Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,511
- 6,888
Issue siyo kuijua wala kuisikiaHivi wewe mwehu unaijua bilioni 11 kweli au unaisikia, acheni kuwa mnaota ndoto za mchana
Issue siyo kuijua wala kuisikiaHivi wewe mwehu unaijua bilioni 11 kweli au unaisikia, acheni kuwa mnaota ndoto za mchana
sawa kabisaNaam! Cabo snoop nimekumbuka mbali japo sio sana
Kwanini unalazimisha kila MTU apende unachpoenda wewe? Yaani kwa kifupi uno ngoma mbovu,hiyo ya mond ndio takataka haifai kabisa tupa kwenye dastibini unasemaje mnazi wa wcb?Sir sikiliza vizuri hizo ngoma kati ya Soapy na Baba lao ni ngoma mbili tofautii.
Tatizo letu ni kwamba wewe umesema inafanana na Soapy mimi nitabeba kama lilivyo nitapeleka nakokujua nitakao wapelekea kama nao ni mazuzu hawatasikiliza hizi ngoma watabeba na kuwalisha wengine pumba.
Sikiliza hizo ngoma
Sir sikiliza vizuri hizo ngoma kati ya Soapy na Baba lao ni ngoma mbili tofautii.
Tatizo letu ni kwamba wewe umesema inafanana na Soapy mimi nitabeba kama lilivyo nitapeleka nakokujua nitakao wapelekea kama nao ni mazuzu hawatasikiliza hizi ngoma watabeba na kuwalisha wengine pumba.
Sikiliza hizo ngoma
Lini harmonize kamdis daidomo na alisemaje hebu tukumbushe?Yeye akidisiwa hamna nouma si ndio
Ulitakiwa useme hiviii Mimi ni shabiki wa mond hata akinya hadharani ntamshabikiaMnafosi bifu mpate miseleleko eeeeeh tunawakwepa.
Umia kivyako Chief usinishirikishe kwenye maumivu yako.
Kwangu mimi ni ngoma kali sana naamsha nayo Hawaii kama sina akili nzuri


Dolla 5 million x2300 Tzs ukizidisha jibu baki nalo..haina haja ya kubishana sana kati yenu ninyi wawili...Hivi wewe mwehu unaijua bilioni 11 kweli au unaisikia, acheni kuwa mnaota ndoto za mchana

Sote tunapanda but kwa discipline.Ulichoulizwa na ulichojibu ni vitu vitatu tofauti...BTW nani alilwambia huyo mwingine hapandi wanawakee? Acha chuki uende mbinguni mkuu
Nimeamua kumshabikia huyu kijana anayekua the Kondeboy the Harmonize anayekimbizana kukamilisha kulipa mil 500 kwa kampuni ya Diamond.. Hakuna cha ulcers Mkuu. Nimeamua kupiga chini huyu bishop asiye na nidhamu. Ni vivu hataki wa kumsikia au kuonekana wewe ni threat kwake anaanza kukufanyia mizengwe.Utapata vidonda vya tumbo mkuu ondoa chuki upone
Unajua kusoma kwanza? Tuanzie apoLini harmonize kamdis daidomo na alisemaje hebu tukumbushe?
Issue ni kuheshimu hao ulio date nao.Sikiliza muziki acha maisha ya watu,Nina imani mpka hapo ulipo umedate na watu si chini ya wanne,Je nawe hutofika mbali kimaisha?
Sasa ww maisha yake yanakuhusuje?Issue ni kuheshimu hao ulio date nao.
We Harmonize ni mzuri pia kwa binafsi yangu. Ngoja Kondeboy aanze kufanya na colabo. Tena aanze na Peter wa PSquire ambaye ni mtuhumiwa kwa Bwana Naseeb.Hatufuatilii maisha ya mtu sisi tunasikiliza mziki mzuri..