Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Mkinywa nyie sawa
Tukinywa ce taabu
Mtuache tujinywee vikirikuu
 
mbona sioni kama kuna tatizo kuoa mwanamke anaekunywa?? mwenzio nakunywa kistaarabu kama ilivyoandikwa kunywa kistaarabu...kwanza wanawake wanaokunywa pombe ni wagumu kuchepuka ..wanajiamini,,wanajiheshimu mazingira wanayokuwa,,na wanajali muda wao...hawanywi kwa vile kuna kunywa.....
 
mbona sioni kama kuna tatizo kuoa mwanamke anaekunywa?? mwenzio nakunywa kistaarabu kama ilivyoandikwa kunywa kistaarabu...kwanza wanawake wanaokunywa pombe ni wagumu kuchepuka ..wanajiamini,,wanajiheshimu mazingira wanayokuwa,,na wanajali muda wao...hawanywi kwa vile kuna kunywa.....

Una akili aisee ongeza.moja kwa bili yako
 
Wewe ukilewa nyeg hazipandi?? Na zikipanda na bwana ako asipokuwepo unafanyaje??
Pombe inipandishe nyege? Sijawahi lewa mana nakunywa kwa kiasi....chupa 1 na 1 for the road basi...ama glass moja au mbili za wine basi. Sasa shida ni nini hapo.
 
Kuolewa na mlevi pia hasara.yani ninyi wanaume mko bize kuhangaika na wanawake.ninyi mkilewa hamchepuki! Vinawauma sana tukifanya yale mnayoyafanya.jichunguzeni kwanza mmetukosea wapi sio kila siku kutulilia humu
 
Pombe inipandishe nyege? Sijawahi lewa mana nakunywa kwa kiasi....chupa 1 na 1 for the road basi...ama glass moja au mbili za wine basi. Sasa shida ni nini hapo.
Angalau ww unajielewa..Sasa kwa wale ambao hawanywi kwa kiasi inakuaje hapo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom