Unaolewa na hustler? Dishi limeyumba nini?

Unaolewa na hustler? Dishi limeyumba nini?

Ndiyo maana akili zao, wakute wameshatafutiwa na kuandaliwa
Ndiyo maana yake. Wewe ulitaka mwanamke aolewe halafu ale ugali na chumvi na alazwe chini? Kisa nini? Ana nn ambacho ni special saaana hadi mwanamke akubali mateso yote hayo? Kama uume hata bata anao.
 
Ndiyo maana yake. Wewe ulitaka mwanamke aolewe halafu ale ugali na chumvi na alazwe chini? Lisa nini? Ana nn ambacho ni special saaana hadi mwanamke akubali mateso yote hayo? Kama uume hata bata anao.
Mwanaume kama unataka kuoa, lazima nijipange. Ila kuna mambo mengine huwezi kuyakuta, mfano, gari nzuri sana, Nyumba kali kama uwazavyo.
Ila, ukiridhia kuolewa lazima kuna hali utaikuta kwake. Lazima uwe kinara wa kumsogeza mbele zaidi. Sasa kwa akili yako hiyo huwezi kumkuta mtu aliye perfect kama uwazavyo madame/sir.
 
Ewe dada amka shoga yangu. Unaanzaje kuolewa na mlalahoi mwenzako? Tafuta mtu mwenye kukupa raha ya maisha; -mitoko ya nguvu, nyumba safi, usafiri poa, n.k. Siyo unaolewa na mjinga mjinga tu ana vyeti vya elimu ya juu lkn maisha ya chini. Unaambulia kuandikiwa meseji zenye maneno magumu ya kingereza tuu. Au unaolewa na mtu mwenye kifua cha mazoezi lakini hana kitu mfukoni. Huyu ataendeleza mazoezi yake kwenye mwili wako tuu.

Wenzako wakiolewa wanaenjoy eti wewe unajifariji kwamba hayo ndiyo mapenzi ya kweli. Mmh! Kweli? Unajisikiaje unapo olewa na hustler, unachakaa na kuzeeka kabla ya wakati kwasabb ya ugumu wa maisha?

Mara unakutana na classmate, choir-mate, au hata mpangaji mwenzio unakuta anazidi kuwa kijana wewe umepinda mgongo na miguu na unanuka uvundo kisa unataabika na mlalahoi anayekutesa na maisha magumu.

Eti unadanganywa tuanze maisha wote mpenzi wangu. Hii! Mkiyaanza maisha wakati mnananihino mtayakamilisha lini wakati mnaongeza shida kwa kuzaa watoto? Nenda kwa mtu mwenye maisha mazuri shosti. Acha uzwazwa.
-Umeolewa unapandishwa bodaboda ya kukodi?
-Umeolewa unaishi kwa baba mwenye nyumba?
-Umeolewa halafu mumeo ndo kwanza anatafuta kazi? Hana A wala B. Pole yako

Hivi unapokuwa unamkubalia mlalahoi wa dizaini hii unakuwa unawaza nini?

Au umevurugwa?

Wanaume masikini pishana nao round about.

HUHITAJI KUPENDWA, unapendwa na wazazi wako.
Kauli kama hizi maranyingi hutolewa na wanawake waliojikatia tamaa ya maisha, hawana mbele wala nyuma, tumaini pekee alilonalo ni ndoto ya kuolewa na mwanaume mwenye pesa, hii huwapelekea kula kila aina ya dyudyu ya wanaume wenye pesa, na baadae kuchakaa, mwishoni kuna probability ya kumpata huyo mwanaume mwenye pesa au kumkosa na kurudisha hamu yake ya ndoa kwa mtu yeyote ilimradi tu ni mwanaume!!!

USHAURI WANGU: nafikiri bado una umri mdogo sana, husijikatie tamaa mapema namna hii, pambana uboroshe hali yako ya kiuchumi, vingine vizuri vyote vitakufuata!
 
Ndiyo maana yake. Wewe ulitaka mwanamke aolewe halafu ale ugali na chumvi na alazwe chini? Lisa nini? Ana nn ambacho ni special saaana hadi mwanamke akubali mateso yote hayo? Kama uume hata bata anao.
Tena yawezekana hata huo ugali chumvi kwenu ulikuwa unaukosa.
Ila sishangai, maana wanawake waliotoka familia maskini,huwa wana akili ya kuwabust wanaume Wao kufanya vizuri. Ila nyie mnaotoka familia nzuri, huwa hamjiongezi. Mnatamani mkute mnatumbua tu.
 
Ewe dada amka shoga yangu. Unaanzaje kuolewa na mlalahoi mwenzako? Tafuta mtu mwenye kukupa raha ya maisha; -mitoko ya nguvu, nyumba safi, usafiri poa, n.k. Siyo unaolewa na mjinga mjinga tu ana vyeti vya elimu ya juu lkn maisha ya chini. Unaambulia kuandikiwa meseji zenye maneno magumu ya kingereza tuu. Au unaolewa na mtu mwenye kifua cha mazoezi lakini hana kitu mfukoni. Huyu ataendeleza mazoezi yake kwenye mwili wako tuu.

Wenzako wakiolewa wanaenjoy eti wewe unajifariji kwamba hayo ndiyo mapenzi ya kweli. Mmh! Kweli? Unajisikiaje unapo olewa na hustler, unachakaa na kuzeeka kabla ya wakati kwasabb ya ugumu wa maisha?

Mara unakutana na classmate, choir-mate, au hata mpangaji mwenzio unakuta anazidi kuwa kijana wewe umepinda mgongo na miguu na unanuka uvundo kisa unataabika na mlalahoi anayekutesa na maisha magumu.

Eti unadanganywa tuanze maisha wote mpenzi wangu. Hii! Mkiyaanza maisha wakati mnananihino mtayakamilisha lini wakati mnaongeza shida kwa kuzaa watoto? Nenda kwa mtu mwenye maisha mazuri shosti. Acha uzwazwa.
-Umeolewa unapandishwa bodaboda ya kukodi?
-Umeolewa unaishi kwa baba mwenye nyumba?
-Umeolewa halafu mumeo ndo kwanza anatafuta kazi? Hana A wala B. Pole yako

Hivi unapokuwa unamkubalia mlalahoi wa dizaini hii unakuwa unawaza nini?

Au umevurugwa?

Wanaume masikini pishana nao round about.

HUHITAJI KUPENDWA, unapendwa na wazazi wako.
Yaani mimi hivi ninavyombana kuweka maisha yangu yawe poa kisha nije kuoa mwanamke anaemili lipstick na wanja tu, ujinga huo sifanyi kabisa
 
Nyie wanawake wa mitandaoni mnajidanganya sana ..uku mtaani hao "hustlers" wanaoa kila day na watoto wanakua wanasoma na maisha yanaendelea. .nyie endeleeni kupiga mak time mkisubiri "wanaume matajiri" wawaoe ..miaka inazidi songa ohoo...!!
 
Wenye fedha na maisha mazuri ni wachache,wenye njaa kama wewe mpo wengi.mwishowe ni kumegwa tu na hakuna ndoa.
 
Haya tupe maeneo basi ya kuwapata hao matajiri nasi tuburudike[emoji23][emoji23],,umaskini unachosha kweli
 
Wanawake Wa Ivi Ni Kupiga Ile PreNuptial Agreement Alafu Anakuja Kuachika Anapata Laki 2 Za Kulea Mtoto Tu Kama Yule Mpitiwa Na Shetani Alivofanya...
 
Unabishana na kahaba linaloamini mwili wake ni kiburudisho cha mwanamme? Achana nalo. Hili no gumegume linaloendeleza ile dhana "mwanamke ni chombo cha starehe", halijielewi lijahitaji kukwamuliwa
kweli aisee hajui maana ya maisha
 
Subiri ukalizwe na mwenye gari na uje utoe mrejesho hapa kuwa ndoa ni chungu kuliko shubiri kwa kutaka vilivyoandaliwa tayari
 
Hawa ndo wanaoishia kuchanwa marinda ili mradi tu apate outings.
 
Yaani ata huyo mwenye hela akikuoa, there is no any value you gonna add to his life... just leakage! Hasara Tupu!
Na asipo kuwa makini utamfilisi. Ila wanawake kama nyinyi huwa mnafaa sana kwa matumizi ya mala-moja, so for a one-off adventure sio mbaya sana.
 
Back
Top Bottom