dalloboy
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 314
- 246
Hongera mwayyah huwa zinanletea nye. .. sana , hasa kama najua naenda faragha na my man
Hongera mwayyah huwa zinanletea nye. .. sana , hasa kama najua naenda faragha na my man
Unaonja chupa kumi...Amazing,preta mmetisha,jaman sijui hawa wanaume wanatakaje,wao wanalewa mpaka kulala kwenye mitaro lakin sis tukionja tuu ni shedaaaa vikao vya kutosha,najiuliza wakati una date nae alikuwa vepeeee,mlokole au???acheni hizo,kwa wanawake si walevi Bali waonjaji lol khaaa
Mimi natumia lakini kamwe mwanamke mlevi sishauri MTU aoe kwa sababu zifuatazo;
-Majukumu ya mama ni very sensitive Kwa watoto kulinganisha na baba.
-Hygiene ya walevi wengi hua ni ndogo Kwa mwanamke ni more risk,refer matokeo ya pombe kukojoa Mara Kwa Mara kumbuka kuna UTI etc.
-Uzazi, akiwa na pregnancy ina madhara kwa mtoto.
- Akiwa ananyonyesha mtt anaweza kukua na character za ulevi.
- Anaweza kuchepuka akilewa as madhara ya low control. Kwa mwanaume unaweza lewa hakuna atakaeku sumbua ila Kwa mwanamke akilewa watu wanawaza this is a whore.
- Economic reason, wamama ndio wabanaji wa ela asa akiwa mlevi .... Sijui atasave namna gani.
Ila ni kweli mana wakipewa offer kukatas ni ngumu mwishowe watu wanapiga vyombo.Pombe sio chai nyie mademu...[emoji23]ubongo unakua na mwendo kasi siku ukipigika kdgo basi dume likikupa ka offer na kalift kwenye benz na keshoyake ana kutext.."nipo sea breez hapa beer kbaoo"unachomoka kama altezza kwann usiwe unagongwa kwa addiction ya mapombe..!mwanamke mlevi SIO
Hivi ikitokea una mwanamke ambae anakunywa pombe na wewe haunywi unawezaje kuishi nae?? Unakuta zile harufu za pombe zinakukera na ukimueleza mwenzio angalau aache pombe haachi. Na kingine mwanamke akinywa pombe naona anakua kwenye risk ya kuchepuka kwa sababu anaweza akapata offer ya mwanaume akalewa watu wakajilia vyao. Wadau nyie mnalionaje hili swala na kama ishakutokea uliwezaje kutatua.
Hapana bro, me nakunywa sio mlevi kakaHa!haaaa!!! Kumbe wewe my Sisy ni noma!!
Ulifanya nn mpaka ukaacha??Namshukuru Mungu nimeacha kunywa pombe huu ni Mwaka wa 4..... sasa Nimepungua uzito kiasi cha kutosha tuu kwa kitendo cha kuacha Lager.... It feels good kwa Kweli....
Mwanamke mlevi weka mbali na ndoa
Ulifanya nn mpaka ukaacha??
Hongera kwa maamuzi mazito mana naskia kuacha bia sio kazi ndogoNilifanya maamuzi ya kutokunywa pombe nilipokuwa mjamzito kwa manufaa ya mtoto wangu kipindi hicho.... Nilipojifungua nikawa nanyonyesha na toka hapo sikuendelea tena kupiga maji .... Nilidhamiria ndani yangu kuwa pombe sasa basi.... Na ndivyo imekuwa...
Mkuu shukran...Hili ulipaswa uliwaze wakati wa kutafuta mke. Vigezo vyako havikujumuisha kutokunywa pombe?
Mwanamke mlevi hata **** yake inanukia hizo pombe !!
Yaani hakuna hug, hakuna mwaaa !!@ ukijaribu ni ulevi mtupu !!
Pole mdau
Hongera kwa maamuzi mazito mana nasikia kuacha bia sio kazi ndogo
He hee,karibu mbege banaTena nyie warombo, kibosho, machame, uru, marangu...my goodness nyie watu mnakunywa hadi kero. Sijui hamuelewi kura you drink too much.
Jambo jema..Marafiki nao sio wazuri mda mwingine na kama umeweza kukimbia hilo inaonyesha wewe sio bendera fwata upepo kama wengine. UnajielewaAsante sana. Japo marafiki wana mitazamo yao pia unapoacha pombe.... ila hainisumbui kwa sababu nimedhamiria kutokurudi kwenye pombe..... Hata ile kiu sina tena kabisa ..... useme ninunue Hata Amarula nikanywee nyumbani sikumbuki wala .... Namshukuru Mungu sana kwa hatua hii.