Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,552
Me huwa nashindwa kutumia kikiwa cha watu. Lakini kama nimekizoea. Fresh tu
Há há há há aah kweli hiyo ilipendezaKuna jamaa alikuwa na phobia kama ya kwako. Alialikwa kwenye party ya watu wenye pesa ndefu, alipotaka kujisaidia choo ni kisafi, kila corner vioo mpaka tiles za sakafuni unajiona
Jamaa alivua socks akashusha mzigo, alifikiria aitupe dirishani na parcel lake amalize. Wakati anaitupa socks dirishani ikafunguka. Kinyesi kilitapakaa ukutani.
Kwakuwa wale watu ni wastaarabu sana, cleaner alikuwa anakwenda kila baada ya lisaa kusafisha. Alimkuta jamaa ana fikiria atatokaje aache hali ile.
Alimwambia cleaner nitakupa laki moja kama utasafisha hiki kinyesi ukutani.
Cleaner alibaki na mshangao alimwambia nitakupa laki mbili ukinifahamisha hiki kinyesi kimefikaje ukutani!!
Wallah nimecheka Sana mkuuaiseeee mimi huwa navipnda sana hvyo vyoo ..vile vingine huwa naviona kama vyanipa shida naurefu wote huu mpka kuchuchumaa daaah tabu mnooo ..halafu usiwe na tabia yakupnda juu ya hvyo vyoo mkuu huwa vina tabia ya kupasuka IPO siku utpata ajali ukatwe makalio mpka tigo Pesa yote
Maji mbona unatumia tu bila shida kabisa mkuu? Na ukitaka kukifurahia kile choo usivue nguo nusunusu vua zote weka kule kaa sasa jichanue vema mzigo unatoka vema kabisa tena kwa raha zakoMaji utatumiaje sasa na huku umekaa?
Kuna kibomba cha majiMaji utatumiaje sasa na huku umekaa?
Doh[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53] Mtihani huoRaha mustarehe chumbani kwangu![]()
Hahahaha Kwa hiyo wenye vitambi wanapenda vyoo vya kukaa
Ukiwa na kitambi vyoo vya shimo utavikataa kabisaa utataka cha kukaa haaa haaa
Huu uzi unacheKesha sanashida ipo umeenda kwenye sherehe ya familia uliyoalikwa, umekata zinga la gogo alafu kila ukiflash haliendi aseeh hapo ndo utaelewa kwanini vasco dagama alienda sauzi.
Nakunya Mavi mengi ya kijani
Shida ni inya kama huna mazoea haisukumi mzigo kwakuwa ukikaa hainyooki inajikunja hivyo inakosa balance ya kusukuma sio aina ya chakula Shida kubwa nyingine ni wakati wa kutawaza lazima ubinuke kweli hapoHii aina ya choo inakwenda sambamba na ulaji wa vyakula ambavyo hutengeneza choo laini.
Sio unakula ugali wako wa mtama then unakuja kukata gogo gumu linadunda kama kitenesi kisha utegemee kuwa utalimaliza hapo lazima uondoke na mzigo nusu haujakatika upo tumboni.
Same Me Napendelea Cha Kutega Nyuzi 90° Kile Huku Nachungulia Ubuyu[emoji38][emoji38][emoji38]Mi napenda cha kukaa haswa kiwe cha peke yangu nakunya huku nachart
Vyakulala Vipo pale Muhimbili Wodi ya Mwaisela.Cha kulala utakipata siku moja
Cha kukaa kina raha sana halaf kiwe kisafii ,halaf kuwe na maji mengiSame Me Napendelea Cha Kutega Nyuzi 90° Kile Huku Nachungulia Ubuyu[emoji38][emoji38][emoji38]
@m G00d Br0ther
Duu!! Yakweli hayo.maana nimecheka sana.Kuna jamaa alikuwa na phobia kama ya kwako. Alialikwa kwenye party ya watu wenye pesa ndefu, alipotaka kujisaidia choo ni kisafi, kila corner vioo mpaka tiles za sakafuni unajiona
Jamaa alivua socks akashusha mzigo, alifikiria aitupe dirishani na parcel lake amalize. Wakati anaitupa socks dirishani ikafunguka. Kinyesi kilitapakaa ukutani.
Kwakuwa wale watu ni wastaarabu sana, cleaner alikuwa anakwenda kila baada ya lisaa kusafisha. Alimkuta jamaa ana fikiria atatokaje aache hali ile.
Alimwambia cleaner nitakupa laki moja kama utasafisha hiki kinyesi ukutani.
Cleaner alibaki na mshangao alimwambia nitakupa laki mbili ukinifahamisha hiki kinyesi kimefikaje ukutani!!
pole sana bossWallah nimecheka Sana mkuu
Mhh mkuu ubaya wa tishu hata ukijifuta vizuri lazima kaharufu kawepo uwii,mi bila maji asee siwezi,tena maji ya kutosha sio hayo ya nusu koponimekulia kwenye familia kubwa sana ya choo cha kulenga ...tulifunzwa kutumia toilet paper badala ya maji binafsi ni njia bora kuliko maji...na ubora wake ni kwamba hushiki kinyesi na mkono...pili kwa wanawake uwezekano wa kupata uti unapungua coz wanapaswa wajisafishe kurudi nyuma so kwa toilet paper ni rahisi...kuna watu wanamakucha marefu huwa nawaangalia tu haswa wanawake najiuliza kwa maji huwa wanajisafisha vipi? kwa toilet paper hata kama kucha ni ndefu huwezi kuzitia kinyesi....huwa najiuliza sana maji ya kikopo cha lita moja mtu anatakata vipi?? familia nyingi za uswazi unamuona mtu na kakopo tena kako nusu anaenda msalani hivi huwa wanatakata vipi? maji ni mazuri kama yako mengi na watu hawachangii makopo lakin ki magomeni aloo tusitaniane ...sitoiagi mkono mimi ..ni tano mwanzo mwisho na nikitoa lazima nifanye mpango wa kunawa faster......nakushauri sana penda tissue na maji ndio utakua msafi lakini na kijikopo chako ndugu uko hatarin.....huwa sipendi kula kwa watu coz nikiwa mdogo kuna nilienda mahali kuna wapangaji..mama mmoja akawa anakata kat mboga mara paap akaenda kukata gogo na kikopo aliporudi na mikono yake yenye maji akaendelea na kukata mboga asee nilivyojisikia mpaka leo sipendi kabisa wanajisafi na vikopo....tissue kubwa nikaliza nawa mikono na sabuni maisha yanaendela
Fact,dah yan matishu mimi cwezi asee yan nahis ntakua nanuka kimba kimba njia nzma uwiii!!Jiangalie vzr mkuu,mafi yanakuhusu unajifuta na karatasi afu nduki?Wenzako wanatumia tissue+maji,we unatumia tissue tu.
Unakomaza tu huo mkufundu na hizo karatasi "tissue" hahah