Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Ntafurah sana evelyn maana huyu somo wa leo kakimbia kazi yake,Naomba tenda
Ntafurah sana evelyn maana huyu somo wa leo kakimbia kazi yake,Naomba tenda
Ohoooo!!!Ahhahaha mie tutakutana tu njia panda kama alivyosema mrs air. Nilivyo mkali hivi, Mungu azidi kunifundisha kunyamaza tu mmh
Amina mpzAcha tu, ila Mungu ni mwaminifu sana; hakawii wala hachelewi. Her case is an emergency case, God will intervene instantly
HahahahaNaogopa pm mie jamaan Nalendwa kafanyaje tena
Naogopa jamaan [emoji125]
Uchumba sugu pia ni tatizo.Kuna mda aymatu bahati pia ujue unaweza ukawa upo na mwanaume unavaa uhusika wa mke mpaka kwake kila kitu unafanya msikini unajitoa kwa njia zote cha kwake ni chako tena mmekaa mda mrefu mwisho wa siku unaachwa anakuja kuolewa mwingine hata mwaka hawajamaliza
Mungu atupe maarifa ya kuwaepuka kwakweliWapo hao my dear utaonjwa weeeh kuolewa usiolewe
Wanaume wakuoa sasa hivi hakuna.Wanawake wa kuolewa kwa sasa hakuna
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naogopa pm mie jamaan Nalendwa kafanyaje tena
Uh!!!Hahaha ndio mpaka aje sasa
Bado sawa ndoa njema, msalimie shemelaMkuu me nimeshawolewa
Asante Mkuu, hakuna namnaPolee
Njoo pm haraka!!!
Kuna nini auntie jamaan [emoji15]
Unakuwa na mzigo wa kulea mtoto mkubwa na wanao wadogo khaaah!!!
nashnagaaga ndoa kila siku tunalea sijui y hazikui! hehehehe eti neema ya peponi!kwakweli leeni tu tutakutana njia pandaaaa