Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

Shem wako nilimkataza kunywa" red blue"[emoji12] kwa mara ya kwanza nakisikia kinywaji hiki.
 
Mimi natumia lakini kamwe mwanamke mlevi sishauri MTU aoe kwa sababu zifuatazo;
-Majukumu ya mama ni very sensitive Kwa watoto kulinganisha na baba.
-Hygiene ya walevi wengi hua ni ndogo Kwa mwanamke ni more risk,refer matokeo ya pombe kukojoa Mara Kwa Mara kumbuka kuna UTI etc.
-Uzazi, akiwa na pregnancy ina madhara kwa mtoto.
- Akiwa ananyonyesha mtt anaweza kukua na character za ulevi.
- Anaweza kuchepuka akilewa as madhara ya low control. Kwa mwanaume unaweza lewa hakuna atakaeku sumbua ila Kwa mwanamke akilewa watu wanawaza this is a whore.
- Economic reason, wamama ndio wabanaji wa ela asa akiwa mlevi .... Sijui atasave namna gani.
 
Mim mke wng akijitiavanakunywa vipombe vyake"Namnywea VIROBA" Hatochepuka kamwe...
 
Kama ni swala la ulevi basi wote ke na me wawe walevi labda ndiyo wataelewana
 
Hivi ikitokea una mwanamke ambae anakunywa pombe na wewe haunywi unawezaje kuishi nae?? Unakuta zile harufu za pombe zinakukera na ukimueleza mwenzio angalau aache pombe haachi. Na kingine mwanamke akinywa pombe naona anakua kwenye risk ya kuchepuka kwa sababu anaweza akapata offer ya mwanaume akalewa watu wakajilia vyao. Wadau nyie mnalionaje hili swala na kama ishakutokea uliwezaje kutatua.
Hiki unachokizungumzia kiko hata kwa wanaume,ni risk factor kwa wote ndugu,ingawa hapa utaona wanaume wasiojielewa watakavyo kuwa wabinafsi kujitetea kuwa kwa wao ni sahihi.
 
Wanajijari wao tu

Sie tunawavumilia hata wakiwa walevi

Ila sie tukinywa hata lite 4tu, majangaaa
Anko magu kabana hela....hapa wanatutafutia sababu ili tusinywe.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom