Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Mi nina story 2, ngoja nihadithie ya huyu niliye naye, maana mwingine ni zilipendwa
nilimfahamu kupitia rafiki yangu (alikuwa cousin wa rafiki yangu), nilikuwa namu-admire sana especially kwa urefu wake, masculine body na ucheshi. alikuwa na gal wake pia, so sikuwaza kama tungekuwa pamoja.

siku tulikuwa mziki, nimekaa na rafiki zangu. akatokea ghafla kwenye meza yetu na kuniomba tucheze. nilikataa, nikasema huu mwimbo siupendi. akaja mara ya pili nikakataa tena. akaniuliza unapenda nyimbo za aina gani, nikamwambia.
dj alivyoanza kuzipiga tu, akaja kuninyanyua. nikawa sina jinsi nikakubali tukadance sana tu.

kesho yake akanitafuta akasema anafanya evening walk kwa ajili ya kuupa mwili mazoezi, akaniomba nimpe company, nikakubali. ilikuwa walk nzuri, kwenye maeneo flani ya mitimiti na upepo mzuri, tukafika sehemu kwenye majani mazuri ya green tukakaa chini kupiga story za kufahamiana.
tukaendelea na urafiki wa kawaida, kupiga story na nini. tukazoeana, urafiki ukanoga, mengine nimesahau
 
Kuna jamaa mmoja aliwahi kuwapa mpaka chabo washikaji wake akifikiri ni demu wa kupita tu, du lakini leo hii demu huyo ndio mke wake kipenzi, mama ya watoto wake!

Utu wema na uungwana ndio silaha bora maishani!
 
Kwangu ilikuwa furaha kubwa maana nilishakata tamaa yakupenda baada yakutendwa. Sehemu niliyokutana nae siri yangu but tulikuwa marafiki wa kawaida kwa muda mfupi sana kama wk 2hivi then akaniomba nimtafutie kitabu fulani sababu miye nilikuwa mahali ambapo kidogo naweza kukipata kirahisi basi nikamtafutia in few days nikamtumia alifurahi sana kilichofuata tulikuwa marafiki wa karibu zaidi na ndipo aliponiambia ananipenda na angependa niwe wa ubavu wake.
Na niko nae hadi leo kiwatengu wangu
 
Last edited by a moderator:
Paroko eiyer kaasi nin???

Naona zile ruzuku zinazotoka paroko kuu yeye mwaka huu hakupewa akaamua "to hell with the church. Ndio kaamua kutuonyesha makalio ya kila aina hapa"
Ogopa sana wazee wa upako wakiamu kuasi!
Huja na vitu vizito mno. Na wale wanakondoo aliokuwa anawatolea macho basi lzm awatafune woote.
 
Nimezipenda story zenu nami ntaweka yangu muda si mrefu. Ila kwa kuwa mi ni muisilamu naomba nianze kuandaa story yangu ya mke wa pili.

Nataka ianze hivi:

Ilikuwa kama utani hivi nachangia thread ya Eiyer si nikaomba mtu anaetaka kuwa mke wa pili ani pm. basi nikapata Pm ya binti mmoja nae akaniambia alikuwa anatania. si tukawa tunachati kwa pm na siku moja tukapanga tuonane. Kiroho kikiwa kinanidunda baada ya kukaribia sehemu ya ahadi pale ................... nikaona mtoto mkali kwa mbali ananitazama akitabasahu. Hah jamani mtu chake alopewa na muumba si alikuwa ni yeye. Tukasalimiana na jioni hiyoo nikamsindikiza kwake pale.............. Mtoto kajipanga, anakila kitu ndani na tukapiga story jioni ile tukielezana wapi tunamtumikia kafiri tupate ujira wetu. Nikamuuliza mbona anakila kitu na hajaolewa. Akasema anawachukia wanaume na anashangaa kwanini mie imetokea hajanichukia. Akanipa mkasa wake wooote wa kuamua kukaa single. Basi ikawa kila jumapili tunakutana na siku ya siku nilimueleza naomba awe mke wangu wa pili kwani alibisha!!!! Alinijibu kwa kucheka na mwisho akaninyuka na tabasamu lake la haja kama kawa. akanikumbatia na kuniambia lakini naogopa mambo ya mke wa pili. Sijui tuliiishia wapi ila hadi leo ndio mke wangu wapili. (baada ya miaka 4)

Mwenye kutamani kuingia katika story hii ani pm. Namsubiri huku nimetulia tuli.
 
