Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,311
Njoo pm![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyie sawa tu...lol!
Njoo pm![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyie sawa tu...lol!
Muache bwana!Hahah!, Shunie usiende! [emoji28] [emoji23]
Ukienda unacho kidalipo! [emoji1] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha, zinalelewa halafu hazikui eti! [emoji1]
Yaan acha kabisa tena sio kupondeka tuu now waenda sagika [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mpaka unajihisi kuchanganyikiwa mechoka mechoka kwakweli, embu hizo jando zirudishwe na wawakumbushe kwamba ndoa is not about kukutanisha miili tuu jamani kuna mambo mengi sana mfyuuuuu nachukia mno.
Njoo pm!
Muache bwana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bora hata watoto wanakua.
Basi rudisha ile ya kawaida ili roho itulie tuliiiiPole jamaan kampelewele sio mimi kwahiyo roho itatulia hapo
Tupo tumejaa tele ila mnatuzingua tuWanaume wakuoa sasa hivi hakuna.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji28] [emoji23] [emoji23]
Ngoja aje halafu arudi kama mie!..[emoji124]
Wewe usubiri kulelewa na wajukuu.Mwenzangu so ndo hapo sasa, utasema wakikua watajitegemea sasa haya mahusiano sijui tutalea mpaka lini..
Sikukoseaa kuoa ...love uKaribu tena mume wa shunie
WachacheeWapo jamaan kwa nini wasiwepo
I know ...nimefikaa haswaaNakupenda ujue [emoji8]
Mwambie leo nipo ...natamani kumjuaBaba D kuna auntie yangu anakuonaga kwa mbali anasema eti nimtambulishe kila siku anakuulizia
Hahahaaa!!! Kwnini hamuachi kutusingizia malaika sie jamani!!Tupo tumejaa tele ila mnatuzingua tu
[emoji4] [emoji4] [emoji4]Mweeeh!! Hapa antie sina, kwahiyo hiyo ndio introduction uh!!!
NshafikaaAuntie umeanza ujue si usubilie akuje we kila siku unaniambiaje lakini jamaan
NshafikaHaya nasubiri.