Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Kuna mda aymatu bahati pia ujue unaweza ukawa upo na mwanaume unavaa uhusika wa mke mpaka kwake kila kitu unafanya msikini unajitoa kwa njia zote cha kwake ni chako tena mmekaa mda mrefu mwisho wa siku unaachwa anakuja kuolewa mwingine hata mwaka hawajamaliza
Uchumba sugu pia ni tatizo.
 
Back
Top Bottom