Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Ebanaeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!

Hii nayo kali,mimba kwa mudomooooooooo!!!!!!!!!!!!

Hebu nieleze ilikuwaje siku ya kwanza ya ma deep kisssssssssss
Ulihisi unaelea angani eeeeehhhhhh!!!!!!

CC: Asprin , Kaizer , Dark City .......!!!!!!!!!!

Kimekutokea nini hadi ukaamua kufanya uchokozi uliovuka mipaka namna hii??

Babu DC!!
 
Jaman hii picha ya mwisho nimeisahau kidogo iyo muvu naomba rewind tafadhali
 
mimi nilikuwa tabora miaka ya nyuma nafanya kazi tabotex, nikirudi namuomba jirani yangu, binti wa mwenye nyumba a anipepetee mchele si unajua tena msela na kupika , kosa akileta ndani naimbisha lakini, it was not easy. ilichukua karibu mwaka , then she was my wife till divorce, so that was my first encounter

aah jamani divorce tena, so bad! !!
so umeoa tena?
 
yaap mwisho tuliachana na sasa tuna mtoto 15yrs of age , nikwambie kitu unajua mwanaume akiachwa na mke na akiwa na mtoto mdogo, inaumiza sana kuliko mume akimuacha mke na mtoto mdogo. THINK BIG

Dah ukwel mtupu aisee!polee
 
aah jamani divorce tena, so bad! !!
so umeoa tena?
sijao bado na ndiyo maana nilipost katika love connect siku za nyuma , hatimaye nimempata mwana JF mwenzangu naona fahari. may be god will help us not to divorce in jesus name, ni member mzuri i like her
 
tulikuwa class nikwamwambia yaliyomoyoni na ndo hivo mpaka leo
 
yaap mwisho tuliachana na sasa tuna mtoto 15yrs of age , nikwambie kitu unajua mwanaume akiachwa na mke na akiwa na mtoto mdogo, inaumiza sana kuliko mume akimuacha mke na mtoto mdogo. THINK BIG

yes it's true
u a vety ryt


nina ndugu yangu imemkuta hii japo yu hakuachiwa mtt bt ilikuwa mbaya sana
 
Mie nilimuona kwenye Sherehe,waliishi karibu na my Best friend siku ya sherehe akaniambia huyu mkaka anaringa sana
mie nikamponda sana nikasema girlfriend wake ana shida sana mi siwezi kutoka na mkaka kama huyu hataa
kwanza anaonekana kama PLAYBOY tu..lakin rohoni nilimsifia He was such a GENTLEMAN for real

kuna siku akanikuta kwenye mgahawa fulani tunakula na my friend alikuwa ye na rafiki yake mara ya kwanza
walitupita walivopita tu tukaanza kuwasema hamad hao wakarudi wakatusalimia ka dk 2 then wakasepa...........
baadae akaniambia pale ndio ilikuwa first time kuniona na pale ndio moyo wake ulinidondokea

hakuwahi kunitongoza directly tulizoeana tukajikuta tunafall in LOVE tumepita mengi lakin we are still together

rafiki zangu hadi leo huwa wananicheka sana na kurecall yale maneno yangu niliosemaga kwenye ile sherehe

Nimeipenda
 
sijao bado na ndiyo maana nilipost katika love connect siku za nyuma , hatimaye nimempata mwana JF mwenzangu naona fahari. may be god will help us not to divorce in jesus name, ni member mzuri i like her

dah u c!!!!
kwa Mungu hakuna kinachoshindikana cha msingi mfuate taratibu nakuombea mfike ndoani
 
Dah mi nlikutana naye mara ya kwanza tukiwa tunasafiri frm Mwanza to Dar!mzigo wangu ukawa umezid nkamuomba anisaidie nisichajiwe pale airpot ya Mwanza,then tulivyofka dar kila mtu akala hamsin zake!dah siku ingne nkakutana naye kariakoo jaman tukakumbukana na kupeana namba za cmu!lool tukaanza chat nn mwsho wa siku tukawa wapenz!dah ila naskitika dini na tofauti zetu (asili) zetu ye ni indian miye mbongoo hahaha ndo zlitutenganisha bana ila bado yaan nahs tunapendana ila ndo kama no future hvii ndo maana mie nkajiongeza fastaa tukaachana! So sad narudia tena nlimpenda mnooo!
 
Back
Top Bottom