Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Hakuna kitu sikipendi kama Choo cha kukaa..NI vema kitumike kwa Mke na Mume.UKIANZA KUNYA MAJI YANAKURUKIA MATAKONI bila ridhaa Yako

Inategemea unakitumiaje. Si rahisi kurukiwa kama unakikalia kwa mashaka mashaka.i Kwanza kunakiwa na plate ya juu ambayo unaishusha ndo utumie. Ukimaliza unakinyanyua.
 
duh kumbe tupo wengi tunaopata adha ya choo cha kukalìa. duh, me ofisini kwetu kuna vyoo vya kukalia na hata home kwenye masterbedrum thou ni nyumba ya kupanga. ila home kuna public toilet pia.. home huwa natumia kile kile cha public. hata nisafishe aje siwezi kuwa comfortable kukaa. ofisini kiukweli huwa nainama wakati nasusuu. labda nipate mchafuko wa tumbo ndo nilazimike kukata gogo ofìsini. . . lakini mara nyingi huwa nakata gogo home!
 
mbona ulivyokuwa mdogo ulikuwa unajisaidia kwenye pot ... sasa umekua unajifanya mjanja

museme na age zenu wengine miaka tuliyo kuwa wadogo hizo pot hazipo hapa bongo ,mpango mzima ni kama hivi panachimbwa-unashusha zege -panafukiwa habari kwisha!

Poti inatumiwa na mtu mmoja, au wewe una~share pot na mwanao? Elewa swali.

Hakuna kitu sikipendi kama Choo cha kukaa..NI vema kitumike kwa Mke na Mume.UKIANZA KUNYA MAJI YANAKURUKIA MATAKONI bila ridhaa Yako

duh kumbe tupo wengi tunaopata adha ya choo cha kukalìa. duh, me ofisini kwetu kuna vyoo vya kukalia na hata home kwenye masterbedrum thou ni nyumba ya kupanga. ila home kuna public toilet pia.. home huwa natumia kile kile cha public. hata nisafishe aje siwezi kuwa comfortable kukaa. ofisini kiukweli huwa nainama wakati nasusuu. labda nipate mchafuko wa tumbo ndo nilazimike kukata gogo ofìsini. . . lakini mara nyingi huwa nakata gogo home!


...Sina haja ya kunywa kidonge chochote ninapokuwa na stress! All I have to do is to Open a few JF pages and..Voila! I am Happy! Comrades, You have made my Day! Thank You.
:smiling: :biggrin: :lol: 😛ound: 😛ound:
 
waulize wakazi wa udsm hall 2 na hall 5 mabweni yenye wakazi zaidi ya 1000 na bado wanashare vyoo vya kukalia..
kiukweli nilikuwa na maisha magumu sana pale chuoni hasa nikiwa nimebanwa na ukute maji yamekatika au hayapandi floor za juu ni ugonjwa wa moyo kwakweli
 
kuna sanitizers unasafishia then unakaa unakata gogo. otherwise unasafisha na sabuni kile cha kukalia n u do ur thing. pia kutandaza toilet pepa inafanyika
 
Hivi vyoo vya kukaa ndio vikoje? Huku kwetu Kabungu havijafika.

Mwenzangu kumbe nimedandia gari kwa mbele tena kwenye mteremko wa Lyamba lya Mfipa maana hata mie sijui choo cha kukaa nimejiingiza chaka kweli
 
Unashushaga mvua ya mawe?
Sipendi asian type toilet!
Ruaha national park kwenye tourist bandas kuna vyoo vya shimo vimejengwa vizuri na seat toilets za mbao saafi! Na mijusi inayopita nje, nilikuwa nahisi ntarukiwa from the toilet nibakwe na mjusi, hehehe
Hakuna kitu sikipendi kama Choo cha kukaa..NI vema kitumike kwa Mke na Mume.UKIANZA KUNYA MAJI YANAKURUKIA MATAKONI bila ridhaa Yako
 
Watalaam,wanadai eti izo toilet za kukaa,zinaongeza life span,pamoja na ubovu wake wa kuharibu starehe ya ku...a.Hizi za kuchuchumaa eti cyo dili sana,
 
It is a 3 start hotel and they thought it is okay, if you complain ungelala Kwenye lecturer room; ukienda kwa Bibi yako wanya Kwenye michongoma, japan unalala



Niliwahi kwenda Asia kwenye training fulani. Katika Hotel ya 3-star tulipangiwa watu wawili wawili kwenye room moja, japo kila mmoja alikuwa na kitanda chake (Twin Room). Of course ilikuwa ni hotel nzuri sana na huwezi kudhani kama ni 3-star, haraka haraka unaweza kusema ni 4-star.

Mimi nilipangiwa kukaa na jamaa mmoja wa Mauritius, na ilikuwa ni bahati kwamba wote ni waafrika wastaarabu. Utata ulikuja wakati wa kutumia choo cha kukalia. Changamoto niliyoipata inabidi tufahamishane hapa; hivi wengine huwa mnamudu vipi kutumia choo cha kukalia? Nadhani swali langu limeeleweka.

attachment.php
 
Mwenzenu vyoo vya kukaa huwa navipandia juu nachuchumaa, kwa raha zangu!

hahhahaaaa same here......
Yaani nikiwa hoteli mie nademand toilet paper....
Kwanza natandika toilet paper kwenye choo kuzuia kurukiwa na maji....
Then natandika kwenye sit hahafu napanda nadownlod hadi naridhika....

Style hii nilijifunzia chuo.....

Usiijaribu kama maji ya mawazo utaumbuka
 
museme na age zenu wengine miaka tuliyo kuwa wadogo hizo pot hazipo hapa bongo ,mpango mzima ni kama hivi panachimbwa-unashusha zege -panafukiwa habari kwisha!

una-slide 'valley' kwenye gogo au kwenye mchanga kazi kwisha!
 
Niliwahi kwenda Asia kwenye training fulani. Katika Hotel ya 3-star tulipangiwa watu wawili wawili kwenye room moja, japo kila mmoja alikuwa na kitanda chake (Twin Room). Of course ilikuwa ni hotel nzuri sana na huwezi kudhani kama ni 3-star, haraka haraka unaweza kusema ni 4-star.

Mimi nilipangiwa kukaa na jamaa mmoja wa Mauritius, na ilikuwa ni bahati kwamba wote ni waafrika wastaarabu. Utata ulikuja wakati wa kutumia choo cha kukalia. Changamoto niliyoipata inabidi tufahamishane

...one I hate sharing a hotel room not to mention sharing it wit a total stranger...pili I hate those toilets they call English... me love it Asian..it's more hygienic..ila ukikutana na hicho cha kizungu, tengeneza urafiki wa haswa na toilet papers na dettol, mengine wadau wameshaeleza!
 
Mwenzenu vyoo vya kukaa huwa navipandia juu nachuchumaa, kwa raha zangu!

Acha kabisa mchezo huo, ni hatari. Ni hivi, tukiwa Sekondari kuna mwanafunzi alitumia huo ujanja lakin siku moja lile sink lilikatika na kumchana mguu, aliumia vibaya sana.
 
Back
Top Bottom