Madam vero
Member
- Sep 30, 2017
- 85
- 185
Mume mwema hutoka kwa Mungu, achana na tamaa za dunia tafuta furaha ya kweli kwa MTU unaempenda hata kama muuza maji
Wewe unajitambua hongera sanaNinashukuru nimeolewa kwa mapenzi wala si kwa kipato chake. Uwepo wake ndiyo ninaouhitaji
Halafu hii tabia ya kudharau wanaume maskini sio nzuri kabisa...wewe sio mpangaji wa riziki maisha ni kutafuta mkuu, kwa hiyo usifikiri kila aliyeolewa na 'hustler' mwisho wake huwa mbaya.
Ajuae ya leo na kesho ni Mola mkuu
Hawajui wanaume huyu ataitembeza hyo papuchi kwa wanaume anaodhani ni matajiri mpk atachoka mwenyeweHakuna mwenye status ya kudumu ktk hii dunia. Dunia inazunguka, aliye juu leo kesho yupo chini and vice versa.
Unaweza oa au kuolewa na tajiri leo mwakani mambo yakabadilika and vice versa.
Nina uhakika Mtoa maada hii kisaikolojia tuu nmekusoma unatoka familia ya chini kimaisha, unafikiri KE yako ndiyo ukombozi wako.
It's unbecoming
Asante mkuu..ndio hivyoOne of the best ever comment in jf Joseverest
Hawajui wanaume huyu ataitembeza hyo papuchi kwa wanaume anaodhani ni matajiri mpk atachoka mwenyewe
Maneno kuntu haya...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ewe dada amka shoga yangu. Unaanzaje kuolewa na mlalahoi mwenzako? Tafuta mtu mwenye kukupa raha ya maisha; -mitoko ya nguvu, nyumba safi, usafiri poa, n.k. Siyo unaolewa na mjinga mjinga tu ana vyeti vya elimu ya juu lkn maisha ya chini. Unaambulia kuandikiwa meseji zenye maneno magumu ya kingereza tuu. Au unaolewa na mtu mwenye kifua cha mazoezi lakini hana kitu mfukoni. Huyu ataendeleza mazoezi yake kwenye mwili wako tuu.
Wenzako wakiolewa wanaenjoy eti wewe unajifariji kwamba hayo ndiyo mapenzi ya kweli. Mmh! Kweli? Unajisikiaje unapo olewa na hustler, unachakaa na kuzeeka kabla ya wakati kwasabb ya ugumu wa maisha?
Mara unakutana na classmate, choir-mate, au hata mpangaji mwenzio unakuta anazidi kuwa kijana wewe umepinda mgongo na miguu na unanuka uvundo kisa unataabika na mlalahoi anayekutesa na maisha magumu.
Eti unadanganywa tuanze maisha wote mpenzi wangu. Hii! Mkiyaanza maisha wakati mnananihino mtayakamilisha lini wakati mnaongeza shida kwa kuzaa watoto? Nenda kwa mtu mwenye maisha mazuri shosti. Acha uzwazwa.
-Umeolewa unapandishwa bodaboda ya kukodi?
-Umeolewa unaishi kwa baba mwenye nyumba?
-Umeolewa halafu mumeo ndo kwanza anatafuta kazi? Hana A wala B. Pole yako
Hivi unapokuwa unamkubalia mlalahoi wa dizaini hii unakuwa unawaza nini?
Au umevurugwa?
Wanaume masikini pishana nao round about.
HUHITAJI KUPENDWA, unapendwa na wazazi wako.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]haki jiandae kuvamiwa si kwa mapovu hayoNdiyo maana yake. Wewe ulitaka mwanamke aolewe halafu ale ugali na chumvi na alazwe chini? Lisa nini? Ana nn ambacho ni special saaana hadi mwanamke akubali mateso yote hayo? Kama uume hata bata anao.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya tupe maeneo basi ya kuwapata hao matajiri nasi tuburudike[emoji23][emoji23],,umaskini unachosha kweli
Tuheshimiane sio kila mwanamke mfupi basi akili zake zipo kama za mleta mada pls tengua kauli broBila shaka aliyeandika uzi huu atakuwa ni mwanamke mfupi!akili zao wanazijua wenyewe
Ha ha ha ha...Paaah....Yallaaaaah!Tuheshimiane sio kila mwanamke mfupi basi akili zake zipo kama za mleta mada pls tengua kauli bro