Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

huu ulikua ndo mtihani wangu wa kwanza baada ya kuchaguliwa ud main campus dah

vyoo vya kukaa vichafu mamaee nilikua na ratiba ya kujisaidia vyoo vya class tu coet au theatre mule ndo nakatia gogo

sasa usiombe ukabanwa na gogo usiku dah mamaee nilikua najisaidia kama ngedere aisee nakanyaga juu ya sinki ilinichukua wiki 3 tu kuhama campus nikaenda zangu bbo
 
Kuna jamaa alikuwa na phobia kama ya kwako. Alialikwa kwenye party ya watu wenye pesa ndefu, alipotaka kujisaidia choo ni kisafi, kila corner vioo mpaka tiles za sakafuni unajiona

Jamaa alivua socks akashusha mzigo, alifikiria aitupe dirishani na parcel lake amalize. Wakati anaitupa socks dirishani ikafunguka. Kinyesi kilitapakaa ukutani.

Kwakuwa wale watu ni wastaarabu sana, cleaner alikuwa anakwenda kila baada ya lisaa kusafisha. Alimkuta jamaa ana fikiria atatokaje aache hali ile.

Alimwambia cleaner nitakupa laki moja kama utasafisha hiki kinyesi ukutani.

Cleaner alibaki na mshangao alimwambia nitakupa laki mbili ukinifahamisha hiki kinyesi kimefikaje ukutani!!
Hahaha hahaha dah hii kali
 
Hahaha nikiwa pale Udsm miaka kadhaa ya nyuma,pale Hall 5 vyoo ni vya kukaa,sasa mimi nilikuwaga nachuchumaa kwa juu coz vyoo vya kukaa sivipendi hata kidogo.

Sasa bhan siku moja kikavunjika nikiwa juu,dah kilichotokea sasa,sitaki hata kukumbuka.
 
Habari Zenu HuMu Ndani Mwajionaje na hali

Nimezaliwa Dar Nimekulia Dar Lakini
Kusema Ule Ukweli Hii Ni kama Mara ya 6 Nashindwa Kutekeleza MujarabU Huduma Ya Haja Kubwa Ninapokuta Choo cha Kukaa Niko Radhi Nifunge Choo Siku Nzima Or Nitafute Chaka Yaishe

Kuna Siku Uzalendo Ulinishinda Nikavua Nikakanyaga Kwenye Kingo za Round Zile Ila Dah Aina hii Za Vyoo Vinanitesa Sana Sana

Siyo Ushamba Aah!!! ila Ni Makuzi Tu


Shukuru Mungu ulishuka ukiwa salama, lakini likiachana linakuchanachana mapaja na makalio unaweza kufa kwa kupoteza damu nyingi, sikushauri kurudia kuchuchumaa kwenye kingo za choo cha kukaa bora utembee na mfuko wa rambo unatandika unakalia
 
nimekulia kwenye familia kubwa sana ya choo cha kulenga ...tulifunzwa kutumia toilet paper badala ya maji binafsi ni njia bora kuliko maji...na ubora wake ni kwamba hushiki kinyesi na mkono...pili kwa wanawake uwezekano wa kupata uti unapungua coz wanapaswa wajisafishe kurudi nyuma so kwa toilet paper ni rahisi...kuna watu wanamakucha marefu huwa nawaangalia tu haswa wanawake najiuliza kwa maji huwa wanajisafisha vipi? kwa toilet paper hata kama kucha ni ndefu huwezi kuzitia kinyesi....huwa najiuliza sana maji ya kikopo cha lita moja mtu anatakata vipi?? familia nyingi za uswazi unamuona mtu na kakopo tena kako nusu anaenda msalani hivi huwa wanatakata vipi? maji ni mazuri kama yako mengi na watu hawachangii makopo lakin ki magomeni aloo tusitaniane ...sitoiagi mkono mimi ..ni tano mwanzo mwisho na nikitoa lazima nifanye mpango wa kunawa faster......nakushauri sana penda tissue na maji ndio utakua msafi lakini na kijikopo chako ndugu uko hatarin.....huwa sipendi kula kwa watu coz nikiwa mdogo kuna nilienda mahali kuna wapangaji..mama mmoja akawa anakata kat mboga mara paap akaenda kukata gogo na kikopo aliporudi na mikono yake yenye maji akaendelea na kukata mboga asee nilivyojisikia mpaka leo sipendi kabisa wanajisafi na vikopo....tissue kubwa nikaliza nawa mikono na sabuni maisha yanaendela
mkuu ukiisoma vyema ile scenario yangu nadhani utatambua kuwa mimi nimtu wnamna gani dhidi ya swala la usafi kwangu especially napokwenda toilet ...yaani cwezi kwenda toilet na kopo moja au ujazo wa makopo mawili hata siku moja ..ndio maana nikazungumzia mabomba yenye pressure kubwa ya maji kuonyesha kuwa na jali hilo suala ..jambo lingine pia huwez kwnda na maji machache katk vyoo vya kuflash cuz huwa vinahitaji maji mengi mnooo iliviweze kuwa safi...kinyume na hapo tarajia kipindu pindu na kujipatia kinyaa tu ...huwa siwezi maliza mambo yngu bila kunawa mikono kwa sabuni nevr
 
1f728c68e6f36077587bba56ba46b2f7.jpg
Raha mustarehe chumbani kwangu
 
huwa najikakamua tu kibishi ila ninakua na wasiwasi wa yale maji kunirukia pili kwenye kujitawaza ni shida tatu ukute sehemu ni ya baridi hata utandaze tishu vipi bado hali inakua tete

kifupi sivipendi
 
Kuna watu wanatembe na kimba kwenye masaburi humu jf kwa kutumia vyoo vya kukaa+tissue.
 
