Kuna jamaa alikuwa na phobia kama ya kwako. Alialikwa kwenye party ya watu wenye pesa ndefu, alipotaka kujisaidia choo ni kisafi, kila corner vioo mpaka tiles za sakafuni unajiona
Jamaa alivua socks akashusha mzigo, alifikiria aitupe dirishani na parcel lake amalize. Wakati anaitupa socks dirishani ikafunguka. Kinyesi kilitapakaa ukutani.
Kwakuwa wale watu ni wastaarabu sana, cleaner alikuwa anakwenda kila baada ya lisaa kusafisha. Alimkuta jamaa ana fikiria atatokaje ache hali ile.
Alimwambia cleaner nitakupa laki moja kama utasafisha hiki kinyesi ukutani.
Cleaner alibaki na mshangao alimwambia nitakupa laki mbili ukinifahamisha hiki kinyesi kimefikaje ukutani!!