Mi nilikua naburudika na video za kina Shokosugi, Bruce Lee na kina Jimmy Kery.Nakumbuka kuangalia video za kina Shozniga na Bolo Yangi kwenye mabanda
Mi nilikua naburudika na video za kina Shokosugi, Bruce Lee na kina Jimmy Kery.Nakumbuka kuangalia video za kina Shozniga na Bolo Yangi kwenye mabanda
Nakumbuka mwaka 1985 tukiwa darasa la 6 Muhimbili Primary school na akina Dj Bonny love na Kibonde, alikuja Mwl. Nyerere shuleni kwa shuhuli ya mwenge. Tukaambiwa usipoimba wimbo wa taifa utakufa.. hiyo bidii ya kukariri huo wimbo sitakaa nisahau..



Aseeee,Janeth very humbleView attachment 518590
Nimemkumbuka huyo enzi hizo akiwa mwalimu wangu
Dah apo unazuia nnView attachment 518594
Kwetu tulikua tukifunga mlango kwa namna hiyo
Nakumbuka baba alikua anapanga nizaliweItifaki izibgatiwe,
Kuna mambo nmeyakumbuka wkt wa miaka 90's kuja 80's, kwanza kulala ilikuwa saa12 ukionekana nje umeumia. Sukari haikuuzwa dukani tulikuwa tunapanga foleni kununua sehemu fulani zinaitwa ugawaji. Tv mnatizama jumapili tu na ukiwa na TV lazima iwe na kibali.
Wewe unakumbuka nini?
Very humble aiseeee.......Aseeee,Janeth very humble
Hivyo ndio ilikua safety and alarm mechanisms enzi hizo.....Dah apo unazuia nn
Tena zilikuwa zinaitwa double cola.Kunywa soda ni Pasaka na X-mas
Akina mohamed mwameja.Nakumbuka majina kama lunyamila, Thomas kipese, Goerge masatu, Duwa Said, Damian Kimti, Akida Makunda,Sanifu Lazaro.