Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Mwanamke/Mwanaume mlevi wanatakiwa waishi pamoja ndio maisha yataenda vizuri.Lakini kama mmoja kati yao hatumii alcohol hakutakuwa na usawa since kwa mtu asiyekunywa pombe ile harufu inakera sana .
Mkuu ni shida acha tu
 
Wanaume bana mwanamke akinywa sheeda ila nyie sasaa,anyway mabinti nao ni vyema kujiongeza usinywe zaidi ya mwanaume wako,na kama hanywi basi Acha kabisaa usigusee
 
Wanaume bana mwanamke akinywa sheeda ila nyie sasaa,anyway mabinti nao ni vyema kujiongeza usinywe zaidi ya mwanaume wako,na kama hanywi basi Acha kabisaa usigusee
Mkuu tatizo ni hizo harufu na pia nyg zikiwapanda kuwavulia chp wanaume hawafikirii mara mbili
 
Dalili zinaonesha muda si mrafu atahamia kwako. Kuna kifaa kipya nakiona huku kinanigongea like kila bandiko. Hakika siwezi kuichezea hii fursa
Hahaaaa hilo litakuwa dume.......
 
Sijawahi kuwa na mashaka na komredi Nyani Ngabu. Umfanyie kama unavyonifanyia, kasoro kimoja tu. Najua unakijua.
Sasa kwake si inabidi niongeze maujuzi zaidi.....na nimpe zaidi ya kwako......

Afu ngoja nianze kumgongea likes za kutosha labda nae ataona fursa kama ulivyoiona kwa mrembo mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom