Chaggabeibe
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 251
- 355
Bora uulize kha!!!Mtu asinywe hata mojito.........hivi mkoje.......?.....
Bora uulize kha!!!Mtu asinywe hata mojito.........hivi mkoje.......?.....
Sasa ukinywa na your man akiwa hayupo inakuaje..Tuseme upo na mwanaume mwingine na ndo hvy nyeg zimekupandayah huwa zinanletea nye. .. sana , hasa kama najua naenda faragha na my man
Huwa sinywi , ......sanasan nikanywee om kwangu.. zikipanda ntajua jinsi ya kuzishusha 🙄🙄Sasa ukinywa na your man akiwa hayupo inakuaje..Tuseme upo na mwanaume mwingine na ndo hvy nyeg zimekupanda
Unazishushaje??Huwa sinywi , ......sanasan nikanywee om kwangu.. zikipanda ntajua jinsi ya kuzishusha 🙄🙄
HE HE he eya babu mbon wanchimbaa? kawaida tyu looh makuubwaUnazishushaje??
Achilia mbali mlevi, mimi nikishaona ameshika Heineken, savanna etc ndio naachia hapo.
Hajaongelea kunywa kaongelea kulewa. Si mwanamke tu hata mwanaume mlevi kama wewe hutumii tayari ni kero na mapenzi kama hayo hayadumu. Birds of the same feathers flock together.Mtu asinywe hata mojito.........hivi mkoje.......?.....
Nataka tu nijue jinsi unavyopunguza nyg ukilewaHE HE he eya babu mbon wanchimbaa? kawaida tyu looh makuubwa
Apoa kwenye mchepuko ndo patamHahaha kaka kumbe na wewe wa kizamani eeh? Mwanamke mlevi Ana raha yake. Waulize wenzio wakuambie faida zake.
(Kama ukiona hafai kuwa mke si unampa promo tu anakuwa mchepukwa?)
Hata akiwa mchepuko shida iko pale pale..Hizo harufu za bia hata siziweziHahaha kaka kumbe na wewe wa kizamani eeh? Mwanamke mlevi Ana raha yake. Waulize wenzio wakuambie faida zake.
(Kama ukiona hafai kuwa mke si unampa promo tu anakuwa mchepukwa?)
ili iweeje, labda?Nataka tu nijue jinsi unavyopunguza nyg ukilewa
Hata akiwa mchepuko shida iko pale pale..Hizo harufu za bia hata siziwezi
Ili nijue labda ya mwanamke wangu atakua anafanya kama wewe akiwa na nygili iweeje, labda?
Kweli dada, mimi ni old fashion kishenzi yani. Japo najua utamu wa kudate na mlevi, hasa "jikoni" ila ni too risky kumfanya mama wa watoto wangu.Hahaha kaka kumbe na wewe wa kizamani eeh? Mwanamke mlevi Ana raha yake. Waulize wenzio wakuambie faida zake.
(Kama ukiona hafai kuwa mke si unampa promo tu anakuwa mchepukwa?)
Achilia mbali konyagi!Mtu asinywe hata mojito.........hivi mkoje.......?.....
Duu na konyagi unakunywaMwanaume hasifiwi kula wewe.
Unaigopa harufu ya pombe? Hehehe
Mtuwache, konyagi on fleek[emoji108] [emoji108]