Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Huwa inaleta shida namna ya kutumia maji kujisafisha kwenye hivi vyoo
Nyumba nnayoishi ina hichi choo huwa natumia hichi choo wakati nataka kuoga tu tofauti na hapo huwa siendi toilet
Kinawafaa wale wanaotumia tishu ambao hawatumii maji
mimi huwa kuna kitu kinanitokea sijui kwa wengine, nikisafiri nikaenda kwa mtu naweza maliza siku 3 bila kujiskia kwenda toilet, yaan kama mazingira mageni sijui inakuwaje, huwa nakuwa confortable zaidi nikiwa mazingira ya home nilipozoea
 
😀😀 choo cha kulenga bhana weee, mtu hadi anajisahau anachora na chini kabisa halaf vinakuwaga mbali na nyumba hata mita 50+, ukifika kule ni stress free zone, wengine huvua nguo zooote, sasa hiv vya kukaa daaah so poa
 
Zama hizi ukifikia hapo itakuwaje?
chumbani kwako utaweka choo cha aina gani?
 
Habari zenu humu ndani mwajionaje na hali,

Nimezaliwa Dar nimekulia Dar lakini kusema ule ukweli hii ni kama mara ya 6 nashindwa kutekeleza mujarabu huduma ya haja kubwa ninapokuta choo cha kukaa niko radhi nifunge choo siku nzima au nitafute chaka yaishe

Kuna siku uzalendo ulinishinda nikavua nikakanyaga kwenye kingo za round zile ila dah aina hii za vyoo vinanitesa sana sana.

Siyo ushamba! Ila ni makuzi tu


Ahaaaaa, mwanamme wa Dar....sema ukweli wako kabisa. Unashindwa kunya, je ulichukua dawa gani, ya kuliwa na mtu kunako tigo au kutunza familia yako.
 
Huwa inaleta shida namna ya kutumia maji kujisafisha kwenye hivi vyoo
Nyumba nnayoishi ina hichi choo huwa natumia hichi choo wakati nataka kuoga tu tofauti na hapo huwa siendi toilet
Kinawafaa wale wanaotumia tishu ambao hawatumii maji
Kuna bomba ya kujisafisha, inatoa maji kwa pressure fulani ndio kazi yake hio sio mapambo. Au vyoo ulivyoingia hamna?

ShattafToilet.gif
 
Huwa inaleta shida namna ya kutumia maji kujisafisha kwenye hivi vyoo
Nyumba nnayoishi ina hichi choo huwa natumia hichi choo wakati nataka kuoga tu tofauti na hapo huwa siendi toilet
Kinawafaa wale wanaotumia tishu ambao hawatumii maji
Chief kuna shataf na yenyewe hutumii??
 
Binafsi nashindwa kuwaekewa wanaoshindwa kutumia choo cha kukaa kina changamoto gani! Mi naona ni choo km vyoo vingine ishu ni kushusha mzigo tu na ofcoz ni choo cha starehe,unaweza kushusha mzigo huku unasoma gazeti ....na wanaouliza unajitawaza vipi kwny choo cha kukaa kuna kifaa kinaitwa shataf ambacho kila choo cha kukaa lazima ukikute na kazi yake ni kujisafisha baada ya kushusha mzigo ,na ufanisi wake ni wa hali ya juu coz kinatoa maji kwa presha kubwa so haina haja ya kugusa mavi yako shataf inamaliza kila kitu
 
Chief kuna shataf na yenyewe hutumii??
Kwanza mkuu mi siko bongo now
Na huku nilipo watu huwa hawatumii maji kabisa tishu tu
kwa hiyo siyo rahisi kukuta choo kina shataf hapohapo
Sanasana kuna sinki ambalo unaweza kunawa mikono hapo na kujikausha mikono
Umeandika kana kwamba labda nna ushamba fulani mkuu
Sio hivyo home moshi tunatumia shataf toilet japo choo sio cha kukaa
Naona umechukulia kama nimeiona alafu sijui matumizi yake
 
kama nilivosema ni swali fikirishi ila kama la kijinga fulani,tupeane uzoefu mana nimefika ugenini mara paaaaap choo cha kukaa halafu sasa ukishamaliza jisaidia,unajitawadha vipi na maji jamani,au ndio unatumia toilet paper halafu unaitupa mle..

au inakuaje wakuu..
 
...Mkuu Ziltan, Hii kushushia mzigo sehemu ya pambeni ya sinki nayo huwa ina matatizo yake maana mzigo unaweza na kama na gundi fulani hivi kwa hiyo unanasa pale ulipoushushia! Ndio hapo unajikuta hata uki-flush maji pipa zima kale kamzigo kanaendelea ku-stick pale hata siku tatu mpaka aje msafishaji akwangue na Brashi yake! Hili nalo unalionaje mkuu??
:smile-big:

inanikutaga sana hii, choo cha chumambani kwetu.
 
..
Kwa kawaida unatandika TP pale juu pa kuketi pote..halafu naning'iniza kipande kirefu kiasi kwa pale mbele kuelekea ndani ya choo ili mashine isiguse kuta za choo. Halafu na kipande kingine kidogo unatupia kwenye maji ili mzigo ukishuka maji yasikurukie.
Kwa kifupi, ile TP ya 1000 inatumika kama siku 5 hivi kwangu mtu mmoja.

😀😀😀 Kibamia kisiguse kuta!!!
 
Hivyo vyoo ni vya kishenzi sana.Utakuta mtu (wa kiume)kakojoa hapo juu halafu wewe unakuja kukalia mikojo yake.Na wakati mwingine msafishaji anatumia brush kusugua kwa ndani halafu anasafishia pia unapokalia na haweki dawa wala kumwaga maji ya kutosha.
Mimi huwa nikikaa kibamia changu lazima kiguse kwenye sinki na wakati fulani nilipata fangas kwenye shingo ya kibamia nikiwa Tanga, paliwasha na nilijikuna hadi pakachubuka.Hii ilipelekea kuwasikia redioni tu mabinti wa kitanga.

Jamani wanaumeee... Vibamia vyao kwenye masinki ya vyooooo 😀😀
 
Kwa ajili ya afya vya kuchuchuma ni vizuri zaidi,utafiti uliofanyika Marekani(kukaa) na vijijini China na Japan(kuchuchumaa) imeonyesha watu wanaotumia kuchuchumaa hawasumbuliwi na matatizo ya colon cancer(haja kubwa) na matatizo ya kibofu(haja ndogo) kwakuwa kuna msukumo mkubwa ukichuchuma na uwezekano wa uchafu wote kutoka ni mkubwa.
Ni sahihi kabisa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiangalie vzr mkuu,mafi yanakuhusu unajifuta na karatasi afu nduki?Wenzako wanatumia tissue+maji,we unatumia tissue tu.

Unakomaza tu huo mkufundu na hizo karatasi "tissue" hahah

😛😛😀😀 Mkundu wa mkorosho umeota sugu ya TOILET paper
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom