Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

nakumbuka tulikutana pale mbele ya soko kuu Bukoba mjini; alikuwa anatoka kwenye kambi ya Umiseta - Ihungo; yeye alikuwa anasoma Rugambwa Sekondari, mimi nilikuwa chuo; ninaye hadi leo na tayari tuna watoto; maisha yanakwenda;
nikifika home lazima nimuulize kama kweli naye anakumbuka.

I love mama watoto wangu.
kumbe una my wife wake asa na yule aliekuhonga chain ya silver na laki mbili yuko kwenye list ipi ? hahaha ulipostigi hapa hii habari JF vey interesting.
 
kumbe una my wife wake asa na yule aliekuhonga chain ya silver na laki mbili yuko kwenye list ipi ? hahaha ulipostigi hapa hii habari JF vey interesting.

Nawe story yako ikoje??
 
kumbe una my wife wake asa na yule aliekuhonga chain ya silver na laki mbili yuko kwenye list ipi ? hahaha ulipostigi hapa hii habari JF vey interesting.

Upo vizuri, Tutor B, changanua fasta
 
Last edited by a moderator:
Nawe story yako ikoje??
haha tulikutana deluxe pale mwanza ilikuwa likizo ya pasaka asa wk iliyofuata ndo nilikuwa narudi kowak boarding so nikamuachia p.o box tukawa tunaendelea kuwasiliana it went on ...... A" level nikapangiwa shule Benjamin mkapa sekondari uwii sikuwa na simu so dazaini mawasiliano yakakata
 
Nilikutana nae kwenye ngazi mabibo hostel mwenyewe nimebeba maji kama power mabula.kulikuwa na shida sana ya maji mabibo hostel akaona anisaidie kupandisha juu coz nilikuwa floor ya kwanza na napanda floor ya tatu na nimebeba ndoo mbili.mtoto nikashukuru pale na kumsindikiza mpaka chini akaendelea na safari zake.nilijua ni mwanafunzi kumbe alikuwa si mwanafunzi bali aliagizwa na rfk ake alete mzigo kwa mdogo wa huyo rafiki yake waliekuwa wanaishi mkoa fulani hivi pamoja.alirudi tena nitafuta baada ya miezi miwili coz alishajua room nnayokaa baada ya kunisaidia kufikisha maji ninapoenda.ghafla tukawa marafiki na mwisho wapenzi.last year afta 5 years of friendship tumefunga ndoa na sasa tunaexpect kupata first born wetu on april.Thank God nimeokota lulu kwenye ngazi.the man is real real in love n treat me like an Angel!

Nimeipenda hii
hongera mamii
 
Hapo utakuwa umenifikisha kabisaaaaa
Unataka wimbo gani wa Bob?
images

Natural mystic
One love
Exdus
War
No woman no cry
Slogan
N.k......

Je unataka wimbo gani wa Lucky Dube?
images

It's not easy
Trinity
Taxman
Kiss no frog
Good girl
House of exile
Guns and roses
N.k...........

got u babe wa luck dube
 
Hakukata tamaa kaka wa watu akaendeleza urafiki zaidi ya vile ilivyokuwa.sikutegemea nilikuja jikuta tunduni afta zile care na ukaribu.nikazama mimi na mabag yangu yote
 
Mie napafahamu pazuri kweli I can't imagine how romantic it was for you guys....Hongera kama mmedumu! This weekend naenda view wt frnz lol...
 
Duuuu nimekumbuka mbali balaa hua natamani arudie tena kunitongoza maana sikuwah kuwaza kama nitampenda sana
Najivunia kuwa nae ni furaha yangu
 
Nilikutana nae kwenye ngazi mabibo hostel mwenyewe nimebeba maji kama power mabula.kulikuwa na shida sana ya maji mabibo hostel akaona anisaidie kupandisha juu coz nilikuwa floor ya kwanza na napanda floor ya tatu na nimebeba ndoo mbili.mtoto nikashukuru pale na kumsindikiza mpaka chini akaendelea na safari zake.nilijua ni mwanafunzi kumbe alikuwa si mwanafunzi bali aliagizwa na rfk ake alete mzigo kwa mdogo wa huyo rafiki yake waliekuwa wanaishi mkoa fulani hivi pamoja.alirudi tena nitafuta baada ya miezi miwili coz alishajua room nnayokaa baada ya kunisaidia kufikisha maji ninapoenda.ghafla tukawa marafiki na mwisho wapenzi.last year afta 5 years of friendship tumefunga ndoa na sasa tunaexpect kupata first born wetu on april.Thank God nimeokota lulu kwenye ngazi.the man is real real in love n treat me like an Angel!

JAMANIII,I LOVE YOUR STORYY...how sweet
 
Jamani lohh nasikitikaje kuukosa utamu wa hii thread leo .......nimeipendaa
 
Hebu niambie ilikuwaje siku ileeeeee alipokuona mara ya kwanza???

well,
aliniona kituoni nikiwa narudi hom, alikuwa na marafiki zake, akawauliza km kuna anaenifaham kati ya wale marafiki zake hakuna aliyekuwa ananifaham,

basi kuna fundi 1 hiv wa nguo nilikuwa naongea nae coz niliacha nguo yangu pale ni njiani kutoka kituoni to hom, akasubur niondoke akamfuat na kumuomba no yangu....

anasema akawa anaogopa kunicol ataanzaje/ataongea nn...cku ya cku kanicol, nikamjib kwa ukali na maswali juu umeipata wap no yangu bt alikuwa mpole mwingine angeanipotezea, akaniambia naomba tuonane ndo utanifaham, hakuwa anaishi mbali sn, nikakubali huku nina ham sn ya kujua ni nan....
baada ya dkk 30 hamadi amefika nilipomuelekeza anikute....nilipomuona mi mwenyewe nilimkubali nikajisemea moyoni km yupo serious simuachii. .....

mhh baada ya salam/story kidogo coz alikuja na rafk ake ndo urafiki ukaanza hapo though @1st ckuonyesha km nipo interested. bt I was.....muda unavyoenda tukazoeana na anavyoni care ndo nikazama kabisa na cku 1 akaniambia anatamani niwe mkewe km nipo tayar......ndo hivyo tena.
im proud of him

....Mungu mkubwa ndo nipo nae na ndo Mume wangu mtarajiwa, soon cherekochereko mambo yakienda km yalivyopangwa
 
Duh, ilikuwa kwenye corridors za chuoni kwetu. Nasubiri kuingia tutorial mara nikaona binti kapita... the only thing I told myself was, "this is the womam I have been waiting for". Nikasema nikimpata, she will be my one and only lover... na nilivyompata, mpaka leo she is my queen. Damn I love her
 
Back
Top Bottom