Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 753
- 1,498
Majaliwa, huyu hauwezi kusinzia kwani ni birudani tupu.Habari wadau,
Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.
Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?
View attachment 2910067
Huyu kapitishwa shule na mzee wa soga nini PM aliyekuwa anaishi ni lowassa tuu basi nayule aliyewahifariki miaka ya nyuma ndio waliitendea kazi hio nafasi.Tatizo lake muongo muongo, anaweza akatupige sound mchana kweupe.
Huyu aje kutoa ufafanuzi wa nini?Rais mstaafu JAKAYA KIKWETE.
Ninashauri kila kiongozi wa umma awe na verified account ya JF na ninyi JamiiForums muweke flag ya Tanzania Government ID kuanzia za viongozi wakuu hadi vitengo vya umma ambavyo mtambuka ambao wamekubali kama TRA, TANESCO na kadhalika. Tukisema tuwaalike kwenye midahalo maana yake mmegeuka kuwa Media House. Tunataka platform ibaki kama platform ya kuwafikia wahusika kwa mapana yake.Habari wadau,
Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.
Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?
View attachment 2910067
Walishasema mabwawa ni rainwater proof yaani maji ya mvua yamegoma kuingia mabwawani.Kiongozi wa TANESCO aje atoe maelezo kuhusu suala la umeme, kwanini umeme unakatwa masaa 12 mpaka 13/14 bila kutoa taarifa yoyote yenye mashimo nini kinaendelea na hii ni mpaka lini?
Maana tuliambiwa mwisho trh 16 Mwezi wa 2 umepita Jana trh 19 wamekata kuanzia asubuhi mpaka usiku bila taarifa yoyote yaan masaa 14 TANESCO wamekata umeme, sasa nini kinaendelea aje atoe maelezo yaliyojitosheleza sababu haswa ni nini za kutukatia umeme kikatiri namna hii? Mtu unakaa masaa 14 huna umeme
Tulia mpaka ajeHuyu aje kutoa ufafanuzi wa nini?
Protocol yake ngumu sanaAje Mama mwenyewe atuambie sababu hasa ya maisha kuwa magumu kupitiliza mtaani. Yaani hela haina kabisa thamani! Halafu mbaya zaidi hata ukiipata, haitulii mkononi; unakuta imekwisha! Shida iko wapi?
Mzunguko wa hela mtaani unakatisha tamaa! Vitu bei juu! Uchumi umerudi mikononi mwa watu wachache!! Hii ni hatari aisee. Mama aangalie vizuri. Nahisi kuna sehemu kunavuja kwenye kapu lake la uchumi.
Hatutaki ufafanuzi tunataka marekebisho ya katiba, umeme, sukari, tume huru ya uchaguzi na hali nzuri ya maisha. Aje Mbowe atupe mstakabali wa nchi hii.Habari wadau,
Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.
Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?
View attachment 2910067
Hatutaki ufafanuzi tunataka marekebisho ya katiba, umeme, sukari, tume huru ya uchaguzi na hali nzuri ya maisha. Aje Mbowe atupe mstakabali wa nchi hii.
Nakubaliana nawe changamoto za hasa Wizara ya Ardhi. Huko mbeleni changamoto kubwa inakuja kuwa migogoro ya ardhi, hivyo ni vyema wahusika wakatujuza mikakati ya kupambana na janga hili lijalo.Kwa kuanza, binafsi ningependa aje waziri wa ujenzi pamoja na waziri wa ardhi
Nina maswali muhimu kuhusu changamoto za hizo wizara huku kwetu