia si ma Artist ndo maana wanasema hayo lakini kwenye sanaa hakuna kitu original duniani labda kimejiumba hata mungu alituumba kwa mfano wake
“Where do you get your ideas?”

The honest artist answers,
“I steal them.”

How does an artist look at the world?
First, you figure out what’s worth stealing, then you move on to the next thing.
That’s about all there is to it.”


Excerpt From: Steal Like an Artist.
 
Sijachukia Sir mchambuzi!
Nimesikiliza hizo ngoma zinazolinganishwa melody nakucheka sana mdomo kila mmoja ana wake uko wazi wacha waseme mwishoni wata bang nayo club sanaa
Nikweli ila Leo asubuhi s2kizzy kasema hii ngoma nicopy chibu aliipenda na kuongea na mwenye nyimbo so wakakubaliana .. kilichofanywa nikubadilisha tu maneno tu.. kifupi unaweza kuitaa cover .. tuu
 
Ubunifu ? Ww umebuni nn kipya ebu usiwachoshe watoto wa watu, sio lazima kusikiliza ww watanzania tu 50+ milion of people.
 
Mwana FA na AY hawajalipwa sababu Tigo walienda kata rufaa
Hii listi umeipata wapi jombaa mpaka watu wa billioni 2 unawaingiza..haya tuendelee Mwana FA,na Ay mwaka jana walilipwa Billioni 2 cash wakagawana moja moja na ukijumlisha assets walizokuwa nazo mwanzo tunaweza kusema kila mmoja anaweza kuwa na Billioni 1.5 kwa kukadiria..kwahyo tukiendelea na list tunakuja kuwakuta kwenye 20 bora ya wenye pesa Africa ikiwa mtu mwenye 2billioni kaingia kwenye top ten?..chukua data kutoka sites zinazoeleweka achana na blog uchwara hizo maana kwenye list yako siwaoni p square kwahyo unataka kutuambia hawapo top ten?..yuko wapi lira msanii wa kike tajiri kuliko wote Africa mwenyw Net worth ya Dolla Million 35? simuoni pia yule msanii wa Senegal Youssou N Dour aliyegombea uraisi..ukiachana na Akon yule ndiye msanii tajiri zaidi Africa anayefanya kazi zake ndani ya bara hili
 
Mwana FA na AY hawajalipwa sababu Tigo walienda kata rufaa
Unaishi wapi mzee mbona ishu ipo wazi hii tigo walikata rufaa lakini Mwana Fa na Ay walishinda tena rufaa wakiwa na wakili wao Albert Msando hivyo wakalipwa 1.2 Billioni
 
Broo siamini Kama wanatuchezea akili kwenye maslahi haipo hivyo amini kwamba mafahari wawili hawakai zizi moja.
yani diamond na konde wanatuchezea akiri sana wanatengeneza image ya kuwa wao bro habari ya mjinga kiba kapotezwa huu mchezo wenye akiri tushauelewa kitamboo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom