Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

yah huwa zinanletea nye. .. sana , hasa kama najua naenda faragha na my man
Kama ndio hivyo nitakupa ofa ya kilaji next week ili namimi nipewe hizo hadithi unazozisemea[emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125]
 
Sasa kwa mfano wewe nini ambacho huwa kinakupa nyege?

Mifano mitatu tafadhali...
Hahaaa......hvyo vitu anajua babe tu.......sasa nikitaja hapa jamani nitakuwa nimetoa siri ya chumbani.
 
Hivi ikitokea una mwanamke ambae anakunywa pombe na wewe haunywi unawezaje kuishi nae?? Unakuta zile harufu za pombe zinakukera na ukimueleza mwenzio angalau aache pombe haachi. Na kingine mwanamke akinywa pombe naona anakua kwenye risk ya kuchepuka kwa sababu anaweza akapata offer ya mwanaume akalewa watu wakajilia vyao. Wadau nyie mnalionaje hili swala na kama ishakutokea uliwezaje kutatua.
Mwanamke anaekunywa pombe na mpenda kitimoto ni hatari sana weka mbali na watoto. Kuna mdada tunafanya nae kazi katika ofisi fulani hivi yani anapenda ofa balaa so kila anae mtoa ofa siku hiyo hiyo unakula mzigo,hivyo kajikuta amechwapwa na washikaji wote kwa kupenda pombe na kitimoto.
 
Mwanamke anaekunywa pombe na mpenda kitimoto ni hatari sana weka mbali na watoto. Kuna mdada tunafanya nae kazi katika ofisi fulani hivi yani anapenda ofa balaa so kila anae mtoa ofa siku hiyo hiyo unakula mzigo,hivyo kajikuta amechwapwa na washikaji wote kwa kupenda pombe na kitimoto.
Na nyie washkaji mnawezaje kushare sehemu moja.
 
Mwanamke anaekunywa pombe na mpenda kitimoto ni hatari sana weka mbali na watoto. Kuna mdada tunafanya nae kazi katika ofisi fulani hivi yani anapenda ofa balaa so kila anae mtoa ofa siku hiyo hiyo unakula mzigo,hivyo kajikuta amechwapwa na washikaji wote kwa kupenda pombe na kitimoto.
Aisee kweli ni hatari
 
Hivi ikitokea una mwanamke ambae anakunywa pombe na wewe haunywi unawezaje kuishi nae?? Unakuta zile harufu za pombe zinakukera na ukimueleza mwenzio angalau aache pombe haachi. Na kingine mwanamke akinywa pombe naona anakua kwenye risk ya kuchepuka kwa sababu anaweza akapata offer ya mwanaume akalewa watu wakajilia vyao. Wadau nyie mnalionaje hili swala na kama ishakutokea uliwezaje kutatua.
Mwanamke anaekunywa pombe na mpenda kitimoto ni hatari sana weka mbali na watoto. Kuna mdada tunafanya nae kazi katika ofisi fulani hivi yani anapenda ofa balaa so kila anae mtoa ofa siku hiyo hiyo unakula mzigo,hivyo kajikuta amechwapwa na washikaji wote kwa kupenda pombe na kitimoto.
Na nyie washkaji mnawezaje kushare sehemu moja.
Siwezi ingia katika chain hiyo SISTER maana najipenda,najiheshimu na kutunza heshima yangu!!
 
Amazing,preta mmetisha,jaman sijui hawa wanaume wanatakaje,wao wanalewa mpaka kulala kwenye mitaro lakin sis tukionja tuu ni shedaaaa vikao vya kutosha,najiuliza wakati una date nae alikuwa vepeeee,mlokole au???acheni hizo,kwa wanawake si walevi Bali waonjaji lol khaaa
 
Kuolewa na mlevi pia hasara.yani ninyi wanaume mko bize kuhangaika na wanawake.ninyi mkilewa hamchepuki! Vinawauma sana tukifanya yale mnayoyafanya.jichunguzeni kwanza mmetukosea wapi sio kila siku kutulilia humu

Erica mambo.....
 
Unaanzaje kuoa mwanamke mlev kwa mfano????unaaanzaje kwenda kutoa mahar kwa mwanamke mlevi kwa mfano???? Unaanzaje kumuweka mwanamke lev ndan kwa mfano???Hata km mm n mlev swez kuoa mwanamke mlevi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom