Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,264
- 4,740
Vyoo Rafiki kwa Wazee Sana Na Wagonjwa Mahututi
na wajawazito pia, na wakati umechoka inakusaidia kutoa kinyesi chote ukiwa relaxed.
Vyoo Rafiki kwa Wazee Sana Na Wagonjwa Mahututi
Subiri ukifika miaka sitini (60) utaanza kuvipenda!
Mwenzenu vyoo vya kukaa huwa navipandia juu nachuchumaa, kwa raha zangu!
mkuu Katavi, ni kama hicho pichaniHivi vyoo vya kukaa ndio vikoje? Huku kwetu Kabungu havijafika.
Hivi umri huu naweza kushare room na mtu, tena a total stranger?
Hao wenye training ningewanyofoa makoromeo kama nisingefikia makorodani!
Choo cha kukaa ni janga kwangu,
yaan nirukiwe na maji matakon!
Hiyo karaha siiwez,
mi nikikuta choo cha hivyo huwa napanda juu kwa umakini na kushusha sehem ya pemben then naflsh,
hivyo vyoo sijui kwa nn vimepitishwa kwa matumizi hata ya mme na mke havifai,
namlaum sana mvumbuzi
na wajawazito pia, na wakati umechoka inakusaidia kutoa kinyesi chote ukiwa relaxed.
Mwenzenu vyoo vya kukaa huwa navipandia juu nachuchumaa, kwa raha zangu!
Hapa ulikua na maana gani?
duh kumbe tupo wengi tunaopata adha ya choo cha kukalìa. duh, me ofisini kwetu kuna vyoo vya kukalia na hata home kwenye masterbedrum thou ni nyumba ya kupanga. ila home kuna public toilet pia.. home huwa natumia kile kile cha public. hata nisafishe aje siwezi kuwa comfortable kukaa. ofisini kiukweli huwa nainama wakati nasusuu. labda nipate mchafuko wa tumbo ndo nilazimike kukata gogo ofìsini. . . lakini mara nyingi huwa nakata gogo home!
katika moja ya mitihani ni vyoo vya kukaa.... Na ndo sehemu ambapo wanawake wanaondoka na shehena ya UTI
Subiri ukifika miaka sitini (60) utaanza kuvipenda!
Kie kie kie kie kie.. Mie nikiwa job hua napamba toilet seat na toilet paper juu yake and then nakaa kumaliza kilichonipeleka..
** nikifika home kwenye mchoo wangu wa shimo swaafii kabisa.
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
hahaha..swali langu ni je baada ya kumaliza shughuli unatumiaje tishu ama maji?/unainuka na kwenda pembeni kufanya hiyo shughuli?i find it distarbance.
hahaha..swali langu ni je baada ya kumaliza shughuli unatumiaje tishu ama maji?/unainuka na kwenda pembeni kufanya hiyo shughuli?i find it distarbance.