Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

hahhahaaaa same here......
Yaani nikiwa hoteli mie nademand toilet paper....
Kwanza natandika toilet paper kwenye choo kuzuia kurukiwa na maji....
Then natandika kwenye sit hahafu napanda nadownlod hadi naridhika....

Style hii nilijifunzia chuo.....

Usiijaribu kama maji ya mawazo utaumbuka

Afu hebu tiulizane?
Kwenye choo cha kukaa unachamba-chamba vipi kwa kutumia maji? Maana raha ya kuchamba maji yaangukie kwa tundu...
 
Acha kabisa mchezo huo, ni hatari. Ni hivi, tukiwa Sekondari kuna mwanafunzi alitumia huo ujanja lakin siku moja lile sink lilikatika na kumchana mguu, aliumia vibaya sana.

Hyo ni ajali bro, hata ukiwa umekaa inaweza kutokea ikakuchana vibaya.
 
.............mie hutumia papers nyingi sana ! kwanza napanga papers ktk shimo, kisha sehemu ya kukalia, halafu naendelea. However naenjoy sana cha kuchuchumaa !
ungechelewa ningejibu kama wewe lakini madhali umemaliza siongezei.
 
Watalaam,wanadai eti izo toilet za kukaa,zinaongeza life span,pamoja na ubovu wake wa kuharibu starehe ya ku...a.Hizi za kuchuchumaa eti cyo dili sana,
huoutaalam nao siku hizi umezidi ingekuwa kweli wazee wa kiafrika wasingekuwepo,watu wakitaka kuboresha biashara wana madoido sana.
 
marekan kuna ugonjwa uliibuka kwa sababu ya hvyo vyoo. Its very bad
 
Watalaam,wanadai eti izo toilet za kukaa,zinaongeza life span,pamoja na ubovu wake wa kuharibu starehe ya ku...a.Hizi za kuchuchumaa eti cyo dili sana,
Kuchutama (Squatting) Njia Salama ya Kwenda Haja

Health Benefits

  • Research has indicated that squatting toilets have several advantages.
  • Makes elimination faster, easier and more complete. This helps prevent "fecal stagnation," a prime factor in colon cancer, appendicitis and inflammatory bowel disease.
  • Protects the nerves that control the prostate, bladder and uterus from becoming stretched and damaged.
  • Securely seals the ileocecal valve, between the colon and the small intestine. In the conventional sitting position, this valve is unsupported and often leaks during evacuation, contaminating the small intestine.
  • Relaxes the puborectalis muscle which normally chokes the rectum in order to maintain continence. continue >> click here
 
Choo cha kukalia na kuchuchumaa na pit latrine vyote ni vyoo. Inategemea unavitumiaje wewe na yule. Otherwise ndivyo vinatumika duniani kote. Mkizoea vile vya gorofa-passport size visivyo na paa wala mlango hivi vingine hamviwezi. Hah hah
 
.............mie hutumia papers nyingi sana ! kwanza napanga papers ktk shimo, kisha sehemu ya kukalia, halafu naendelea. However naenjoy sana cha kuchuchumaa !