Changomoto inakuja wakati wa kutawaza kwa maji utaishia kutapakaa kinyesi sakafu nzuma vyoo vya kukaa sio use friend kwetu ss waswahili tunaotumia maji SIVIPENDI
 
Dah Mazoezi tena Mmh

@m G00d Br0ther
Ndio siku moja unatumia cha kukaa na siku ya pili unatumia cha kuchuchumaa hadi inya izoee kusukuma mzigo ukiwa umekaa nadhani utakuwa umeelewa maana ya mazoezi hapo
 
nimekulia kwenye familia kubwa sana ya choo cha kulenga ...tulifunzwa kutumia toilet paper badala ya maji binafsi ni njia bora kuliko maji...na ubora wake ni kwamba hushiki kinyesi na mkono...pili kwa wanawake uwezekano wa kupata uti unapungua coz wanapaswa wajisafishe kurudi nyuma so kwa toilet paper ni rahisi...kuna watu wanamakucha marefu huwa nawaangalia tu haswa wanawake najiuliza kwa maji huwa wanajisafisha vipi? kwa toilet paper hata kama kucha ni ndefu huwezi kuzitia kinyesi....huwa najiuliza sana maji ya kikopo cha lita moja mtu anatakata vipi?? familia nyingi za uswazi unamuona mtu na kakopo tena kako nusu anaenda msalani hivi huwa wanatakata vipi? maji ni mazuri kama yako mengi na watu hawachangii makopo lakin ki magomeni aloo tusitaniane ...sitoiagi mkono mimi ..ni tano mwanzo mwisho na nikitoa lazima nifanye mpango wa kunawa faster......nakushauri sana penda tissue na maji ndio utakua msafi lakini na kijikopo chako ndugu uko hatarin.....huwa sipendi kula kwa watu coz nikiwa mdogo kuna nilienda mahali kuna wapangaji..mama mmoja akawa anakata kat mboga mara paap akaenda kukata gogo na kikopo aliporudi na mikono yake yenye maji akaendelea na kukata mboga asee nilivyojisikia mpaka leo sipendi kabisa wanajisafi na vikopo....tissue kubwa nikaliza nawa mikono na sabuni maisha yanaendela
Daah Unatembea na "mafi" mkuu.
 
Daah Unatembea na "mafi" mkuu.
hahaha originally wewe ndo unatembea nayo na unayala pia na mbaya zaidi unawagaia watu ya kwako....asee unazidk kunihamasisha kugawa tano maswala ya kupeana mikono sitaki tu
 
hahaha originally wewe ndo unatembea nayo na unayala pia na mbaya zaidi unawagaia watu ya kwako....asee unazidk kunihamasisha kugawa tano maswala ya kupeana mikono sitaki tu
Jiangalie vzr mkuu,mafi yanakuhusu unajifuta na karatasi afu nduki?Wenzako wanatumia tissue+maji,we unatumia tissue tu.

Unakomaza tu huo mkufundu na hizo karatasi "tissue" hahah
 
Changomoto inakuja wakati wa kutawaza kwa maji utaishia kutapakaa kinyesi sakafu nzuma vyoo vya kukaa sio use friend kwetu ss waswahili tunaotumia maji SIVIPENDI
Hakuna changamoto yoyote ukiangalia picha ya posting ya mwisho 6/7 nyuma utaona kuna flexable pipe yenye shutoff ambayo huwa inatoa maji kwa pressure unapo bonyeza handle yake unaitumia ungali umekaa maji yanadondokea chooni
 
Huko peke yako kutumia hivyo vioo unahitaji mazoezi ni vibaya na humalizi haja vizuri sio ushamba ila pendelea kuvifanyia mazoezi
Hii aina ya choo inakwenda sambamba na ulaji wa vyakula ambavyo hutengeneza choo laini.

Sio unakula ugali wako wa mtama then unakuja kukata gogo gumu linadunda kama kitenesi kisha utegemee kuwa utalimaliza hapo lazima uondoke na mzigo nusu haujakatika upo tumboni.
 
Kwanguu kamwee siji Kuwekaa vyoo vya kukaaa...!!
Mkuu unaweza kukiweka tu yaani unakua na aina hizo mbili.

Hiko chakukaa kinakua ni kwa dharula tu kuna kuumwa ukakosa nguvu ya kuchuchumaa,kuna watu wazee miguu imeshanoki kuchuchumaa wanaumia sana.
Hivyo sivibaya kuwa nacho kama una uwezo mzuri.

Sivipendi mno.
 
Kwa Kutumia m1 sio mbaya ila kushare hapana,ni mafangasi tu kuambukizana....ila kiafya havifai hata kama unatumia peke yako maana wataalamu wanasema ukitumia hivyo vya kukaa wakati unadeposit mzigo bank wanasema kwamba chenji inabaki ila ukitumia vile vya kuchutama mzigo wote unazama bank.
 
Back
Top Bottom