Unaweza kuwatambua hawa hawa..?

Unaweza kuwatambua hawa hawa..?

mkeo Paloma ni mmbeyaaa kweli... sasa ndio hutaki kumrudishia pes yake?

Pesa yake nitawalipa Finca.. Maana wametangaza wote wanaodaiwa na Bishanga wawakilishe madeni yao kwa brokers wa Finca.. Wanaitwa Majembe Auction Mart.. Vijana wa kazi..
 
Last edited by a moderator:
hao wa kwenye hiyo picha ya kwanza ni saudari na mke wake walikuwa picnic,picha ya pili ni taamu anasip juisi kwa mrija akiwa na raha,hiyo ya tatu tukianza na yule wa kibondia ni NIGGA Mr Rocky manoah Tamatheo na TheDealer,hiyo ya nne ni saudari akifuatiwa na sosoliso enzi zile ndio kwanza wanaingia jeshini.
Asanteni nawasilisha na kama ni mtihani nadhani nitakuwa nimepass 100% labdda tu my mwalimu ticha aamue kunibania.
1. View attachment 96268 2. View attachment 96269 3. View attachment 96270 4. View attachment 96273

Haya kazi kwenu kutambua hao ni akina nani.. Angalizo picha namba 3 inamuonyesha Muhammad Ally.. Hao wengine ni nani..?

cc Paloma.. Passion Lady.. Madame B Bishanga.. saudari.. Safari_ni_Safari.. Bujibuji.. Elli.. Erickb52.. Arushaone.. manoah.. Mr Rocky & others
 
hao wa kwenye hiyo picha ya kwanza ni saudari na mke wake walikuwa picnic,picha ya pili ni taamu anasip juisi kwa mrija akiwa na raha,hiyo ya tatu tukianza na yule wa kibondia ni NIGGA Mr Rocky manoah Tamatheo na TheDealer,hiyo ya nne ni saudari akifuatiwa na sosoliso enzi zile ndio kwanza wanaingia jeshini.
Asanteni nawasilisha na kama ni mtihani nadhani nitakuwa nimepass 100% labdda tu my mwalimu ticha aamue kunibania.
Blue G hahahaha aisee,uisinizeeshe am still young
 
Last edited by a moderator:
Mie mgeni mtaa huu.. napita


Usipite Baba V watambue hawa: image.jpg image.jpg image.jpg image.jpg image.jpg
image.jpg
Copy: Bujibuji
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    1.5 KB · Views: 133
  • image.jpg
    image.jpg
    1.4 KB · Views: 130
Last edited by a moderator:
Nimemuöna mfalme wa rock n roll japo wanasema soda ina gesi lakini haitokei ntwara nnesafari kutoka dar mpaka ntwara sijaona hata nti m1 neona nlima tu japo inategemea ntu na ntu.

Du umenifurahisha maana Wamakonde ni hatari, juzi nilivimbiwa kwa sababu tumbo lilijaa gesi, Nikaambiwa gesi haitoki kwenda Dar asilani sasa sijui Andews ingesaidi kuirudisha gesi tumboni au kuiyeyusha, Mm nikaamua niiachie tu kwani haiwezi kubaki Ntwara
 
hao wa kwenye hiyo picha ya kwanza ni saudari na mke wake walikuwa picnic,picha ya pili ni taamu anasip juisi kwa mrija akiwa na raha,hiyo ya tatu tukianza na yule wa kibondia ni NIGGA Mr Rocky manoah Tamatheo na TheDealer,hiyo ya nne ni saudari akifuatiwa na sosoliso enzi zile ndio kwanza wanaingia jeshini.
Asanteni nawasilisha na kama ni mtihani nadhani nitakuwa nimepass 100% labdda tu my mwalimu ticha aamue kunibania.

acha uchokozi Blue G!
hujambo lakini wewe!
 
Last edited by a moderator:
1. View attachment 96268 2. View attachment 96269 3. View attachment 96270 4. View attachment 96273

Haya kazi kwenu kutambua hao ni akina nani.. Angalizo picha namba 3 inamuonyesha Muhammad Ally.. Hao wengine ni nani..?

cc Paloma.. Passion Lady.. Madame B Bishanga.. saudari.. Safari_ni_Safari.. Bujibuji.. Elli.. Erickb52.. Arushaone.. manoah.. Mr Rocky & others
No. 2 ni mwanamapinduzi Ernesto Che Guevara akinywa kinywaji cha kujiburudisha 'mate' katikati ya mapambano katika milima ya Escambray cuba. No.3 ni vijana wa 'The beatles' waliokua mashuhuri kwa muziki wa pop wakiwa na bondia mashuhuri katika historia Mohamed Ali. No.4 ni Elvis Presley enzi zake jeshini. No.1 hapo natoka kapa.
 
mie mzima jamani,hofu kwako tu,ila nimekumisije mpaka nilivyoiona ile picha tuu we ukawa wa kwanza kukutambua!!!!!!!!!!!

hahahahahahahaha ........... mambo mengi yamenitinga clients wanataka kazi zao, wako shingoni mwangu wamening'inia!
ila nakuona unakula pale juu, unanitamanishaje!
 
Blue G mzima wewe
Dah kweli wewe unajua kuangalia mpaka umetutambua
haaaaaaaahaaaaaahaaaaaa Mr Rocky banah umenichekeshaje?mi mzima bwana hofu kwako weye tu,mi tena chezeya mimi nitaacha kuwatambua maswahiba jamani,hapana hata siku moja haiwezi kuokea nikashindwa kuwatambua maswahiba.
 
Last edited by a moderator:
heheheeeeee unanipa raha mweninzio si uje tuungane tule wote?afu kuhusu hao maclients si uniajiri tu na mimi niwe msaidizi wako niwe nakupiga tafu?
hahahahahahahaha ........... mambo mengi yamenitinga clients wanataka kazi zao, wako shingoni mwangu wamening'inia!
ila nakuona unakula pale juu, unanitamanishaje!
 
Back
Top Bottom