Nimezipenda story zenu nami ntaweka yangu muda si mrefu. Ila kwa kuwa mi ni muisilamu naomba nianze kuandaa story yangu ya mke wa pili.

Nataka ianze hivi:

Ilikuwa kama utani hivi nachangia thread ya Eiyer si nikaomba mtu anaetaka kuwa mke wa pili ani pm. basi nikapata Pm ya binti mmoja nae akaniambia alikuwa anatania. si tukawa tunachati kwa pm na siku moja tukapanga tuonane. Kiroho kikiwa kinanidunda baada ya kukaribia sehemu ya ahadi pale ................... nikaona mtoto mkali kwa mbali ananitazama akitabasahu. Hah jamani mtu chake alopewa na muumba si alikuwa ni yeye. Tukasalimiana na jioni hiyoo nikamsindikiza kwake pale.............. Mtoto kajipanga, anakila kitu ndani na tukapiga story jioni ile tukielezana wapi tunamtumikia kafiri tupate ujira wetu. Nikamuuliza mbona anakila kitu na hajaolewa. Akasema anawachukia wanaume na anashangaa kwanini mie imetokea hajanichukia. Akanipa mkasa wake wooote wa kuamua kukaa single. Basi ikawa kila jumapili tunakutana na siku ya siku nilimueleza naomba awe mke wangu wa pili kwani alibisha!!!! Alinijibu kwa kucheka na mwisho akaninyuka na tabasamu lake la haja kama kawa. akanikumbatia na kuniambia lakini naogopa mambo ya mke wa pili. Sijui tuliiishia wapi ila hadi leo ndio mke wangu wapili. (baada ya miaka 4)

Mwenye kutamani kuingia katika story hii ani pm. Namsubiri huku nimetulia tuli.

Hahahah mtu chake
 
Naona zile ruzuku zinazotoka paroko kuu yeye mwaka huu hakupewa akaamua "to hell with the church. Ndio kaamua kutuonyesha makalio ya kila aina hapa"
Ogopa sana wazee wa upako wakiamu kuasi!
Huja na vitu vizito mno. Na wale wanakondoo aliokuwa anawatolea macho basi lzm awatafune woote.

Huyu paroka hajakurupuka anajua analofanya.

Pia inaweza isiwe lazima kwamba ataanza kutafuna kondoo wake kwa spidi ya ajabu japo mmmmmh......

Au kuna uwezekano huyu paroko alisha expire miaka mingii ila aliweza dumu tu kwa kujikaza ila ha ha h a katoka mbali huyu.
 
Huyu paroka hajakurupuka anajua analofanya.

Pia inaweza isiwe lazima kwamba ataanza kutafuna kondoo wake kwa spidi ya ajabu japo mmmmmh......

Au kuna uwezekano huyu paroko alisha expire miaka mingii ila aliweza dumu tu kwa kujikaza ila ha ha h a katoka mbali huyu.

Teh teh teh.
Umenena vyema. Huyu ni Paroka mtafuna wanakondoo.
 
Tokea jana nafuatilia hizi story ni mzuri sana na zinafurahisha
 
dah uzi mtamu kweli huu...!mi nakumbuka pindi hicho nipo mlimani mwaka wa mwisho, nipo computer lab pale BUsiness school, nachat ktk mtandao wa marafiki.com, ndo nikampata huyu binti wa kitanga, blind date ikanipa binti mzuri, chatting sana bila kuonana kwa mda mrefu, hatimaye kuja kuonana nishaanza kazi, siku ya kwanza kuonana sitaisahau....bahati mbaya tuliachana baada ya kipind kirefu baada ya yy kuondoka tz.....
 
Mimi yangu nimejarib weka kwenye kalkuleta imenitea "maths error"!! Acha niendelee kusoma za watu!!
 
^^
Sitaki hata kukumbuka chochote! Mwisho wa safari uliharibu uzuri wa mwanzo wake!
Ngoja nisome Best Memories za wenzangu
^^

Kama tunafanana vile!! Ila i still believe kuna mengi yanakuja tena mazuri!!
 
kumbe una my wife wake asa na yule aliekuhonga chain ya silver na laki mbili yuko kwenye list ipi ? hahaha ulipostigi hapa hii habari JF vey interesting.

Huyo alishaolewa na mwanaume mwingine; nafurahi tunaendelea kuwasiliana ila hatuendelei kutenda tendo. Hata siku ya harus yake nilihudhuria. Swali la nyongeza .....
 
Back
Top Bottom