Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Hata kiafya hawavisapoti hivi vyoo, kwani vina athari kwenye rectum inakua inajikunja, wanashauriwa watumie kitu kusapoti miguu ukiwa kwenye kun¥a.. Kuna report nyingi nchi za wenzetu juu ya ishu za hivi vyoo..
sijawahi vikubali hivi vyoo....

binadamu twahitaji chuchumaa ili tutoe kubwa.

Na kiusafi si salama kabisa.



Sent using Jamii Forums mobile app
images-1.jpeg


Sent by anonymous user
 
Choo cha kukaa ni kizuri kwa watu ambao umri ni mkubwa,pia wamama wajawazito ni fresh kwao
 
sijawah kutumia choo cha kukaa jaman! kwa me akitaka kwenda haja kubwa anatangulia kukojoa au inawezekana kufanya vyote simuliteneous?
 
Choo cha kukaa ni kizuri Kama kinatumika nyumbani na watu wa chache. Pia kinasaidia kwa watu wazima ambao wana matatizo ya miguu na magonjwa yanayosababisha asiweze kuchuchumaa
 
Japo ni cha kukaa lakini mi huwa nachuchumaa kibingwa. Cha kwanza funua na lile lisahani lenye tundu katikati kisha miguu yako kanyagia yale makuta ya kukalia kimazoezi. Yaani unapoanza kukanyaga na mguu wa kwanza usijiachie kanyaga bila kuegemea moja kwa moja. Then huku umeshika ukuta kanyagia na mguu wa pili ndipo sasa ukanyagie miguu yote kwa kujiachia. Hapo utakuwa umekigeuza choo cha kukaa Kuwa cha kuchuchumaa. Na kushuka unashuka kistaili faster maana vyoo hivyo huwa wameviegesha tu havijajengewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nikikuta chaa ni cha kikaa huwa najikongoja na huu uzee wangu nakipanda halafu nachuchumaa kimtindo
 
Hivi ni choo gani bora kati ya vile vya kukaa na kuchuchumaa?

Binafsi naona vya kuchuchumaa ni bora na kiasi fulani ni hygenic hasa kwa mazingira ya sehemu za jamii kama mashule,vyuo,ofisi na hata familia zenye watu wengi.

Je kuna sababu yeyote ya watu kupendezewa zaidi kuweka vyoo vya kukaa?

Nawasilisha kwa mjadala.

View attachment 696442
Choo cha kukaa kinamfaa mgonjwa tu na yeye kwa sababu ya udhaifu wa mwili tu. Otherwise, naturally tumeumbwa kuchuchumaa....
 
pale NEW HOSTEL SUA vilikuwa vingi aisee,, jambo jema ni kuwa nilikuwa nakanyaga hapo juu nafanya yangu
 
Hakuna choo sikipendi Kama Cha kukaa.brothers Choo ni kuchuchumaa tu.
 
Nilipokuwa chuo nilikuwa napenda vya kuchuchumaa kwa sababu ya usafi na matumizi ya watu wengi lakini pia wakati huo kitambi kilikuwa kidogo, siku hizi natumia choo changu na mke wangu tu na pia likitambi limekuwa kubwa choo cha kuchuchumaa ni zaidi ya dhabu.
Pole
 
Back
Top Bottom