Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

Sir sikiliza vizuri hizo ngoma kati ya Soapy na Baba lao ni ngoma mbili tofautii.
Tatizo letu ni kwamba wewe umesema inafanana na Soapy mimi nitabeba kama lilivyo nitapeleka nakokujua nitakao wapelekea kama nao ni mazuzu hawatasikiliza hizi ngoma watabeba na kuwalisha wengine pumba.

Sikiliza hizo ngoma
Kwanini unalazimisha kila MTU apende unachpoenda wewe? Yaani kwa kifupi uno ngoma mbovu,hiyo ya mond ndio takataka haifai kabisa tupa kwenye dastibini unasemaje mnazi wa wcb?
 
Sir sikiliza vizuri hizo ngoma kati ya Soapy na Baba lao ni ngoma mbili tofautii.
Tatizo letu ni kwamba wewe umesema inafanana na Soapy mimi nitabeba kama lilivyo nitapeleka nakokujua nitakao wapelekea kama nao ni mazuzu hawatasikiliza hizi ngoma watabeba na kuwalisha wengine pumba.

Sikiliza hizo ngoma

Umefumaniwa
 
Mnafosi bifu mpate miseleleko eeeeeh tunawakwepa.
Umia kivyako Chief usinishirikishe kwenye maumivu yako.

Kwangu mimi ni ngoma kali sana naamsha nayo Hawaii kama sina akili nzuri
Ulitakiwa useme hiviii Mimi ni shabiki wa mond hata akinya hadharani ntamshabikia
 
Hivi wewe mwehu unaijua bilioni 11 kweli au unaisikia, acheni kuwa mnaota ndoto za mchana
Dolla 5 million x2300 Tzs ukizidisha jibu baki nalo..haina haja ya kubishana sana kati yenu ninyi wawili...
Screenshot_20191107-200049.jpeg
 
Utapata vidonda vya tumbo mkuu ondoa chuki upone
Nimeamua kumshabikia huyu kijana anayekua the Kondeboy the Harmonize anayekimbizana kukamilisha kulipa mil 500 kwa kampuni ya Diamond.. Hakuna cha ulcers Mkuu. Nimeamua kupiga chini huyu bishop asiye na nidhamu. Ni vivu hataki wa kumsikia au kuonekana wewe ni threat kwake anaanza kukufanyia mizengwe.
 
Sikiliza muziki acha maisha ya watu,Nina imani mpka hapo ulipo umedate na watu si chini ya wanne,Je nawe hutofika mbali kimaisha?
Issue ni kuheshimu hao ulio date nao.
 
Hatufuatilii maisha ya mtu sisi tunasikiliza mziki mzuri..
We Harmonize ni mzuri pia kwa binafsi yangu. Ngoja Kondeboy aanze kufanya na colabo. Tena aanze na Peter wa PSquire ambaye ni mtuhumiwa kwa Bwana Naseeb.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom