Al assad
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,404
- 1,517
Sasa kwa akili&mawazo yako wanawake wangeolewa na akina Bahresa,Mengi,Manji,Mo and other badala ya kuwaza ww utatoka vp katika umasikini wa mali na akili hizo za kumtegemea mwanaume kwa kila kitu katika maisha yako ,unaleta mawazo hasi kwa wanawake wenzio.ndio maana tunawatumia na kuwatupa kama tishu.narudia tena ww ni kiazi !