though sio njia ya kujikinga na bacteria infections sasa utaweza kufanya mlolongo wote huo wa kupanga karatasi iwapo hujabanwa na haja kwa ukali hasa uharo sijui kama unaweza weka hata karatasi moja looh!
usaatarbu wa hivi vyoo wanauweza wadhungu wenyewe coz mtumiaji akimaliza anasafisha na kumruhusu mtumiaji mwingine akute mazingira safi, kwa bongo imeshindikana japo utakuta baadhi ya kumbi na hoteli wameajiri mtu wa kukaa chooni ukitoka tuu anaingia kusafisha kabla mwingine hajaingia coz utakuta mwingine anakanyaga na miguu pale pa kukalia.
Kuna wengine hawana aibu hasa vya maofisini waweza pishana na mtu katoka mlango wa choo mtanashati ananukia ukiingia na kukuta jinsi alivyokiacha choo looh haja yako yote inarudi ndani.
Vyoo vya kukaa mkiwa watumiaji ni wastaarabu vinafaa hata kwenye public shida kila mtu anakuwa na kinyaa na akimaliza koz kakikuta kichafu anaacha kichafu.
KITUKO: kunawannandoa fulani baada ya kuoana walifunga mlango wa choo cha master na kuacha kukitumia kwa sababu ya kutegeana kukisafisha, ilikuwa hivi, mke akiingia anasafisha kabla ya kutumia na baada ya kutumia. Mume akiingia anatumia na kukiacha kichafu bila hata kuflash ilhali maji yapo. Hali hii iliendelea na mke akalalamika kwamba basi hata kuflash nyee yako ili mie niwe nasafisha tuu usafi mwingine mume wala hakurekebishika. Ikafika mahali mke nae akazira kusafisha wakawa wanatumia nyee juu ya nyee hadi ikafika mahali huwezi hata kuingia kuoga ikabidi wakifunge na watumie cha public amabcho anasafisha housegirl.
So usafi wa vyoo vya kukaa ni ustaarabu wa mtumiaji na usafi, wote mkiwa hivi hata kama ni nyumba nzima ya watu 10 kila ukiingia chooni waweza lala au kusinzia huku wadondosha nyee looh
 
Hakuna kitu sikipendi kama Choo cha kukaa..NI vema kitumike kwa Mke na Mume.UKIANZA KUNYA MAJI YANAKURUKIA MATAKONI bila ridhaa Yako
umenikumbusha tulikwenda kijiji kimoja kucheza mechi, tukakumbana na choo cha shimo kimejaa maji karibu yafike juu. Wenyeji wakawa wanatufundisha jinsi ya kukitumia, wanasema ukidondosha unakwepa halafu unarudi kati, hivyohivyo mpaka unamaliza haja zako.
Kwa hiyo hapo ndugu yangu inabidi ujifunze kukwepa hayo maji.
 
Afu hebu tiulizane?
Kwenye choo cha kukaa unachamba-chamba vipi kwa kutumia maji? Maana raha ya kuchamba maji yaangukie kwa tundu...

ukichamba kwa maji utamwaga pembeni au ujichafue miguu.... Hapo ni kupangusa na toilet pepa halafu utafute ustaarabu wa kuchamba...... Ndo maana sipendi vyoo vya kukaa havina uhuru
 
Hivi choo cha kukaa kinakuwaje? Mnatuacha kwenye mataa watoto wa uswazi. Maana hata sielewi mnachokiongelea.
 
museme na age zenu wengine miaka tuliyo kuwa wadogo hizo pot hazipo hapa bongo ,mpango mzima ni kama hivi panachimbwa-unashusha zege -panafukiwa habari kwisha!

Au miguu inapangwa alafu mtoto unakaa unaachia pale kwenye gap la miguu ndio inakuwa choo
 
Choo cha kukaa kama kinapata watu waastarabu ni rahisi kwani huwa kuna mfuniko na kile kidude ambacho kinatumika kama kitako ambacho kwenye vyoo vya watu wengi hasa wanaume huwa wanakiacha bila kukinyanyua wakati wanakojoa (si unajua wanaume ni wazee wa kusimaa hivyo kinakuwa kinachafuka na matone ya mkojo sometimes kwa wale ambao kulenga sio utamaduni wao, kwani mara nyingi kile kitako kinatakiwa kinanyanyuliwa pindi unapomaliza). Kikubwa kinahitaji usafi wa hali juu na kabla ya kutumia kwanza una flush maji ili ukikaa uwe vizuri japokuwa vyoo vya hotel kubwakubwa huwa vinasafishwa na dawa za kuua wadudu na ndio maana nyingi hata bafuni mnaingia bila kandambili japokuwa kwa sie watz tulishaaminishwa kwamba chooni ama bafuni ni kuchafu hivyo lazima uvae viatu kumbe sio kama patasafishwa vizuri na madawa hivyo unajiachia tu.
 
Back
Top Bottom