Sorry kwa gazeti langu, so msinichoke na story yangu wapenzi.
Awww I remember nilikutana naye tukiwa chuo na tulikuwa differeny years. The first day tumekutana, tulikuwa cafeteria doing our assignments, me na groupmates wangu na yeye alikuwa na friends zake wanaandika research proposal. Bahati nzuri wao walikuwa wanafahamiana na my best friend. Basi wakaja wakatusalimia pale, but I was so busy na assignment coz ilkuwa ngumu vibaya, so ht sikuwatilia maanan kihivyo wakaondoka.
According to yeye, alkuwa anakutana na mimi mara nyingi afu ananisalimia but me simuitikii so akawa ananiona km nina dharau balaa, but friends zake wakawa wanampa 2 hopes kwamba asikate tamaa. Am kinda shy yani nikitembea barabarani siangalii mtu, najisikia aibuuu mwee
Basi kuna this lucky day, tulikuwa tunaenda discussion wth ma frend usiku, tukakutana naye(my man) akaanza kutusalimia kwa kum-hug rafik angu afu ilivyofika kwangu ni alinihug mpaka nikajishtukia though nilichukulia poa 2(ilikuwa janja yake 2 ya kunikumbatia), tukamuacha tukaenda zetu discussion. Tupo disc akatuma text kwa rafik angu "disc njema, msalimie na heaven sent". Afu alitumia namba nyingine sasa ambayo my frend haifahamu, na my frend alikuwa hana credit kwa phone ake so tukamuulizia kwa phone kuwa ye ni nani ndo akajibu me fulani, so he got my number automatically.
Tukaanza chartn tu as frends, yan everytime alkuwa anataka kuniona, lazima aniulize uko wapi? Atanisindikiza prepo na atakaa sehemu anisubiri mpaka nitoke. Alichukua muda kidogo kunimwagia sumu but na me nilikuwa nshaanza ku-fall for him. He was sooooo smart, mpole but very charming yan nilikuwa nacheka sana, afu he was so caring yan acha tuuu.
Siku ya siku akanitokea mwenyewe but sikumjibu chochote kwanza. Tukaendelea 2 na friendship na ht sikumbuki ni lini nilimjibu YES but hadi leo we are a made in heaven couple. God heaven sent him for me, yan he is an angel on earth. Luv u so so my B
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums