Hahahaaaaaaa uchochezi kwa maguMimi flaire ambazo zilikuwa soro kipindi cha seventies. Hizo zilikuwa za mabitoz kumbuka kamanyola wakati huo unaliza watu, Moro jazz, Tabora Jazz na Vijana jazz. Zilikuwa nyingi nashangaa sasa wanasema wanamziki wasiimbe siasa wakati siasa tuliisoma kwenye music.
Nakumbuka mwaka 1985 tukiwa darasa la 6 Muhimbili Primary school na akina Dj Bonny love na Kibonde, alikuja Mwl. Nyerere shuleni kwa shuhuli ya mwenge. Tukaambiwa usipoimba wimbo wa taifa utakufa.. hiyo bidii ya kukariri huo wimbo sitakaa nisahau..

Ilikuwa sh. 5 sawa na dollar moja.Nauli 150 mwenge posta
Andika walikuwa wanavaa "gagulo"!Wakina Dada walikua wakivaa chupi then underskirt then Gauni Refu Basi ukitka gem wakat wa kuvua hadi kero
Mbona kama amechomwa na kitu chenye ncha kali sana maeneo fulani fulaniView attachment 518749 Nimekumbuka hii picha
Kajamaa kanajua kuigiza balaa! Hivi hapo katakwambia kanamlilia Bwana. Hahahahaaa!Mbona kama amechomwa na kitu chenye ncha kali sana maeneo fulani fulani
Shikamoo mkuu.Nakumbuka JKT Bulombola 1980 wenzetu wapo front line halafu tunawapongeza, nakumbuka Mugabe anapata uhuru tunaimba kumsifu (najuta), nakumbuka kupanga foleni kununua sukari kwa kutumia kadi ya meneja wa kijiji, kg. moja tu basi. Nakumbuka kulala guest kwenda kuchukua mshahara halafu unaambiwa muda umeisha inabidi ulale siku mbili na nauli umekopa kwa meneja wa kijiji. Nakumbuka Katambuga au Arusha to Moshi unachagua ile nzuri ya tyre za East Africa ambazo baadaye kiwanda kiliuzwa na Makonde, nakumbuka nipo Moro Sokoine amefariki baada ya wahujumu uchumi, mmoja wao alikuwa RPC wa Moro, watu wake walishangilia saana siku hiyo sababu Kantabula alikuwa amefukuzwa kazi na Nyerere mhanga namba moja. Nakumbuka kutumia nguo za kuzikia kusitiri watoto kama nepi. Hakukuwa na nepi nchini tulizifua vizuri na kuzipamba sababu shuleni enzi zetu tulisoma needlework hivyo tulijua jinsi ya kupendezesha vitu. Siwezi maliza yote hayo yanatosha.
Kajamaa kanajua kuigiza balaa! Hivi hapo katakwambia kanamlilia Bwana. Hahahahaaa!





Bila kuwasahau akina Charles Bronson ,Fred Williamson, Clint Eastwood, bud Spenser.Mi nilikua naburudika na video za kina Shokosugi, Bruce Lee na kina Jimmy Kery.
Pia akina jitu lishibalo, power ten by ten , super ngedere, kokoliko, jitu la miraba minne,Power mabula, power ilanda, power bukuku....stanley mabesi super ninja, iraq hudu, habib kinyogoli....athuman digadiga, black moses, baucha......
Bea Simba, malota soma, DEO njohole, Nico njohole, Raphael Paul, RAMADHANI Lenny , DEO mkuki, peter tino, gebo peter, MOHAMED mwameja, kichochi lemba, HAMISI kinye, zamoyoni mogella.Nakumbuka majina kama lunyamila, Thomas kipese, Goerge masatu, Duwa Said, Damian Kimti, Akida Makunda,Sanifu Lazaro.