Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Poster umetia mkono kwenye mzinga wa nyuki, wameenda kuitana zaid
 
Kuna tukio moja lilitokea huku moshi.mwanamke alikuwa mlevi inafkiwa analewa hadi anapigwa mtungo.kibaya zaidi hata mume akiweka ela vibaya mwanamke anapita nazo kwenda kuzinywea.ilifkia akikata moto baa masela wanambeba na toroli au begani kumrudisha nyumbani.mume alikemea sana swala hilo ila mke hakuskia siku hiyo kama kawaida mama karudishwa na vijana amelewa usiku huku mapajani unashuka ujiuji siku ndo mume alipoamua kumkata mke nyeti zote na kuzipeleka kwa mama wa mke!
Mkuu ya kweli hii ishu??
 
Hahaha kaka kumbe na wewe wa kizamani eeh? Mwanamke mlevi Ana raha yake. Waulize wenzio wakuambie faida zake.

(Kama ukiona hafai kuwa mke si unampa promo tu anakuwa mchepukwa?)
Wacha weeeeeeee!!!!!
 
Wanaume bana..wao kunywa ni sawa,lakini akinywa mwanamke ni nongwa..wao kuchepuka ni sawa lakini akichepuka mwanamke ni Malaya....
 
Wanaume bana..wao kunywa ni sawa,lakini akinywa mwanamke ni nongwa..wao kuchepuka ni sawa lakini akichepuka mwanamke ni Malaya....
Tunaangalia risk factor..Mwanamke anakua yupo kwenye risk akilewa tofauti na mwanaume.
 
dawa yake ndogo tu....akilewa wewe kula ndogo...akilewa siku nyingine kula ndogo tena lazima anyooke
 
mie napenda sana , mwanaume ninaekuwa nae aninunulie sana castle milkstout baada ya hapo...atatoa adith zot za kwao loooh!

Kinjumbi ni PM mi nataka kutoa hadithi zote za kwetu baada ya milk stout. PM fasta
ImageUploadedByJamiiForums1465155713.883714.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom