Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,322
Cc: Zamaradiwaulize walioolewa kwa kufuata hayo wamepatwa na nn??
#Im_gonna_die
#Mungu_na_technology
Cc: Zamaradiwaulize walioolewa kwa kufuata hayo wamepatwa na nn??
Haya in maneno ya kujifariji tuuu, na yapo hapa kwetu Afrika. Huyo Trump babu yake alikuwa tajiri na yeye tajiri na anakaribia kuzeeka hajawahi kushuka akamfikia ombaomba Matonya. Na Matonya tangu utoto mpk amefarki akiwa mzeee anaombaga tuuu barabarani wala hajawahi kupanda kiuchumi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanaomiliki lipstic uwajua tuuKatafute mwenye matrekta umuoe
aah wapi kwani ukiwa tajiri ndo hufi au unadhani Israel anapokea rushwaSasa kama una 40+ bado unapanga unategemea utatoboa ? Ndiyo basis tena utakufa maskini.
Hoja hapa siyo kifo. Nauliza lini utafurahia maisha kwa kujirusha na kutoka out za nguvu na mwenzi wako? Maana kila siku bajeti imebana.aah wapi kwani ukiwa tajiri ndo hufi au unadhani Israel anapokea rushwa
Hapo sawasawa-By hustlerNinashukuru nimeolewa kwa mapenzi wala si kwa kipato chake. Uwepo wake ndiyo ninaouhitaji
Angalia utazeekea kwenu mkuuEwe dada amka shoga yangu. Unaanzaje kuolewa na mlalahoi mwenzako? Tafuta mtu mwenye kukupa raha ya maisha; -mitoko ya nguvu, nyumba safi, usafiri poa, n.k. Siyo unaolewa na mjinga mjinga tu ana vyeti vya elimu ya juu lkn maisha ya chini. Unaambulia kuandikiwa meseji zenye maneno magumu ya kingereza tuu. Au unaolewa na mtu mwenye kifua cha mazoezi lakini hana kitu mfukoni. Huyu ataendeleza mazoezi yake kwenye mwili wako tuu.
Wenzako wakiolewa wanaenjoy eti wewe unajifariji kwamba hayo ndiyo mapenzi ya kweli. Mmh! Kweli? Unajisikiaje unapo olewa na hustler, unachakaa na kuzeeka kabla ya wakati kwasabb ya ugumu wa maisha?
Mara unakutana na classmate, choir-mate, au hata mpangaji mwenzio unakuta anazidi kuwa kijana wewe umepinda mgongo na miguu na unanuka uvundo kisa unataabika na mlalahoi anayekutesa na maisha magumu.
Eti unadanganywa tuanze maisha wote mpenzi wangu. Hii! Mkiyaanza maisha wakati mnananihino mtayakamilisha lini wakati mnaongeza shida kwa kuzaa watoto? Nenda kwa mtu mwenye maisha mazuri shosti. Acha uzwazwa.
-Umeolewa unapandishwa bodaboda ya kukodi?
-Umeolewa unaishi kwa baba mwenye nyumba?
-Umeolewa halafu mumeo ndo kwanza anatafuta kazi? Hana A wala B. Pole yako
Hivi unapokuwa unamkubalia mlalahoi wa dizaini hii unakuwa unawaza nini?
Au umevurugwa?
Wanaume masikini pishana nao round about.
HUHITAJI KUPENDWA, unapendwa na wazazi wako.
duuuuuuHapo ulipo una nini? zaidi ya shimo la kubebea taka za hao wanaume unao wadharau.......
Punguza dharau mkuu....
Maisha ni zaidi ya kujirusha na kutoka out za nguvuHoja hapa siyo kifo. Nauliza lini utafurahia maisha kwa kujirusha na kutoka out za nguvu na mwenzi wako? Maana kila siku bajeti imebana.
Kamwe siwezi tafuta pesa eti lije limwanamke from nowhere kufuja pesa zangu never,nimeos but Mimi ndo controller wa pesa ila uzoefu unaonesha ndoa zilizofanikiwa hazina upuuzi wa hiyo dadaYaani mimi hivi ninavyombana kuweka maisha yangu yawe poa kisha nije kuoa mwanamke anaemili lipstick na wanja tu, ujinga huo sifanyi kabisa
We mjinga babaako ana magar mangap mbona kamuoa mamaakoInategemea na outing yenyewe. Outing unampeleka mkeo bar!!? Halafu unaita outing. Ndiyo maana nimeandika outing ya nguvu.