Prophet
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 274
- 127
Hakuna kitu sikipendi kama Choo cha kukaa..NI vema kitumike kwa Mke na Mume.UKIANZA KUNYA MAJI YANAKURUKIA MATAKONI bila ridhaa Yako
Inategemea unakitumiaje. Si rahisi kurukiwa kama unakikalia kwa mashaka mashaka.i Kwanza kunakiwa na plate ya juu ambayo unaishusha ndo utumie. Ukimaliza unakinyanyua.